Pre GE2025 Freeman Mbowe: Dkt. Slaa na wanaojiita Tanzania Diaspora wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu mzee na chama chake wangeshika nchi tungeumia sana.

..................Yaani chama tu hataki kuachia sijui angeonja utamu wa kuwa Rais ingekuwaje?
 
Wanataka kukiteka chama, na wana hela zinamwagwa kama jungu hasa kanda ya ziwa.
Dr. Slaa kaahidiwa ujumbe wa kamati kuu.

Mbowe wabananishe, watanzania tupo na wewe tunajua ulipotutoa hadi leo tulipo.

Pipooozzzz - kama hutaki tangulia TLP haina mwenyewe.
 
Duh!...yaani Lissu anatumika tu?... tuhuma nzito hizi.

Fundi Mchundo Retired Quinine JokaKuu
 
Uko.sahihi
Uchaguzi huu ni mchuano kati ya diaspora na wazawa

Wazawa tutawavwaga Diaspora. Na Diaspora wao Lisu atarudi kwao ubelgiji nikono mitupu bila cheo chochote
Nimekuwa nikiuliza hili swali, ukibaraka wa lissu ni upi wapi na lini? Prove kuna ni kibaraka na ni kibaraka gani masikini?
 
Nimekuwa nikiuliza hili swali, ukibaraka wa lissu ni upi wapi na lini? Prove kuna ni kibaraka na ni kibaraka gani masikini?
Muda mwingi yuko ubelgiji sio.Tanzania hata sasa hivi hayuko nchini yuko ubelgiji
 
Mbona Mandela muda mwingi alikuwa Tanganyika hadi akasahau viatu vyake Kwa mama Massawe? ๐Ÿผ

Usiwe tutusa meku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wapigania uhuru walikuwa wanaandaliwa Tanzania kwenda kupigana Africa kusini.Makambi yao yalikuwa Tanzania Mandela hakuwa Tanzania kuishi tu

Lisu anaandaa nani ubelgiji?

Usilinganishe Lisu na Mandela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ