Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Mimi siungi mkono hoja bado chama kinamuhitaji mbowe kwa nafasi ya mwenyekiti
 
Baada ya chama kukosa mwelekeo ndiyo anaachia ngazi?

Anamuachia nani?

Abakie tu hapo mpaka umauti.
 
Ila huyu Mwamba akiachia vijana hiki chama kinaweza kufa mda si wake. Wengi ni wachumia tumbo.

Siasa za Mbowe si za kawaida.
Nami nakuunga mkono. Angali vijana wote aliowaamini na kuwakuja, akina Katambai wapo zao CCM
 
Chadema ilipata ummarufu kwa sababu ya mapingufu ya serikali ya awamu ya 4 ikiwa na ufisadi kila kona dr .slaa wakapata hoja si kweli mbowe alikijenga Kama inavyosema ila yeye alikitumia kukikopesha kwa riba na kukidai kwa mgongo wa nyuma
Hivi unazani awamu ya 5 asingepiga marufuku ya mikutano umaarufu ungepungua? Jiulize kwanini aliogopa Chadema akaamua kutumia dola kuishughulikia na ameondoka amekiacha chama kipo, sasa kama hufahamu kwasasa Wananchi wengi hadi vijijini wanawasikiliza sana wanasiasa wa upinzani hususani Chadema.
Slaa anajua alichokifanya akakubali kununulika ili akapate mafao ya uzeeni
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza kuachia uongozi wa chama mwaka 2023

Pia, amewataka viongozi wa chama hicho Kanda ya Magharibi kutodumazwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi uliopita bali wajipange upya kudai na kusimamia haki
Wanachama ndio wanaamua sio yeye
 
Chadema ilipata ummarufu kwa sababu ya mapingufu ya serikali ya awamu ya 4 ikiwa na ufisadi kila kona dr .slaa wakapata hoja si kweli mbowe alikijenga Kama inavyosema ila yeye alikitumia kukikopesha kwa riba na kukidai kwa mgongo wa nyuma
Hujui usemalo hakuna mafanikio bila mikakakti. Mbowe Ni mwana mikakati/strategist mzuri sanaa
 
Chadema ilipata ummarufu kwa sababu ya mapingufu ya serikali ya awamu ya 4 ikiwa na ufisadi kila kona dr .slaa wakapata hoja si kweli mbowe alikijenga Kama inavyosema ila yeye alikitumia kukikopesha kwa riba na kukidai kwa mgongo wa nyuma
Hujui usemalo hakuna mafanikio bila mikakakti. Mbowe Ni mwana mikakati/strategist mzuri sanaa
 
Kwa miaka ishirini na kitu hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kugeuza chama chetu kama mali yake binafsi.

Kuchuma na kuchota michango anavyotaka. Kutosikia ushauri wa maana na kutaka kuabudiwa kama mfalme kulirudisha nyuma Chadema.

Kwa sasa amepima maji ameona kabisa hawezi kuogelea. Kosa la mwaka 2015 kumleta Lowassa kwa mizengwe ndio lilisababisha watu wamuone hafai.

My take: Baada ya mwamba kuondoka tunakuja kupata nguvu kubwa sana.
 
mbowe mhuni yaani akiondoka mbowe akaingia mwenyekiti mwinginne makini chama kinakuja kuchukuwa dola maana kitakuwa na siasa safi ila huyu mburulaanakiaibisha chama kikuu ni mwizi halafu wanamsifia eti mwamba huku anawatafuna
 
Mnadhani atawekwa pandkizi lakuyumbishwa yumbishwa inatoka dhahabu itaingia platinum chama imara na chama makini
 
Kaa hapo, hivyo vyama vingine ambavyo havikuongozwa na Mbowe vina hali gani kwa sasa? Mbowe ndiye kamanda wa ukweli,wewe ni kuruta tu.
Mkuu usipoteze mda , huyu ya ccm chama chake yamemshinda ,ya chadema atayaweza wapi?

Mbowe yupo na ataendelea kuwepo mpaka wapasuke bongo zao Kama sio kujinyonga
Kaa hapo, hivyo vyama vingine ambavyo havikuongozwa na Mbowe vina hali gani kwa sasa? Mbowe ndiye kamanda wa ukweli,wewe ni kuruta tu.
 
Back
Top Bottom