Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Acha kupayuka na mambo yako ya udini hapa. Dini ya zitto wewe inakuhusu nn
View: https://x.com/fatma_karume/status/1823779366498615320?t=Bn4-V6M0xuBjswhiJiR-BA&s=19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupayuka na mambo yako ya udini hapa. Dini ya zitto wewe inakuhusu nn
Uthibitisho mwingine huu hapa. Ni chuki tu dhidi ya viongozi wa upinzani WakristuNimeogopa sana Mkuu.
Ushahidi huu hapaSahihi kabisa
Ni kweli kabisa, hata wenyeviti wake wote wa ccm waliopita na liyepo ni waislam,Na ccm ni kikundi cha mrengo wa kiislam. Ngoma draw.
Una hoja nyingine?
Aliyewatuma Polisi wetu wakatekeleze ule ukatili atalaniwa sanaMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Mkutano ulioitishwa na Chama hicho amesema Viongozi wa Chama hicho wamefunguliwa mashtaka na kisha kujidhamini na kutakiwa kuripoti kwenye vituo tofauti vya Polisi.
Amesema hakuna Kiongozi wa Chama hicho atakayerudi Polisi kwa ajili ya kuripoti kuhusu mashtaka hiyo.
Amesema "Polisi wametutaka kwenda kuripoti kwenye Vituo vyao kwa nyakati tofauti. Hili nilizungumze kwa falsafa rahisi sana ya Thomas Orbs, kitu kinachoitwa Civil Disobedience, hatutaki kwenda kwenye civil disobedience ila hatutaki kuwa makondoo. Viongozi wetu wote ambao wamefunguliwa mashtaka hewa haya hatutarudi kuripoti Polisi kwenda kuripoti jambo hili."
Ameongeza "Wakitaka kuchukua hatua, wachukue hatua wanayotaka. Sisi tunasema hatutakwenda Polisi kufuata mashtaka ya uongo, ya kughushi, ya kudhalilisha. "
PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafugua keshi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Typical african thinkingWewe hata utape tape, tumeshaamua kura za waislamu ni kwa muislam mwenzetu, na nyie makafiri mpeni kafiri mwenzenu,
Halafu tuone nani anashinda
Hii inaonyesha udhaifu wenu na dini yenu ya mchongo, kama kweli ni uadilifu angalau ungetangulia kumwambia yeye aliyeanza kuleta fikra za udini,Typical african thinking
Hii inaonyesha waliokufa huko kwenu walishangilia piaKwa kipigo alichopewa Sugu lazima kuna laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ndani yake
Bado halijatimia, wameishia njian baada ya presha kubwa kutoka nje. Kuna makubwa ziadi yalipangwaHata wasiporipoti, lengo la polisi limeshatimia
Not a big deal? Kuwa serious man. Yaan mamlaka husika ivunje taratibu, watu waumizwe halaf wapotezee is not a big deal?Hao kila siku wana lia lia tu.
Anyways wamechagua siasa hivyo kilichotokea ni " a bad day in office " not a big deal.
Ni sawa na mkulima mazao yake kuliwa na mifugo.
Asitarajie kuwa IGP for that, amejiwekea doaNa kweli kwani kuna wahafidhina ndani ya CCM ambao wanaipinga falsafa ya Samia ya 4Rs hivyo wamelitumia jeshi la polisi kuisambaratisha na katika hilo wamefanikiwa na wamepita lengo kwani hata taswira ya Rais na serikali yake imechafuliwa kiasi cha kutosha sana. Vyombo vyote vikubwa habari duniani vimeripoti unyama huo. Hongera sana IGP mtarajiwa Awadh kwa mafanikio haya.
Hili suala halihusiani na udini zaidi ni linahusiana na siasa na uchaguzi unaokuja. So kabla hujaongea maji taka, pls fikiri kwanza, huandikii watoto au watu wa vijiweni humiWewe hata utape tape, tumeshaamua kura za waislamu ni kwa muislam mwenzetu, na nyie makafiri mpeni kafiri mwenzenu,
Halafu tuone nani anashinda
Ielewe kwanza comment yangu.Not a big deal? Kuwa serious man. Yaan mamlaka husika ivunje taratibu, watu waumizwe halaf wapotezee is not a big deal?
Ingetokea kwako ungepotezea kirahisi?
Sahihi kabisa, hata mimi kwenye post nyingine nimesema hivyo, ila alieanzisha huu udini humu ni mwenzio kinyungu, ni afadhali ungeanza nae au hata na yeye ungempa mawazo haya, twende sawa, vinginevyo usiite mawazo yangu maji taka kwani pia naweza kuita yako maji takaHili suala halihusiani na udini zaidi ni linahusiana na siasa na uchaguzi unaokuja. So kabla hujaongea maji taka, pls fikiri kwanza, huandikii watoto au watu wa vijiweni humi
Alipokuwa RTO OYSTER BAY alikamata Coster yangu pale American Chips yaliyofuata nikiandika hapa Mello ataitwa polisi aseme mimi ni nani.Kumbe Awadhi anatembeza rungu vile au zamani alikua kikosi cha bendi