Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Intact wakati ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa? Nafikiri ubongo wako haufanyikazi vizuri nenda kwa daktari ukatibiwe!
Kiukweli, hata huyo mmoja Magu aliagiza atangazwe ili kuogopa aibu kwamba iweje CHADEMA wasiwe na mbunge hata mmoja. Orijino plani ilikuwa CHADEMA asiachiwe hata mbunge mmoja. CUF walimwachia Lipumba mbunge mmoja kama zawadi kwa kumvuruga Maalim Seif. Magu ni mkarimu sana.

Licha ya mbunge huyo feki, na zile feki zingine 19, CHADEMA hata ruzuku hawaitaki. Hapo ndipo utaona uimara wa CHADEMA. Hakina wabunge wala ruzuku lakini inatisha.

Si kweli kwamba CHADEMA hawakupata wabunge, licha ya wengine wengi kuenguliwa kwa mbinu chafu za wizi na uporaji. Lakini ushahidi wa nguvu za CHADEMA wote tutauona wazi wazi muda muafaka. Stay tuned.
 
Kiukweli, hata huyo mmoja Magu aliagiza atangazwe ili kuogopa aibu kwamba iweje CHADEMA wasiwe na mbunge hata mmoja. Orijino plani ilikuwa CHADEMA asiachiwe hata mbunge mmoja. CUF walimwachia Lipumba mbunge mmoja kama zawadi kwa kumvuruga Maalim Seif. Magu ni mkarimu sana.

Licha ya mbunge huyo feki, na zile feki zingine 19, CHADEMA hata ruzuku hawaitaki. Hapo ndipo utaona uimara wa CHADEMA. Hakina wabunge wala ruzuku lakini inatisha.

Si kweli kwamba CHADEMA hawakupata wabunge, licha ya wengine wengi kuenguliwa kwa mbinu chafu za wizi na uporaji. Lakini ushahidi wa nguvu za CHADEMA wote tutauona wazi wazi muda muafaka. Stay tuned.
Tumeshazoea kusikia utopolo wenu wala hamtusumbui
 
Tumeshazoea kusikia utopolo wenu wala hamtusumbui
Ni rahisi sana kuandika neno UTOPOLO, na pia neno HAMTUSUMBUI. Lakini ni ngumu kidogo kuuchambua huo unaoita UTOPOLO, ili mtu mwenye akili zake naye auone. Kwa hiyo kama una hoja, tandaza hapa jamvini tuzione na kuzichambua.
 
Mh Mbowe alisema kuwa mwaka 2023 atastaafu uenyekiti. Ni nani unadhani atafaa kumrithi hiyo kazi?
 
Msigwa angefaa tatizo kofia Mbili uchungaji na siasa.
Option 2. Kidume wa Kanda maalumu Henche anamsimamo thabiti.
 
Back
Top Bottom