Freeman Mbowe: Dar es Salaam kuna kikosi kazi cha utekaji
“Kama Chama tumechunguza kutoka vyanzo vyetu vya ndani na vingine vya ndani ya Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, nitaeleza kwa kifupi tulichogundua na tunaowaonyooshea vidole ili Polisi na hao wengine watusute watuambie Mbowe mnasema uongo, uchunguzi wetu unatupeleka wapi? moja kuna kitu kwenye Kanda Maalum ya Dar es saalam kinaitwa Task Force ya Ulinzi na Usalama, Task Force hii iliundwa ikishirikisha Wadau kutoka Jeshi la Polisi, Usalama wa Taifa na hata JWTZ, katika hatua ya baadaye Jeshi la Wananchi liliondoka katika oparesheni hii, na Task Force hii ilipoundwa kwa mara ya kwanza iliundwa kama Kikosi maalum cha kupambana na wizi ambacho kinasimamiwa na ZCO ambaye sasa hivi anayeongoza Ofisi hiyo anaitwa ASP Faustin Mafwele huyu ndio Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es salaam ambaye anasimamia Kikosi hiki”

“Oparesheni centre ya kikosi hiki ipo nyuma ya Kituo cha Polisi Chang’ombe na mtambue Kikosi hiki hakiingiliwi na mfumo wa kawaida wa utawala wa Polisi kwahiyo hakifanyi kazi ndani ya Vituo vya Polisi, nyuma ya Kituo cha Polisi cha Chang’ombe kuna kambi ya Kikosi hiki na imezungushiwa uzio wa mabanzi pale ndani wanateswa Watu, wanaumizwa Watu, wanafinywa Watu pale ndio mateso ya Watanzania wanapopitia”

“Kwa taarifa tulizonazo kwa mwaka huu na sehemu ya mwaka jana, wapo Watanzania zaidi ya 200 hawajulikani walipo na mambo haya ni mwendelezo wa maelekezo ya Viongozi wa Serikali ambao huko nyuma walipaswa kusema shughulikeni nao”

Soma Pia: Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu

“Sisi kama Chama tumesema tuyaseme haya kwa sauti ili yasikike zaidi, utekaji huu umeambatana na mauaji, awali waliokuwa wanauawa kienyeji walikuwa wanapelekwa mochwari, wengine kama Sativa walipelekwa pori la Katavi wakaliwe na Fisi kwasababu wanasema Katavi ndio pori lenye Fisi wakali ambao hata mfupa wanautafuna kama biskuti, Mungu hakupenda akamwokoa, Sativa alikamatwa na kikosi hiki na Mafwele anajua na kikosi hiki ndicho kimemkamata Soka, Mlay na Mbise”
Watapasafisha na kuacha wazi milango na madirisha ili kuthibitisha si kweli.
 
“Kama Chama tumechunguza kutoka vyanzo vyetu vya ndani na vingine vya ndani ya Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, nitaeleza kwa kifupi tulichogundua na tunaowaonyooshea vidole ili Polisi na hao wengine watusute watuambie Mbowe mnasema uongo, uchunguzi wetu unatupeleka wapi? moja kuna kitu kwenye Kanda Maalum ya Dar es saalam kinaitwa Task Force ya Ulinzi na Usalama, Task Force hii iliundwa ikishirikisha Wadau kutoka Jeshi la Polisi, Usalama wa Taifa na hata JWTZ, katika hatua ya baadaye Jeshi la Wananchi liliondoka katika oparesheni hii, na Task Force hii ilipoundwa kwa mara ya kwanza iliundwa kama Kikosi maalum cha kupambana na wizi ambacho kinasimamiwa na ZCO ambaye sasa hivi anayeongoza Ofisi hiyo anaitwa ASP Faustin Mafwele huyu ndio Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es salaam ambaye anasimamia Kikosi hiki”

“Oparesheni centre ya kikosi hiki ipo nyuma ya Kituo cha Polisi Chang’ombe na mtambue Kikosi hiki hakiingiliwi na mfumo wa kawaida wa utawala wa Polisi kwahiyo hakifanyi kazi ndani ya Vituo vya Polisi, nyuma ya Kituo cha Polisi cha Chang’ombe kuna kambi ya Kikosi hiki na imezungushiwa uzio wa mabanzi pale ndani wanateswa Watu, wanaumizwa Watu, wanafinywa Watu pale ndio mateso ya Watanzania wanapopitia”

“Kwa taarifa tulizonazo kwa mwaka huu na sehemu ya mwaka jana, wapo Watanzania zaidi ya 200 hawajulikani walipo na mambo haya ni mwendelezo wa maelekezo ya Viongozi wa Serikali ambao huko nyuma walipaswa kusema shughulikeni nao”

Soma Pia: Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu

“Sisi kama Chama tumesema tuyaseme haya kwa sauti ili yasikike zaidi, utekaji huu umeambatana na mauaji, awali waliokuwa wanauawa kienyeji walikuwa wanapelekwa mochwari, wengine kama Sativa walipelekwa pori la Katavi wakaliwe na Fisi kwasababu wanasema Katavi ndio pori lenye Fisi wakali ambao hata mfupa wanautafuna kama biskuti, Mungu hakupenda akamwokoa, Sativa alikamatwa na kikosi hiki na Mafwele anajua na kikosi hiki ndicho kimemkamata Soka, Mlay na Mbise”

Kila siku nasema humu, bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi huu unyama utaendelea kuwepo. Lamadi wameonyesha mfano.
 
Wengi wanateteta kuwa sio Samia bali vijakazi wake ila wazungu husema 'Silence means consent', ukimya daima huchukuliwa kuwa ni ridhaa. Samia yupo kimya kuashiria ameridhia haya yote yatokee.

Kwa kila ovu linalofanyika nchini kwa sasa, ni kwa ridhaa ya Samia.
Samia amaemua kutumia mbinu za Magufuli kusalia madarakani. Waliokuwa wanafaidika ni utawala wa mabavu wa Magufuli ndio hao sasa wanamshauri ili kiti chake kibaki salama, lazima apoteze watu ili kujenga uoga kwenye jamii.
 
Yaani unamuomba mwizi aache kuiba baadala ya kumkamata na kumchukulia hatua, unamuomba mwizi akusaidie kukamata mwizi?.

Tunapaswa kuwa na suluhu ya haya yanayoendelea baadala ya kulalamika na kulialia tu.
 
“Kama Chama tumechunguza kutoka vyanzo vyetu vya ndani na vingine vya ndani ya Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, nitaeleza kwa kifupi tulichogundua na tunaowaonyooshea vidole ili Polisi na hao wengine watusute watuambie Mbowe mnasema uongo, uchunguzi wetu unatupeleka wapi? moja kuna kitu kwenye Kanda Maalum ya Dar es saalam kinaitwa Task Force ya Ulinzi na Usalama, Task Force hii iliundwa ikishirikisha Wadau kutoka Jeshi la Polisi, Usalama wa Taifa na hata JWTZ, katika hatua ya baadaye Jeshi la Wananchi liliondoka katika oparesheni hii, na Task Force hii ilipoundwa kwa mara ya kwanza iliundwa kama Kikosi maalum cha kupambana na wizi ambacho kinasimamiwa na ZCO ambaye sasa hivi anayeongoza Ofisi hiyo anaitwa ASP Faustin Mafwele huyu ndio Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es salaam ambaye anasimamia Kikosi hiki”

“Oparesheni centre ya kikosi hiki ipo nyuma ya Kituo cha Polisi Chang’ombe na mtambue Kikosi hiki hakiingiliwi na mfumo wa kawaida wa utawala wa Polisi kwahiyo hakifanyi kazi ndani ya Vituo vya Polisi, nyuma ya Kituo cha Polisi cha Chang’ombe kuna kambi ya Kikosi hiki na imezungushiwa uzio wa mabanzi pale ndani wanateswa Watu, wanaumizwa Watu, wanafinywa Watu pale ndio mateso ya Watanzania wanapopitia”

“Kwa taarifa tulizonazo kwa mwaka huu na sehemu ya mwaka jana, wapo Watanzania zaidi ya 200 hawajulikani walipo na mambo haya ni mwendelezo wa maelekezo ya Viongozi wa Serikali ambao huko nyuma walipaswa kusema shughulikeni nao”

Soma Pia: Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu

“Sisi kama Chama tumesema tuyaseme haya kwa sauti ili yasikike zaidi, utekaji huu umeambatana na mauaji, awali waliokuwa wanauawa kienyeji walikuwa wanapelekwa mochwari, wengine kama Sativa walipelekwa pori la Katavi wakaliwe na Fisi kwasababu wanasema Katavi ndio pori lenye Fisi wakali ambao hata mfupa wanautafuna kama biskuti, Mungu hakupenda akamwokoa, Sativa alikamatwa na kikosi hiki na Mafwele anajua na kikosi hiki ndicho kimemkamata Soka, Mlay na Mbise”
Kikosi cha mama ? ChoiceVariable
 
Si mlituambia aliyekuwa anateka watu ni Magufuli?

Tukueleweje wewe Dj gaidi Mbowe?
 
Samia amaemua kutumia mbinu za Magufuli kusalia madarakani. Waliokuwa wanafaidika ni utawala wa mabavu wa Magufuli ndio hao sasa wanamshauri ili kiti chake kibaki salama, lazima apoteze watu ili kujenga uoga kwenye jamii.
Kila auaye kwa upanga nae atakufa kwa panga.
 
Si mlituambia aliyekuwa anateka watu ni Magufuli?

Tukueleweje wewe Dj gaidi Mbowe?

..wanaoteka ni watumishi wa majeshi ya ulinzi na usalama.

..Magufuli alikuwa Amiri jeshi Mkuu wao ndio maana alikuwa akilaumiwa.

..Sasa hivi Samia Suluhu ndiye Amiri jeshi Mkuu hivyo kama utekaji unaendelea yeye pia anastahili lawama.
 
Doh! Bado watu wanayatimba tu. Walisemaga mwendazake na sasa hayupo sijui watamsingizia nani tena.
 
Doh! Bado watu wanayatimba tu. Walisemaga mwendazake na sasa hayupo sijui watamsingizia nani tena.
Kwani alikuwa anasingiziwa? Au yeye alikuwa na hati miliki ya kuteka, hivyo kwakuwa hayupo wengine hawawezi kuteka? Kwa taarifa yako hii tabia iliota mizizi wakati wa Magufuli, na sasa ni muendelezo tu wa alichokuwa anatenda.
 
Doh! Bado watu wanayatimba tu. Walisemaga mwendazake na sasa hayupo sijui watamsingizia nani tena.

..Mwendazake alikuwa analaumiwa kwasababu ya nafasi yake kama Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

..Kama vikosi vya usalama vinafanya mambo mazuri Amiri Jeshi Mkuu hupongezwa.

..Vyombo vya usalama vikifanya mambo ya hovyo, ikiwemo mauaji, Amiri Jeshi Mkuu hubeba lawama.
 
Niwapongeze CHADEMA kwa kupenyeza watu katika vyombo vya ulinzi na usalama, kwa hili wameona mbali na wameanza fanikiwa maana mipango na mikakati ovu ya serikali na watesi watakuwa wanafahamu mienendo yao kwa haraka zaidi.

Na hilo la soka huwenda wamepenyezewa na watu loyal waliomo katika mfumo.
Chadema ni Mpango wa Mungu
 
Back
Top Bottom