Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko.sahihiBora kibaraka wa Mtanzania kuliko vibaraka wa Mabeberu
Huyu mzee na chama chake wangeshika nchi tungeumia sana.Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA @chadematzofficial Freeman Mbowe amesema kuna makundi yanayoratibu kufanyika mapinduzi ndani ya chama hicho na makundi hayo ndiyo yanayomsukuma Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Bara, Tundu Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti.
“Kuna kundi linaloitwa diaspora (watanzania waishio ughaibuni) ni kundi dogo tu wala sio kusema ni diaspora wote wa Tanzania hili kundi dogo linalojaribu kupanga mapinduzi ndani ya CHADEMA wengine hata hatuwajui tunawaona tu kwenye majina ya mitandaoni wanajiita Tanzania Diaspora ni kundi ndani ya Diaspora”
Mbowe ameeleza kuwa zaidi ya kundi hilo kuna kikundi kingine kinachoitwa Sauti ya Watanzania ambacho kinachoongozwa na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Wilbroad Silaa
“Kuna makundi ya watu kama Dkt. Silaa na kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania, Dkt. Silaa alikimbia CHADEMA mwenyewe akaenda Chama Cha Mapinduzi (CCM) akafungiwa Serena pale(Serena Hotel) baadae akahamishiwa Canada akapewa zawadi ya ubalozi.”
Mbowe ameongeza kuwa amekuwa akishangazwa na wanaomuunga mkono Lissu kuwa sio watu ambao ni wanachama kweli kweli hata hivyo anashindwa kuelewa kwa nini Dkt. Silaa hawekezi nguvu kwenye chama chake bali anawekeza muda na nguvu CHADEMA.
“Kazi aliyoifanya muda wote akiwa balozi(Dkt.Silaa) chini ya utawala wa Magufuli(Hayati Dkt. John Pombe Magufuli) ni kujaribu kuichonganisha CHADEMA na kutoa taarifa na mpaka kuandika kitabu cha uongo eti leo Dkt.Silaa ndiye anafanya kampeni ya Lissu kuchukua uongozi wa chama alisahau nini Dkt Silaa ambacho leo anakitaka”
Hata hivyo Mbowe ameongeza kuwa wengine wanaomuunga mkono Lissu ni pamoja na aliyekuwa Mbunge wa Iringa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada wa CCM.
Source: Jambo TV
Hatuwezi kuwapa chama hawa jamaa wa Clubhouse na Maria Space ...neva eva.Uko.sahihi
Uchaguzi huu ni mchuano kati ya diaspora na wazawa
Wazawa tutawavwaga Diaspora. Na Diaspora wao Lisu atarudi kwao ubelgiji nikono mitupu bila cheo chochote
That the point, they needed the change the change is hereCHADEMA will never be the same again.
Dr Slaa nilikuwa naye Kamati ya Mapokezi ya Papa Yohanne Paul Mimi nilikuwa kituo cha Luhuwiko SongeaWewe huwaogopi?
Duh!...yaani Lissu anatumika tu?... tuhuma nzito hizi.Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA @chadematzofficial Freeman Mbowe amesema kuna makundi yanayoratibu kufanyika mapinduzi ndani ya chama hicho na makundi hayo ndiyo yanayomsukuma Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Bara, Tundu Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti.
“Kuna kundi linaloitwa diaspora (watanzania waishio ughaibuni) ni kundi dogo tu wala sio kusema ni diaspora wote wa Tanzania hili kundi dogo linalojaribu kupanga mapinduzi ndani ya CHADEMA wengine hata hatuwajui tunawaona tu kwenye majina ya mitandaoni wanajiita Tanzania Diaspora ni kundi ndani ya Diaspora”
Mbowe ameeleza kuwa zaidi ya kundi hilo kuna kikundi kingine kinachoitwa Sauti ya Watanzania ambacho kinachoongozwa na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Wilbroad Silaa
“Kuna makundi ya watu kama Dkt. Silaa na kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania, Dkt. Silaa alikimbia CHADEMA mwenyewe akaenda Chama Cha Mapinduzi (CCM) akafungiwa Serena pale(Serena Hotel) baadae akahamishiwa Canada akapewa zawadi ya ubalozi.”
Mbowe ameongeza kuwa amekuwa akishangazwa na wanaomuunga mkono Lissu kuwa sio watu ambao ni wanachama kweli kweli hata hivyo anashindwa kuelewa kwa nini Dkt. Silaa hawekezi nguvu kwenye chama chake bali anawekeza muda na nguvu CHADEMA.
“Kazi aliyoifanya muda wote akiwa balozi(Dkt.Silaa) chini ya utawala wa Magufuli(Hayati Dkt. John Pombe Magufuli) ni kujaribu kuichonganisha CHADEMA na kutoa taarifa na mpaka kuandika kitabu cha uongo eti leo Dkt.Silaa ndiye anafanya kampeni ya Lissu kuchukua uongozi wa chama alisahau nini Dkt Silaa ambacho leo anakitaka”
Hata hivyo Mbowe ameongeza kuwa wengine wanaomuunga mkono Lissu ni pamoja na aliyekuwa Mbunge wa Iringa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada wa CCM.
Source: Jambo TV
Nimekuwa nikiuliza hili swali, ukibaraka wa lissu ni upi wapi na lini? Prove kuna ni kibaraka na ni kibaraka gani masikini?Uko.sahihi
Uchaguzi huu ni mchuano kati ya diaspora na wazawa
Wazawa tutawavwaga Diaspora. Na Diaspora wao Lisu atarudi kwao ubelgiji nikono mitupu bila cheo chochote
Muda mwingi yuko ubelgiji sio.Tanzania hata sasa hivi hayuko nchini yuko ubelgijiNimekuwa nikiuliza hili swali, ukibaraka wa lissu ni upi wapi na lini? Prove kuna ni kibaraka na ni kibaraka gani masikini?
150m, 250mHatuwezi kuwapa chama hawa jamaa wa Clubhouse na Maria Space ...neva eva.
Kwa mujibu wa maelezo yake, Lissu amesukumwa kugombea na hayo makundi aliyoyataja.Mpumbavu kweli, Lissu kugombea ni kufanya mapinduzi?
Mbona Mandela muda mwingi alikuwa Tanganyika hadi akasahau viatu vyake Kwa mama Massawe? 🐼Muda mwingi yuko ubelgiji sio.Tanzania hata sasa hivi hayuko nchini yuko ubelgiji
Mbona Yeye alisukumwa na Mtei hadi wakamzuia Alhaj Zitto Kabwe asigombee 😂Kwa mujibu wa maelezo yake, Lissu amesukumwa kugombea na hayo makundi aliyoyataja.
Pascal Mayalla zitto junior
hivi yohani mbatizaji unajisikiaje mbowe akiongea.Anawaogopa [emoji23][emoji23]
Ubaya ubwela😁Huyu mzee watamuua kwa presha! View attachment 3195159
Bold haya maandishi yabaki kama kumbukumbu kwa wanachadema na wanasisiemu na wanasiasa wote MamaSamia2025CHADEMA will never be the same again.
Muongozaji Dr Slaa ( Ccm), msigwa ccm na Maria - Maria space?Mapinduzi ya kumtoa Sultani hayana ubaya wowote
Wapigania uhuru walikuwa wanaandaliwa Tanzania kwenda kupigana Africa kusini.Makambi yao yalikuwa Tanzania Mandela hakuwa Tanzania kuishi tuMbona Mandela muda mwingi alikuwa Tanganyika hadi akasahau viatu vyake Kwa mama Massawe? 🐼
Usiwe tutusa meku 😂😂😂
🚮🚮Dr Slaa nilikuwa naye Kamati ya Mapokezi ya Papa Yohanne Paul Mimi nilikuwa kituo cha Luhuwiko Songea
Ni Mtu makini Sana 😂😂😂