Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
Nimeogopa sana Mkuu.Viongozi wa CHADEMA walipigwa kwa sababu ni wa Wakristu. Wangekuwa Waislam kama Zito wasingepigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeogopa sana Mkuu.Viongozi wa CHADEMA walipigwa kwa sababu ni wa Wakristu. Wangekuwa Waislam kama Zito wasingepigwa
Kwa mtazamo wako ngoja tuoneHapana, unaielewa vibaya sheria. Kwenye tukio hili polisi ndiyo waovu. Kutii maelekezo ya mwovu, ni kukubali kushiriki uovu wake.
Amesema hakuna Kiongozi wa Chama hicho atakayerudi Polisi kwa ajili ya kuripoti kuhusu mashtaka hiyo.
Sheria zilizoko ndani ya PGO ya polisi hazihitaji SHAHADA YA SHERIA...upo?Hivi form four failures wanawezaje kusimamia sheria zilizotungwa na watu wenye uelewa mpana wa mambo ya sheria?
Hii inafikirisha sana na ndiyo maana unakuta polisi wanavunja sheria sio kwamba ni kosa lao bali hawana elimu ya masuala ya sheria hivyo wanajionea sawa tu.
Sheria ni sheria....kuivunja ni kosa....Sheria ya kulinda CCM tu na kuivuruga CHADEMA kila wakati hiyo ni batili.
Kwahiyo wanasimamia muongozo wa PGO pekee kumbe?Sheria zilizoko ndani ya PGO ya polisi hazihitaji SHAHADA YA SHERIA...upo?
Kwa kweli ukivunja Sheria unaadhibiwa kwa mujibu wa Sheria.Sasa wewe,CHADEMA walivunja Sheria gani???Kifungu kipi katika sheria zetu???Ya mwaka gani???Kwa uzoefu wako hilo kosa walilolifanya CHADEMA liliwahi tokea wapi? Na lilihukumiwaje??Sheria ni sheria....kuivunja ni kosa....
Ni kweli itatokea tu.Tz nchi ya amani lakini polisi brutality inavyoongezeka kuna siku "Hamza" mwingine atakuja kuwaacha mdomo wazi.
Sheria mnazivunja wenyewe msilamizishe. Ni sheria gani iliyowapa policcm kukamata watu na kuwapiga bila ya kosa? Kuna sheria gani inayokataza watu kukusanyika?Kazi ya polisi ni kusimamia SHERIA....
Je ni hiyari kutii/kutotii wito wa polisi ?!!
Jibu : Si hiyari
Kukaidi WITO wa polisi ndio UVUNJIFU WENYEWE WA HIYO SHERIA.....
Kwanini wasiripoti polisi wakiwa na wanasheria wao ?!!! [emoji44][emoji44]
Komredi Mbowe haeleweki
Hueleweki kamarada [emoji1787][emoji1787]
Wakristo wanachukia na wanataka kufanya fujo kwa kuwa tu rais ni muislam,Viongozi wa CHADEMA walipigwa kwa sababu ni wa Wakristu. Wangekuwa Waislam kama Zito wasingepigwa
Siyo kweli. Sijamzungumzia rais. Hao viongozi hata hawakuwa na kosa lolote zaidi ya kuwa Wakristu na mtesaji wao kuwa AwadhWakristo wanachukia na wanataka kufanya fujo kwa kuwa tu rais ni muislam,
Rais alipokuwa mkiristo mwenzao, aliwatesa na walikua kimyaaaaa
Naunga mkono hoja, ni mashitaka ya kipumbavu snMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Mkutano ulioitishwa na Chama hicho amesema Viongozi wa Chama hicho wamefunguliwa mashtaka na kisha kujidhamini na kutakiwa kuripoti kwenye vituo tofauti vya Polisi.
Amesema hakuna Kiongozi wa Chama hicho atakayerudi Polisi kwa ajili ya kuripoti kuhusu mashtaka hiyo.
Amesema "Polisi wametutaka kwenda kuripoti kwenye Vituo vyao kwa nyakati tofauti. Hili nilizungumze kwa falsafa rahisi sana ya Thomas Orbs, kitu kinachoitwa Civil Disobedience, hatutaki kwenda kwenye civil disobedience ila hatutaki kuwa makondoo. Viongozi wetu wote ambao wamefunguliwa mashtaka hewa haya hatutarudi kuripoti Polisi kwenda kuripoti jambo hili."
Ameongeza "Wakitaka kuchukua hatua, wachukue hatua wanayotaka. Sisi tunasema hatutakwenda Polisi kufuata mashtaka ya uongo, ya kughushi, ya kudhalilisha. "
PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafugua keshi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
We ni shetani, Lisu alinyama lini? hakupigwa risasi?Wakristo wanachukia na wanataka kufanya fujo kwa kuwa tu rais ni muislam,
Rais alipokuwa mkiristo mwenzao, aliwatesa na walikua kimyaaaaa
Sahihi kabisaSiyo kweli. Sijamzungumzia rais. Hao viongozi hata hawakuwa na kosa lolote zaidi ya kuwa Wakristu na mtesaji wao kuwa Awadh
Siyo kweli. Sijamzungumzia rais. Hao viongozi hata hawakuwa na kosa lolote zaidi ya kuwa Wakristu na mtesaji wao kuwa Awadh
Hata mimi sijamzungumzia yeyote zaidi ya samia kuwa muislam na kuchukiwa na wakristo wengiWe ni shetani, Lisu alinyama lini? hakupigwa risasi?
Mbishie na huyuHii inathibitisha hoja kuwa CHADEMA ni kikundi chenye mlengo wa Kikristu!