Pre GE2025 Freeman Mbowe: Hatutaripoti Polisi. Hakuna Kiongozi wetu atarudi kwa mashtaka hewa haya!

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Hatutaripoti Polisi. Hakuna Kiongozi wetu atarudi kwa mashtaka hewa haya!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Mkutano ulioitishwa na Chama hicho amesema Viongozi wa Chama hicho wamefunguliwa mashtaka na kisha kujidhamini na kutakiwa kuripoti kwenye vituo tofauti vya Polisi.

Amesema hakuna Kiongozi wa Chama hicho atakayerudi Polisi kwa ajili ya kuripoti kuhusu mashtaka hiyo.

Amesema "Polisi wametutaka kwenda kuripoti kwenye Vituo vyao kwa nyakati tofauti. Hili nilizungumze kwa falsafa rahisi sana ya Thomas Orbs, kitu kinachoitwa Civil Disobedience, hatutaki kwenda kwenye civil disobedience ila hatutaki kuwa makondoo. Viongozi wetu wote ambao wamefunguliwa mashtaka hewa haya hatutarudi kuripoti Polisi kwenda kuripoti jambo hili."

Ameongeza "Wakitaka kuchukua hatua, wachukue hatua wanayotaka. Sisi tunasema hatutakwenda Polisi kufuata mashtaka ya uongo, ya kughushi, ya kudhalilisha. "

PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafugua keshi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
 
Kazi ya polisi ni kusimamia SHERIA....

Je ni hiyari kutii/kutotii wito wa polisi ?!!

Jibu : Si hiyari

Kukaidi WITO wa polisi ndio UVUNJIFU WENYEWE WA HIYO SHERIA.....

Kwanini wasiripoti polisi wakiwa na wanasheria wao ?!!! [emoji44][emoji44]

Komredi Mbowe haeleweki

Hueleweki kamarada [emoji1787][emoji1787]
 
safi sana hii . jitu lillilo fal form four linawezaje kumpiga mtu mwenye masters kama lisu?
kazi ya polisi unaajiriwa kama tu unajua kukimbia na mrefu hakuna sifa nyingine
Inaijua elimu ya mbowe mkuu???

Mbona kwenye akili yako anaonekana ni mtu timamu tu!!!elimu inaweza isiwe tatizo kabisa.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Mkutano ulioitishwa na Chama hicho amesema Viongozi wa Chama hicho wamefunguliwa mashtaka na kisha kujidhamini na kutakiwa kuripoti kwenye vituo tofauti vya Polisi.

Amesema hakuna Kiongozi wa Chama hicho atakayerudi Polisi kwa ajili ya kuripoti kuhusu mashtaka hiyo.

Amesema "Polisi wametutaka kwenda kuripoti kwenye Vituo vyao kwa nyakati tofauti. Hili nilizungumze kwa falsafa rahisi sana ya Thomas Orbs, kitu kinachoitwa Civil Disobedience, hatutaki kwenda kwenye civil disobedience ila hatutaki kuwa makondoo. Viongozi wetu wote ambao wamefunguliwa mashtaka hewa haya hatutarudi kuripoti Polisi kwenda kuripoti jambo hili."

Ameongeza "Wakitaka kuchukua hatua, wachukue hatua wanayotaka. Sisi tunasema hatutakwenda Polisi kufuata mashtaka ya uongo, ya kughushi, ya kudhalilisha. "

PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafugua keshi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Mbowe Acha kutuhadaa,wewe ushavuta mpunga usiwadanganye wananchi
 
safi sana hii . jitu lillilo fal form four linawezaje kumpiga mtu mwenye masters kama lisu?
kazi ya polisi unaajiriwa kama tu unajua kukimbia na mrefu hakuna sifa nyingine
Hata watakaouosha mwili wako hakutakuwa na wenye degree, na wachimbaji wa kaburi wote hao hawana degree unayoitaka.

SASA WE ENDELEA KUSHUPAZA HILO KOMWE.
 
safi sana hii . jitu lillilo fal form four linawezaje kumpiga mtu mwenye masters kama lisu?
kazi ya polisi unaajiriwa kama tu unajua kukimbia na mrefu hakuna sifa nyingine
Hata watakaouosha mwili wako hakutakuwa na wenye degree, na wachimbaji wa kaburi wote hao hawana degree unayoitaka.

SASA WE ENDELEA KUSHUPAZA HILO KOMWE
 
Back
Top Bottom