King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wenje alimwambia kwamba kuna michango watu walitoa inabidi warudishiwe including na yeye mwenyewe wenje akagoma...invoice itaenda kwa jina lake lissu ila aligoma kurudisha baadhi ya fedha za viongozi walizotoa kwenye account zao.Mkuu hapa haujaeleweka, hii ni rushwa kivipi? Yaani mwanetu anaumwa yupo MNH tumemchangia. Akitaka kupewa risiti na invoice za malipo unataka lisome jina la nani? Unataka yasomeke majina yetu?
Kwa mfano?...Mbowe kafanya madudu mengi Sana kwa Mgongo wa uwenyekiti wa chadema
Mkuu hiyo ni michango au mikopo? Michango huwa inarudishwa?Wenje alimwambia kwamba kuna michango watu walitoa inabidi warudishiwe including na yeye mwenyewe wenje akagoma...invoice itaenda kwa jina lake lissu ila aligoma kurudisha baadhi ya fedha za viongozi walizotoa kwenye account zao.
Let us cherish the moment.CHADEMA will never be the same again.
Na ndio maana mzee Mbowe alihakikisha anaondoka kwenye chama:Dr Slaa nilikuwa naye Kamati ya Mapokezi ya Papa Yohanne Paul Mimi nilikuwa kituo cha Luhuwiko Songea
Ni Mtu makini Sana 😂😂😂
Inawezekana kuna watu walikopa ili wamchangie. Ndio maana Mbowe alitingisha kichwa lilipokuja suala la michango. Hata alipoenda kulipia fomu alisema hatatumia alizochangiwa kwa sababu Sativa amemlipia. Mimi sijasikia alichangiwa ngapi! Michango ya gari ilikuwa inaenda kimya kimya bila updates. Taarifa ya juu ilitoka baada ya kuyangaza nia.Huo uwazi katika masuala ya fedha ni upi?Wenje alimwambia kwamba kuna michango watu walitoa inabidi warudishiwe including na yeye mwenyewe wenje akagoma...invoice itaenda kwa jina lake lissu ila aligoma kurudisha baadhi ya fedha za viongozi walizotoa kwenye account zao.
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA @chadematzofficial Freeman Mbowe amesema kuna makundi yanayoratibu kufanyika mapinduzi ndani ya chama hicho na makundi hayo ndiyo yanayomsukuma Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Bara, Tundu Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti.
“Kuna kundi linaloitwa diaspora (watanzania waishio ughaibuni) ni kundi dogo tu wala sio kusema ni diaspora wote wa Tanzania hili kundi dogo linalojaribu kupanga mapinduzi ndani ya CHADEMA wengine hata hatuwajui tunawaona tu kwenye majina ya mitandaoni wanajiita Tanzania Diaspora ni kundi ndani ya Diaspora”
Mbowe ameeleza kuwa zaidi ya kundi hilo kuna kikundi kingine kinachoitwa Sauti ya Watanzania ambacho kinachoongozwa na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Wilbroad Silaa
“Kuna makundi ya watu kama Dkt. Silaa na kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania, Dkt. Silaa alikimbia CHADEMA mwenyewe akaenda Chama Cha Mapinduzi (CCM) akafungiwa Serena pale(Serena Hotel) baadae akahamishiwa Canada akapewa zawadi ya ubalozi.”
Mbowe ameongeza kuwa amekuwa akishangazwa na wanaomuunga mkono Lissu kuwa sio watu ambao ni wanachama kweli kweli hata hivyo anashindwa kuelewa kwa nini Dkt. Silaa hawekezi nguvu kwenye chama chake bali anawekeza muda na nguvu CHADEMA.
“Kazi aliyoifanya muda wote akiwa balozi(Dkt.Silaa) chini ya utawala wa Magufuli(Hayati Dkt. John Pombe Magufuli) ni kujaribu kuichonganisha CHADEMA na kutoa taarifa na mpaka kuandika kitabu cha uongo eti leo Dkt.Silaa ndiye anafanya kampeni ya Lissu kuchukua uongozi wa chama alisahau nini Dkt Silaa ambacho leo anakitaka”
Hata hivyo Mbowe ameongeza kuwa wengine wanaomuunga mkono Lissu ni pamoja na aliyekuwa Mbunge wa Iringa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada wa CCM.
Source: Jambo TV
Lissu anaponzwa na kina Maria ambao sio wapiga kura.
Mkuu, huu ni mtazamo wako, Lisu toka wakati anagombea hakumuattack Mbowe, aliweka hoja zake alizoelezea kuwa zimemsukuma kugombea, hata jana kasisitiza m/kiti hakutaka agombee chochote kati ya urais na uenyekiti na hii ni baada ya Mbowe kudanganya, sasa hivi mwamba anafanya personal attack kwa TAL na TAL hajamuattack wala kumtusi.Hapana lengo siyo ashinde bali ni kuongeza mtifuano tu kati yake na mwenyekiti hapo ndipo wanapopenda ndiyo maana wanampa support ili azidi kumyuka Mwamba.
Itakuwa anapumulia mashineLeo hii freeman hajui tofauti ya mapinduzi na uchaguzi? Huyu mangi atakufa kwa presha. Kuna damu za watu zinamlilia. Atajuta!
kinachoendelea cdm ni harakati za kufanyika uchaguzi, yeye anasema ni mapinduzi. mliyeko karibu naye mshikeni asi commit suicide
Kiufupi tu, Chadema wakimruhusu awe Mwenyekiti wao, hawataamini kuwa yeye ndiye na Mbowe sie!Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA @chadematzofficial Freeman Mbowe amesema kuna makundi yanayoratibu kufanyika mapinduzi ndani ya chama hicho na makundi hayo ndiyo yanayomsukuma Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Bara, Tundu Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti.
“Kuna kundi linaloitwa diaspora (watanzania waishio ughaibuni) ni kundi dogo tu wala sio kusema ni diaspora wote wa Tanzania hili kundi dogo linalojaribu kupanga mapinduzi ndani ya CHADEMA wengine hata hatuwajui tunawaona tu kwenye majina ya mitandaoni wanajiita Tanzania Diaspora ni kundi ndani ya Diaspora”
Mbowe ameeleza kuwa zaidi ya kundi hilo kuna kikundi kingine kinachoitwa Sauti ya Watanzania ambacho kinachoongozwa na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Wilbroad Silaa
“Kuna makundi ya watu kama Dkt. Silaa na kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania, Dkt. Silaa alikimbia CHADEMA mwenyewe akaenda Chama Cha Mapinduzi (CCM) akafungiwa Serena pale(Serena Hotel) baadae akahamishiwa Canada akapewa zawadi ya ubalozi.”
Mbowe ameongeza kuwa amekuwa akishangazwa na wanaomuunga mkono Lissu kuwa sio watu ambao ni wanachama kweli kweli hata hivyo anashindwa kuelewa kwa nini Dkt. Silaa hawekezi nguvu kwenye chama chake bali anawekeza muda na nguvu CHADEMA.
“Kazi aliyoifanya muda wote akiwa balozi(Dkt.Silaa) chini ya utawala wa Magufuli(Hayati Dkt. John Pombe Magufuli) ni kujaribu kuichonganisha CHADEMA na kutoa taarifa na mpaka kuandika kitabu cha uongo eti leo Dkt.Silaa ndiye anafanya kampeni ya Lissu kuchukua uongozi wa chama alisahau nini Dkt Silaa ambacho leo anakitaka”
Hata hivyo Mbowe ameongeza kuwa wengine wanaomuunga mkono Lissu ni pamoja na aliyekuwa Mbunge wa Iringa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada wa CCM.
Source: Jambo TV
Atajua hajui!Itakuwa anapumulia mashine
Chadema Kuna wapiga KURA? 🐼Lissu anaponzwa na kina Maria ambao sio wapiga kura.
MBOWE ni mnafiki na mjasiriamali anayetumia platform ya siasa kujitajirisha akituhadaa kuwa ni mwanahakati aliyejivisha kinyago cha uzalendo.........Hana hekima za kuhuburi demokrasia wakati yeye haongozi kidemokrasia anakumbuka kuhusu demokrasia anapokuwa nyuma ya mikamera hasa wakati wa chaguzi
Huahirisha kufikiri kwa nafsi a k.a kujizima dataMBOWE ni mnafiki na mjasiriamali anayetumia platform ya siasa kujitajirisha akituhadaa kuwa ni mwanahakati aliyejivisha kinyago cha uzalendo.........
Mimi tangu tukio la kuchange gia angani na kumleta Lowasa CHADEMA dakika za jioni kabisa.....nikajua tu huyu ndugu yetu kwenye siasa za Tanganyika ana jambo lake....