Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe: Kuna mamilioni ya wapigakura hewa na kuna vituo vingi hewa, bila NEC kurekebisha hakutakuwa na uchaguzi

Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe: Kuna mamilioni ya wapigakura hewa na kuna vituo vingi hewa, bila NEC kurekebisha hakutakuwa na uchaguzi

Is English our National language ? Do you think that Magufuli to speak broken english is a justification of his Intelligence ? Think twice

How intelligent is Magufuli? Being a dictator(Constitution violation and reign of terror), being a discriminator(hates and harrassing opposition members/leaders), being a racist(calling brown/white women are beautiful and black women are ugly)? How can a president be intelligent if he can't even make simple sentence in English? A president who've stayed in power for 5 solid years without even a single state tour in Europe, Asia or America!!!
Your Intelligent President who can't address a public in fluent English.....shame on you!!
 
Kwa hiyo huyo jamaa mdogo hivyo anakaribia kulingana na baba yangu kabisa? aisee ccm shikamoo, matako nyie jamaa mwaka huu ujinga huu basi. Jiwe tunalirudisha chato shenzi
 
Kuna video mitandaoni inaonyesha wanajeshi wamesambazwa mitaani huko Zanzibar.
Ni jambo la kawaida majeshi yetu kushika doria nyakati ambazo jeshi la polisi pekee halitaweza kumudu kuimarisha ulinzi na usalama. Tena si JWTZ ni majeshi yote JKT, Wanyama pori, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto, Mgambo nk. So usipaniki na wala usishangae ukiona wanafanya mazoezi ya Riot Control hilo ni dunia yote hufanya hivyo wakati wa uchaguzi.
 
Ni majira ya mchana hivi inaonekana uwanja umeinama kabisa yaani mpaka sasa ufipa wanatafuta mpira kwa tochi yaani hali ni mbaya.

Hayo yanathibitisha na maneno ya uzamili na uchochezi na ya kuwajaza watanzania uongo yaliyoandikwa na Mwenyekiti wa CDM katika ukurasa wake wa Twitter

Mbowe analalamika kwa NEC sasa kuna maswali ya kujiuliza juu ya mamalamiko yake ya uongo na kinafiki katika mtandao wa Twitter

TUJIULIZE

NEC inawezaje kuwatambua wapinzani waliojiandikisha kwenye daftari la kidumu la wapiga kura mpaka iwahamishe?
Kwani wakati wa kujiandikisha tulikuwa tunauizwa itikadi za vyama?
Acheni sababu za hovyo, jiandaeni kuachia majimbo hayo maana kwenye nafasi ya Urais hampati hata 15%

Yaani nasema katika uchaguzi huu kama Lissu akipata kura 2000 mbele ya Magufuli akatambike
Sindano za jana na juzi pale Kilimanjaro zimeibuwa vijidudu vya malaria kwa mwenyekiti, sasa anabwabwaja bila data.kama wapinzani wameenguliwa pale jimbo la hai ni wangapi na ni kina nani.Mbowe mlimfanya Magufuli mwepesi kama karatasi sasa mmegundua jamaa ni jiwe kwelikweli.Leo JPM kazamisha mtumbwi wa Lema Arusha.Sasa mmebaki dembe dembe, chakali
 
How intelligent is Magufuli? Being a dictator(Constitution violation and reign of terror), being a discriminator(hates and harrassing opposition members/leaders), being a racist(calling brown/white women are beautiful and black women are ugly)? How can a president be intelligent if he can't even make simple sentence in English? A president who've stayed in power for 5 solid years without even a single state tour in Europe, Asia or America!!!
Your Intelligent President who can't address a public in fluent English.....shame on you!!
🤔🤔🤔 It is very sad to see a blind mind like you who is thinking that being a good leader in Africa is to conduct tour in Europe or America, shame on you 😏😏😏
The the blind mind which believe that Freedom of speech and expression has no limitation.
A blind mind which believe that, being a good leader in Africa is to speak proper English, so what english is ? Is speaking proper english determine our level of economic development ? Are you really a man or you have got mental defect broo !!!
your very fan Let Magufuli lead this nation.
 
“Kuna uvurugwaji wa kutisha wa Daftari la wapiga kura. Mamilioni ya wapiga kura hewa & maelfu ya vituo bandia. Wapiga kura wengi wapinzani wamehamishwa vituo au kuondolewa kwa makusudi. NEC itoe maelezo & suluhisho haraka la sivyo uchaguzi huu utashindikana kuanzia hatua ya awali”. Freeman Mbowe.

“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.

Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.


HAKIKINI VITUO NA HUU NDIO WAKATI WAKE NA MUDA NDIO HUU VIRIPOTINI KWA TUME NA NATIONAL AND INTERNATIONAL
 
kumekucha mwaka huu
dodoma_zone_-___CGs2caAgp-T___-.jpg
 
🤔🤔🤔 It is very sad to see a blind mind like you who is thinking that being a good leader in Africa is to conduct tour in Europe or America, shame on you 😏😏😏
The the blind mind which believe that Freedom of speech and expression has no limitation.
A blind mind which believe that, being a good leader in Africa is to speak proper English, so what english is ? Is speaking proper english determine our level of economic development ? Are you really a man or you have got mental defect broo !!!
your very fan Let Magufuli lead this nation.

Your defence to your dictator president doesn't hold even a single drop of water!! It's just propaganda after propaganda, cheating and rigging. Not this time my dear!
Tanzania depends on grants and aids from other countries in Europe, Asia and The USA. Any good leader who knows the importance of Foreign relationship shall at least pay a state visit to any country with close ties to Tanzania.
Our nation budget depends almost by 40% of a total budget! Only a fool like you and your President can disregard this!!
Frankly speaking, Magufuli's enemy numero one preventing him for 5 years without any state visit in Europe, USA or Asia is the English language!! It's that simple!!
 
Your defence to your dictator president doesn't hold even a single drop of water!! It's just propaganda after propaganda, cheating and rigging. Not this time my dear!
Tanzania depends on grants and aids from others countries in Europe, Asia and The USA. Any good leader who knows the importance of Foreign relationship shall at least pay a state visit to any country with close ties to Tanzania.
Our nation budget depends almost by 40% of a total budget! Only a fool like you and your President can disregard this!!
Frankly speaking, Magufuli's enemy numero one preventing him for 5 years without uany state visit in Europe, USA or Asia is the English language!! It's that simple!!
Wewe jamaaa kumbe akili zako makopo kabisa kuliko nilivyodhani, sijui unajiita mzalendo gani wewe bora hata ungejiita beberu kabisa.
Naona una pinga sana Tanzania kujitegemea yenyewe unataka tuendelee kuwapigia magoti wazungu kwani wao ni kina nani hasa ?
Unasema Magufuli hana mahusiano maziri kimataifa, hivi unajua kwanza ni balozi ngapi mpya Tanzania imefungua chini ya Magufuli ambazo hazikwepo kabisa ?
Kama kulipa fadhila ni rais kutembelea hizo nchi zinazotusadia Je mabalozi wetu wana kazi gani kwenye hizo nchi ? Kama unataka magufuli akawatembelee basi ilikuwa haina haja ya rais kuchagua mabalozi kwenda kuwakilisha kwenye hizo nchi, maana mabalozi wameteuliwa ili waende huko wakaendeleze uhusiano mwema kati ya nchi husika zinazoshirikiana, sasa wewe unabweka bweka kitu gani mbwa koko wewe !😥
Tena ulivyo na madharau ya kisenge eti unasema magufuli haendi ulaya na america kwa sababu hajui kingereza,kweli kiakili uko sawa wewe ?
Kwani kingereza nini ? Hivi Trump walipokutana na Kim waliongea lugha gani ?
Tuna Marehemu Gaddafi alikuwa hajui kingereza zaidi ya kiarabu pekee, vipi nchi yake ilikuwa maskini ?

Tatizo akili zako zinaona urafiki wa Tanzania uwe na marekani,uwingereza au Ujeruman ndiyo tutaendelea,
Kwani hatuwezi kuwa na urafiki na China,Urusi au United Arab Emirates na tukaendelea vile vile.
Acha Tanzania ijitegemee kiuchumi achana na upuuzi mwingine, kingereza hakiendelezi uchumi wa nchi wala kuitembelea marekani hukuendelezi uchumi wa tanzania.
Tumeshindwa kuwa wamoja nchi za africa wenyewe tunakatengeza hata pesa moja ikatumika africa nzima kama euro ya ulaya, tumeshindwa tunawawaza mabepari kama wewe.
 
Mabalozi waliendesha zoezi la kuandika majina ya wanachama wa CCM na watu ambao hawaoneshi mapenzi na upinzani na namba za kadi zao za mpigakura. Zoezi liliendeshwa nchi nzima
Kutoa namba ya kitambulisho ni kosa kisheria kwanza inabidi ulete ushahidi ili tuwachukulie hatua za kisheria kwa kushindwa kumilik na kutoa taarifa za kadi
 
Wewe jamaaa kumbe akili zako makopo kabisa kuliko nilivyodhani, sijui unajiita mzalendo gani wewe bora hata ungejiita beberu kabisa.
Naona una pinga sana Tanzania kujitegemea yenyewe unataka tuendelee kuwapigia magoti wazungu kwani wao ni kina nani hasa ?
Unasema Magufuli hana mahusiano maziri kimataifa, hivi unajua kwanza ni balozi ngapi mpya Tanzania imefungua chini ya Magufuli ambazo hazikwepo kabisa ?
Kama kulipa fadhila ni rais kutembelea hizo nchi zinazotusadia Je mabalozi wetu wana kazi gani kwenye hizo nchi ? Kama unataka magufuli akawatembelee basi ilikuwa haina haja ya rais kuchagua mabalozi kwenda kuwakilisha kwenye hizo nchi, maana mabalozi wameteuliwa ili waende huko wakaendeleze uhusiano mwema kati ya nchi husika zinazoshirikiana, sasa wewe unabweka bweka kitu gani mbwa koko wewe !😥
Tena ulivyo na madharau ya kisenge eti unasema magufuli haendi ulaya na america kwa sababu hajui kingereza,kweli kiakili uko sawa wewe ?
Kwani kingereza nini ? Hivi Trump walipokutana na Kim waliongea lugha gani ?
Tuna Marehemu Gaddafi alikuwa hajui kingereza zaidi ya kiarabu pekee, vipi nchi yake ilikuwa maskini ?

Tatizo akili zako zinaona urafiki wa Tanzania uwe na marekani,uwingereza au Ujeruman ndiyo tutaendelea,
Kwani hatuwezi kuwa na urafiki na China,Urusi au United Arab Emirates na tukaendelea vile vile.
Acha Tanzania ijitegemee kiuchumi achana na upuuzi mwingine, kingereza hakiendelezi uchumi wa nchi wala kuitembelea marekani hukuendelezi uchumi wa tanzania.
Tumeshindwa kuwa wamoja nchi za africa wenyewe tunakatengeza hata pesa moja ikatumika africa nzima kama euro ya ulaya, tumeshindwa tunawawaza mabepari kama wewe.


Maneno kibao halafu yote ni ubabaishaji na upuuzi mtupu!!
Hivi unajua maana ya Europe, Asia and America?
Inadhihirisha hujui China, Ujerumani, Urusi n.k ziko kwene continent gani Kati ya Ulaya, Asia na America.,....!!!!Aibuuuu!
Siwezi kubishana na Msukule wa CCM ambaye hawezi kutofautisha Kati ya Nchi na Bara🤣🤣!!
Weye unaonekana ni Kihiyo na Zero Brain mkubwa!!
Mimi ni Mzalendo haswa na ninajitambua.........siyo Kama weye ambaye umekuwa "brainwashed) na CCM kiasi kwamba upo tayari kutetea ujinga wowote unaosemwa na CCM ya Magufuli!!!
Mmekaririshwa kwa sasa maana ya neno Mzalendo ni kugeuzwa mikondoo isiyo hoji lolote wala chochote...!!!
Leo mtu akikosoa Serikali ya Magufuli mnamwita ni Beberu, msaliti n.k.
Huu ni wehu na wendawazimu!
 
Maneno kibao halafu yote ni ubabaishaji na upuuzi mtupu!!
Hivi unajua maana ya Europe, Asia and America?
Inadhihirisha hujui China, Ujerumani, Urusi n.k ziko kwene continent gani Kati ya Ulaya, Asia na America.,....!!!!Aibuuuu!
Siwezi kubishana na Msukule wa CCM ambaye hawezi kutofautisha Kati ya Nchi na Bara🤣🤣!!
Weye unaonekana ni Kihiyo na Zero Brain mkubwa!!
Mimi ni Mzalendo haswa na ninajitambua.........siyo Kama weye ambaye umekuwa "brainwashed) na CCM kiasi kwamba upo tayari kutetea ujinga wowote unaosemwa na CCM ya Magufuli!!!
Mmekaririshwa kwa sasa maana ya neno Mzalendo ni kugeuzwa mikondoo isiyo hoji lolote wala chochote...!!!
Leo mtu akikosoa Serikali ya Magufuli mnamwita ni Beberu, msaliti, n.k.
Huu ni wehu na wendawazimu!
Hivi kati ya mimi na wewe nani Brain iko washed?
Ndiyo maana maswali yako hayana kichwa wala miguu
Eti kidume unakomaa "Hivi unajua maana ya America,Europe na Asia ?" kwa hiyo kwa akili zako unaona hapa umeuliza swali, hivi hata msomaji akipitia comment yako ataona umeuliza swali 😎
Sijawahi kutana na mtu mwenye ugonjwa wa akili kama ww maishani mwangu.
Nafikiri kwa kukusadia inabidi wakupeleke mirembe laa sivyo unapoteza wengine kwa upuuzi wako 😏😏😏
 
Hivi kati ya mimi na wewe nani Brain iko washed, matako meusi kabisa wewe.
Ndiyo maana maswali yako hayana kichwa wala miguu
Eti kidume unakomaa "Hivi unajua maana ya America,Europe na Asia ?" kwa hiyo kwa akili zako unaona hapa umeuliza swali, hivi hata msomaji akipitia comment yako ataona umeuliza swali 😎
Sijawahi kutana na mtu mwenye ugonjwa wa akili kama ww maishani mwangu.
Nafikiri kwa kukusadia inabidi wakupeleke mirembe laa sivyo unapoteza wengine kwa upuuzi wako 😏😏😏

We ni takataka tu na huna lolote!
Swali hilo nimeuliza maksudi tokana na ubwege wako wa kushindwa kutofautisha Kati ya Nchi na Bara.....!!!
Tatizo ni kwamba lugha ya Malikia Mafisiccm wengi wa Lumumba inawapa taabu sana??
Mimi nilichangia kwa Kiingereza....wewe ukajitokeza kujibu hoja kwa Kiswahili. Ili kukusaidia nikaona nitumie Kiswahili lakini bado HUKUELEWA......!!! Hitimisho langu ni kuwa WEWE UNA MTINDIO WA UBONGO na bakhati mbaya MTINDIO wa Ubongo hauna tiba!! Anayepaswa kupelekwa Mirembe ni Mwenyekiti wako CCM(T)ambaye hapana shaka ni mwendawazimu na aliyemroga kesha kufa.... !!!Pole Sana!
 
Nosense
Remain with your fool like things left behind 🤬🤬🤬

Usilazimishe kutumia lugha ya Malkia utaadhirika wewe!!!
"Nosense" huandikwa Non-sense!
".....remain with your fool like things left behind..." ndiyo Nini??
Ni broken ambayo Sijawahi ona😂😂😂!!
Jitu limesoma ngumbaru linalazimisha kiingereza Cha kuombea maji....!!!
Pumbaaf na kubwa jinga.
 
Usilazimishe kutumia lugha ya Malkia utaadhirika wewe!!!
"Nosense" huandikwa Non-sense!
".....remain with your fool like things left behind..." ndiyo Nini??
Ni broken ambayo Sijawahi ona😂😂😂!!
Jitu limesoma ngumbaru linalazimisha kiingereza Cha kuombea maji....!!!
Pumbaaf na kubwa jinga.
I didn't appointed you to become my Grammarian.
Your will remain with your foolishness
 
Back
Top Bottom