Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Kwa miaka ishirini na kitu hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kugeuza chama chetu kama mali yake binafsi...
ccm bana! mtahangaika sana na CHADEMA. CHADEMA sio Mbowe bali ni imani.

jiwe aliapa kuuwa CHADEMA ndani ya maka 5, pamoja na ubabe. ukatili, ubaguzi, kutumia wasiojulikana etc, alishindwa.

Safisheni nuumba yenu- hangaikeni na milioni 50 kila kijiji, elimu bure (sasa mmebadili jina na kuiita elimu bila ada), bima kila mtz etc.

Mbowe hata akiwa m/kiti CHADEMA kwa mika 100 anaweza kuzuia tz isipate maendeleo? Au mlita m/kiti awe mwambe au silinde halafu mnunue CHADEMA bei ya tlp au cuf?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza kuachia uongozi wa chama mwaka 2023

Pia, amewataka viongozi wa chama hicho Kanda ya Magharibi kutodumazwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi uliopita bali wajipange upya kudai na kusimamia haki
Akiachia tu ngazi mtegemee Chadema kuwa wiped out of the map ya politics kama NCCR ilvyo sasa!!! Ni ukweli Mbowe anakipaisha sana chama. he is a very strong leader, hamtapata kama huyo. Wengine wote nyie wachumia tumbo tu. Lissu ana papara sana hafai bado kuwa kiongozi. huyo anafaa kuwa mwanaharakati tu!!!
 
All the best kwake, mchango wake I can't explain hapa; nia yake, dhamira, utashi, hekima, uvumilivu (kakoswa na mabomu Soweto Arusha, risasi Mkwajuni Dsm). damn the list is endless. I am really proud of this guy.

Chadema ilipata Mwenyekiti the best ever, wamepiga kelele mwizi, sijui nini... but hakuna yeyote kati yao aliyethubutu kwenda mahakamani, Mbowe aliwaburuza wakaburuzika, walitaka kumuondoa kwa namna zote wakashindwa, leo ameamua kuondoka mwenyewe.

#Mwambahalisi.
Sabaya kamtesa sana lakini yeye kimya!! Hata sasa hajakurupuka kufurahia sabaya akiwa ndani!! Yuko very composed huyu mtu. Kifo cha mwendazake alisikitika na kutoa pole kwa familia na wote walioguswa.

Under normal circumstances za kidunia ungetegemea afurahie na kushangilia kama walivyofanya wapuuzi wengi, but no!!! Alisikitika!! Compare comments za Lissu na Mbowe kuhusiana na kifo cha Mkuu wa kaya CHADEMA hawatapata kiongozi kama huyu. Ni ukweli usiopingika Mbowe amekifanya chama kikubalike nchini!!!
 
All the best kwake, mchango wake I can't explain hapa; nia yake, dhamira, utashi, hekima, uvumilivu (kakoswa na mabomu Soweto Arusha, risasi Mkwajuni Dsm). damn the list is endless. I am really proud of this guy...
lkn chama hakina mizizi chini kwa wananchi kimekuwa chama cha mitandaoni !? .. Ni htr kutegemea siasa za "mabomu" : ambayo Jpm aliuyageuza " utendaji" na kukiacha chama bila mtaji wa kisiasa
 
Sabaya kamtesa sana lakini yeye kimya!! Hata sasa hajakurupuka kufurahia sabaya akiwa ndani!! Yuko very composed huyu mtu. Kifo cha mwendazake alisikitika na kutoa pole kwa familia na wote walioguswa!!! Under normal circumstances za kidunia ungetegemea afurahie na kushangilia kama walivyofanya wapuuzi wengi, but no!!! Alisikitika!! Compare comments za Lissu na Mbowe kuhusiana na kifo cha Mkuu wa kaya!!!! CDM hawatapata kiongozi kama huyu. Ni ukweli usiopingika Mbowe amekifanya chama kikubalike nchini!!!
I agree with you 100% hana mihemuko kabisa, Mbowe what a man, Mbowe safi sana, hajawa influenced na siasa za mitandaoni kabisa tofauti na hawa waliopo.
 
lkn chama hakina mizizi chini kwa wananchi kimekuwa chama cha mitandaoni !? .. Ni htr kutegemea siasa za "mabomu" : ambayo Jpm aliuyageuza " utendaji" na kukiacha chama bila mtaji wa kisiasa
Chama hakina mizizi chini kivipi wakati CCM walichakachua mpaka uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Chadema wako vizuri, ni mazingira ya kisiasa yasiyo sawa ndio yanawafanya waonekane hawako vizuri kwa watu wasioona mbali kama wewe ndugu.
 
Chama hakina mizizi chini kivipi wakati CCM walichakachua mpaka uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Chadema wako vizuri, ni mazingira ya kisiasa yasiyo sawa ndio yanawafanya waonekane hawako vizuri kwa watu wasioona mbali kama wewe ndugu.
siko huko ndg, cdm haina matawi chini , siasa zinaanzia kwenye mashina hakuna short cut - lzm yawepo matawi kindaki ya chama yenye nguvu..umenipata muona mbali
 
Nakubali mawazo yake, na Nia yake siwezi kuipinga.... ILA NIMUOMBE KITU KIMOJA TU, AHAKIKISHE ANATUACHIE MTU SAHIHI WA KUMRITHI /KUMPENDEKEZA MAANA KAZI YA KUWA MWENYEKITI CDM NI NGUMU MNO KULIKO ZOTE, INAHITAJI ZAIDI YA UVUMILIVU
 
Ulichojibu hakiendani na swali.

Kwa mujibu wa mshabiki wajinga wa chadema ni kwamba Mbowe akitoka kwenye hiyo nafasi wengine watauza chama na kukiua.

Mbowe katangaza kung'atuka 2023. Swali, je mwisho wa chadema ni 2023?
Uhakika wa kauli yako ni upi? Je unaweza weka ushahidi wa hilo usemalo?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza kuachia uongozi wa chama mwaka 2023

Pia, amewataka viongozi wa chama hicho Kanda ya Magharibi kutodumazwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi uliopita bali wajipange upya kudai na kusimamia haki
Angatuke tuu
 
I agree with you 100% hana mihemuko kabisa, Mbowe what a man, Mbowe safi sana, hajawa influenced na siasa za mitandaoni kabisa tofauti na hawa waliopo.
Kabisa mkuu!!!
 
Pandikizi la wapi tena?
Pandikizi? Siyo pandikizi, ni mrithi halisi. Godbless Lema ni mtu wa kwetu Hai, kasoma kuliko Mbowe (nadhani ni CPA). Halafu ana kauzalendo fulani, kuna wakati alimkandia Waziri wa Uwekezaji kwa kuleta briefcase investors kwa MS PowerPoint presentations. Akirudi mie nitampa kisale, huu ni mti Wachagga hupeana kutaka suluhu. All in all, Lema ni mwenzetu.
 
Ulichojibu hakiendani na swali.

Kwa mujibu wa mshabiki wajinga wa chadema ni kwamba Mbowe akitoka kwenye hiyo nafasi wengine watauza chama na kukiua.

Mbowe katangaza kung'atuka 2023. Swali, je mwisho wa chadema ni 2023?
Jibu ndio hilo, kwamba hata Mbowe akiondoka, CHADEMA bado ngangari. Wanaotabiri kifo cha CHADEMA wanajidanganya. CHADEMA ina misingi imara sana.
 
Sabaya kamtesa sana lakini yeye kimya!! Hata sasa hajakurupuka kufurahia sabaya akiwa ndani!! Yuko very composed huyu mtu. Kifo cha mwendazake alisikitika na kutoa pole kwa familia na wote walioguswa.

Under normal circumstances za kidunia ungetegemea afurahie na kushangilia kama walivyofanya wapuuzi wengi, but no!!! Alisikitika!! Compare comments za Lissu na Mbowe kuhusiana na kifo cha Mkuu wa kaya CHADEMA hawatapata kiongozi kama huyu. Ni ukweli usiopingika Mbowe amekifanya chama kikubalike nchini!!!

..wakati mwingine kukaa kimya ndio kunawawezesha wasiojulikana kutesa watu.

..mtu anatendewa uovu halafu anakaa kimya, unategemea wananchi watajuaje kwamba kuna uovu unaoendelea?
 
Back
Top Bottom