Pre GE2025 Freeman Mbowe: Dkt. Slaa na wanaojiita Tanzania Diaspora wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hana hekima za kuhubiri demokrasia wakati yeye haongozi kidemokrasia anakumbuka kuhusu demokrasia anapokuwa nyuma ya mikamera hasa wakati wa chaguzi

He is an opportunity seeker while calculating risk
 
Bila shaka Lisu hakuweka wazi jina la kiongozi wa kiroho, huyu kitenge sijui alitoa wapi hilo jina!!, anyway hakuna ubaya kwa kiongozi wa kiroho kupatanisha watu maana imeandikwa heri wapatanishi
Na aliyewatafuta hao viongozi wa kiroho ni yeye mwenyewe Mbowe. Huyu kitenge naye si ndiyo wote wanufaika wa hela ya DP World kama alivyo Mbowe.
 
...Mbowe kafanya madudu mengi Sana kwa Mgongo wa uwenyekiti wa chadema
 
Sijawahi kumuona Mbowe akiwa under pressure, kumbe akiwa depressed anakuwa boya kiasi hichi, imagine huyu angaukwaa uraisi wa Tanzania angepiga marufuku hata neno UCHAGUZI na KATIBA. hata Mobutu Sese seko huko aliko angaionea huruma Tanzania.
Haahaa kutamka neno demokrasia ni rahisi Sana, vitendo ndo kazi ..
 
Kwa maoni yangu Lissu hafanyi attacks bali sera na misimamo yake inawavua wengine nguo.
Huwezi kusema nitaondoa rushwa na ubinafsi bila kuwaambia watu unaondoa rushwa ipi. Usipoonyesha viashiria vya rushwa maana yake unataka kuondoa kitu kisichokuwepo.

Kwa wingi wa tuhuma za Mbowe huwezi kusisema kistaarabu hata kidogo, huwezi kupaka paka mafuta mtu anayekiuka misingi ya Utawala bora
 
..Chadema bila mbowe kuondolewa kwenye uwenyekiti watakuwa na wakati mgumu Sana...
 
Kwa mujibu wa Lissu yupi ulisikiliza mahojiano yake ya jana? Mbona laiweka wazi hasa kilichomsukuma kugombea hicho kiti, Mbowe Mwenyewe ndo kafanya agombee hicho kiti, kwa kujifanya yeye ndo master
..Mbowe anahubiri demokrasia huku mwenyewe akiikandamiza..m
 
Hata na yeye ni mla rushwa , michango ya matibabu wamechanga viongozi wa chadema na wanacnhi ila invoice amezidai zote 800m kama zake huo ni wizi/utapeli kukosa uhadilifu.

Hana uhakika nani aliyekula rushwa bali ni hisia zake tu ,kama ana uhakika watu wamevuta mabilioni ya abdul apeleke kwenye kamati ya maadili watu wachukuliwe hatua.
 
Lisu anaungwa mkono na watu gani vile? Kwamba Lisu alishinda uenyekiti CCM watafurahi sio?
 
Sijawahi kumuona Mbowe akiwa under pressure, kumbe akiwa depressed anakuwa boya kiasi hichi, imagine huyu angaukwaa uraisi wa Tanzania angepiga marufuku hata neno UCHAGUZI na KATIBA. hata Mobutu Sese seko huko aliko angaionea huruma Tanzania.
Vichwa panzi kutiwaambia hata yale mateso aliyokuwa anapitishwa nyingi zilikuwa script za kaole sasa anachezeshwa game lisilo na director ndio ndio tunaona rangi yake halisi
 
Mbowe amefimisika kisiasa anatumia mbinu za kijinga kabisa wakati wenzake wanapinga ufisadi na uhuni wa kisasa unaowasanabisha watanzania kukata tamaa ya kupiga kura .


Yaani Mbowe anatumia mbinu zile zile za CCM na vyombo vya dola vya kuwasingizia wapinzani kuwa eti kuna watu wanataka kufanya mapinduzi.

Mbowe anatumia mbinu za CCM kushinda uchaguzi lakini ajue wazi kuwa anafuata nyayo za akini Mrema na Lipumba .

Kwani suala la rushwa na kula pesa za chama na kukifanya chama kuwa taasisi ya kikabila na Sacoss imeanza kusemwa na Lisu ?
Kwa nini Mbowe anamshambulia sana Lisu wakati Mbowe ameanza kutuhumiwa tangu 2014 mpaka leo .
Ametuhumiwa na CCM na ametuhumiwa na Wanachama na viongozi wenzake kama Slaa, Zito,Kafulila , Msigwa na Mkumbo . Mapaka wengine wakakimbia chama kwa hofu ya kushughulikiwa na mbowe.

Mbowe anafikiria akimshinda Lisu atatoboa mbele ya CCM
Hakuna CCM anayetaka kupoteza kiti cha ubunge wala udiwani . Watamshughulikia kisawasawa maana ana tuhuma nyingi na wanaushahidi wa kutosha na yeye anajua.

Kuliko Mbowe ashinde kwa uhuni na ufisadi na tamaa yake ni bora chadema ife mana sio dini wala mama watu wala baba ,ni chama tu lilichoanzishwa . Kama kanu iliyokua na dola na utajiri mkubwa wa Wakikuyu na wakalenjii ilikufa Chama ni nini mpaka kibaki kuhadaa watanzania kuwa kuna demokrasia wakati ni uhuni mtupu.


Mbowe na samia watapata mshtuko mkubwa saa kwa sababu watakosa kura na pesa zitaliwa na hakuna wa kumdai.

2025 Mbowe hata akishindwa Lisu anaweza kupata kura nyingi sana bila Msaada wa mbowe lakini Mbowe bila msaada wa Lisu hana kitu na atapoteza kura nyingi . Chadema ya Mbowe haiwe kupata zaidi ya kura laki mbili nchi nzima uchaguzi ujao wa ngazi ya urais
 
Lisu anaungwa mkono na watu gani vile? Kwamba Lisu alishinda uenyekiti CCM watafurahi sio?

Hapana lengo siyo ashinde bali ni kuongeza mtifuano tu kati yake na mwenyekiti hapo ndipo wanapopenda ndiyo maana wanampa support ili azidi kumyuka Mwamba.
 
Hata na yeye ni mla rushwa , michango ya matibabu wamechanga viongozi wa chadema na wanacnhi ila invoice amezidai zote 800m kama zake huo ni wizi/utapeli kukosa uhadilifu.
Mkuu hapa haujaeleweka, hii ni rushwa kivipi? Yaani mwanetu anaumwa yupo MNH tumemchangia. Akitaka kupewa risiti na invoice za malipo unataka lisome jina la nani? Unataka yasomeke majina yetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…