Pre GE2025 Freeman Mbowe: Hatutaripoti Polisi. Hakuna Kiongozi wetu atarudi kwa mashtaka hewa haya!

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Hatutaripoti Polisi. Hakuna Kiongozi wetu atarudi kwa mashtaka hewa haya!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe na wenzako mnajiita makamanda,na magwanda mnavaa kumbe huna lolote,makamanda uchwara tuh chadema,wakikumbuka mwenzao Sugu alichofanywa lazima waimbe Kwa sauti ya binti Zuchu(Siendiii)...
 
Amesema hakuna Kiongozi wa Chama hicho atakayerudi Polisi kwa ajili ya kuripoti kuhusu mashtaka hiyo.
200w (3).gif
 
Hivi form four failures wanawezaje kusimamia sheria zilizotungwa na watu wenye uelewa mpana wa mambo ya sheria?

Hii inafikirisha sana na ndiyo maana unakuta polisi wanavunja sheria sio kwamba ni kosa lao bali hawana elimu ya masuala ya sheria hivyo wanajionea sawa tu.
Sheria zilizoko ndani ya PGO ya polisi hazihitaji SHAHADA YA SHERIA...upo?
 
Sheria zilizoko ndani ya PGO ya polisi hazihitaji SHAHADA YA SHERIA...upo?
Kwahiyo wanasimamia muongozo wa PGO pekee kumbe?

Hivi kwenye hatua za ukamataji ambazo huongozwa na Criminal Procedure Act nazo huwa hawasimamii kumbe?

Vipi kuhusu katiba ya nchi ambayo huwa wanaivunja kwa kupiga marufuku maandamano ya amani yaliyopo kikatiba?
 
Sheria ni sheria....kuivunja ni kosa....
Kwa kweli ukivunja Sheria unaadhibiwa kwa mujibu wa Sheria.Sasa wewe,CHADEMA walivunja Sheria gani???Kifungu kipi katika sheria zetu???Ya mwaka gani???Kwa uzoefu wako hilo kosa walilolifanya CHADEMA liliwahi tokea wapi? Na lilihukumiwaje??
 
Kazi ya polisi ni kusimamia SHERIA....

Je ni hiyari kutii/kutotii wito wa polisi ?!!

Jibu : Si hiyari

Kukaidi WITO wa polisi ndio UVUNJIFU WENYEWE WA HIYO SHERIA.....

Kwanini wasiripoti polisi wakiwa na wanasheria wao ?!!! [emoji44][emoji44]

Komredi Mbowe haeleweki

Hueleweki kamarada [emoji1787][emoji1787]
Sheria mnazivunja wenyewe msilamizishe. Ni sheria gani iliyowapa policcm kukamata watu na kuwapiga bila ya kosa? Kuna sheria gani inayokataza watu kukusanyika?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Mkutano ulioitishwa na Chama hicho amesema Viongozi wa Chama hicho wamefunguliwa mashtaka na kisha kujidhamini na kutakiwa kuripoti kwenye vituo tofauti vya Polisi.

Amesema hakuna Kiongozi wa Chama hicho atakayerudi Polisi kwa ajili ya kuripoti kuhusu mashtaka hiyo.

Amesema "Polisi wametutaka kwenda kuripoti kwenye Vituo vyao kwa nyakati tofauti. Hili nilizungumze kwa falsafa rahisi sana ya Thomas Orbs, kitu kinachoitwa Civil Disobedience, hatutaki kwenda kwenye civil disobedience ila hatutaki kuwa makondoo. Viongozi wetu wote ambao wamefunguliwa mashtaka hewa haya hatutarudi kuripoti Polisi kwenda kuripoti jambo hili."

Ameongeza "Wakitaka kuchukua hatua, wachukue hatua wanayotaka. Sisi tunasema hatutakwenda Polisi kufuata mashtaka ya uongo, ya kughushi, ya kudhalilisha. "

PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafugua keshi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Naunga mkono hoja, ni mashitaka ya kipumbavu sn
 
Na sasa tutangaze rasmi waislamu wote waelewe kwamba hii sasa ni vita anapigwa mama rais samia kwa kuwa tu ni muislam,
Naomba kabisa kutoka moyoni waislamu wote waelewe kwamba Kinyungu ndio ameanzisha hii habari ya uislam na ukristo kwenye uzi wa siasa,

Kwahiyo waislam wooote tuungane sasa kumuunga mkono muislam mwenzetu ashinde kwa kishindo kikubwa sana ili kuonesha umoja wetu

#waislamwotekurakwasamia
 
Back
Top Bottom