Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Tutamlazimisha aendelee atake asiitake!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
CHADEMA NI WAPUMBAVU WA KIWANGO KIKUBWA. MTU KAMA MBOWE ANAKUWAJE MWENYEKITI KWA MIAKA 20? KILAZA KAMA YULE? AU KWA KUWA NI MCHAGA AU CHAMA ALIANZISHA MKWEWE?
UKWELI MCHUNGU CHADEMA YAFAA WABADILISHE HARAKATI ZAO KUTOKA KUWA ZA KABILA LA KICHAGA KUWA KITAIFA.
 
Bado huelewi unachosoma?

Mafanikio; si hayo hapo CHADEMA inadunda hadi sasa? Huyo Slaa ilikuwa ni mpango wa kuiua CHADEMA, lakini ikashindikana, bado wewe huoni kuwa hayo ni mafanikio makubwa?
Inadunda kwenye mitandao kushadadia watu wapewe kesi
 
Mkuu binafsi sijawai kua ndani ya box ,nafanya kile nakiamini, na KWA mapenzi yangu mwenyewe,binafsi hata mh Mbowe hatufamiani, ila ni mwanachama baada ya miaka kibao kaa bila Chama na sikuwai kua na chama kabla , so niliamua jiunga na Chadema 2020 kabla ya uchaguzi TOKA moyoni kwanza wakati sijapata KADI ya uhanachama,

Sababu kuu niliona jinsi Chadema Wanavyo nyanyaswa ,kuteswa , kufungwa , swali langu ilikua why watu wachadema wanakubali mateso yote wakati wengi wao Wana maisha , na wanaweza ishi maisha watakayo, ? Na kabla nilitaka jiunga na chama ambacho bado kichanga ,roho yangu ilikua KWA CHAUMA maana nilizipitia katiba mbali mbali za vyama tofauti vichanga ila niliona CHAUMA naweza jiunga nacho kabla ya shinikizo la roho kutuliza moyo wangu CHADEMA,

So yapo mengi moyoni mwangu, na wenda ni mchanga Sana katika ichi chama, but Nina commitment ya ajabu Sana na chama hichi sio kwamba natafuta sifa ndani ya chama , na je sifa naitafutaje wakati hakuna mwanachama yeyote niliwahi au mshirikisha ID yangu hapa jf, kwamba twafamiana ,



But from my heart I love CHADEMA, yapo mengi nitayafanya KWA chama ichi binafsi Mungu nisaidie
Ndio kuingia BOX kwenyewe uko...ni Ngumu kujua kuwa hujui.
 
Mbowe kiboko ya CCM!
Mbowe, bado Chadema ni chama cha ukombozi. Kiongozi mkuu wa chama cha ukombozi hang'atuki mpaka ukombozi upatikane. Objective yako sikuzote ilikuaa ipi?
 
Mheshimiwa Mbowe hata akistaafu hiyo 2023 ni sawa amekipigania chama kwa hali na mali. Hakika mchango wake kwa CHADEMA hauwezi kubezwa hata siku moja.
 
Binafsi sijaona mtu wa kuvaa viatu vya Mbowe, ubunifu, ustahimilivu, busara, kujitolea mali zake nk. Mwingine anaweza nunuliwa chap akauza chama. Angalia makatibu wakuu karibia wote kuanzia Kaborou, Slaa, Mashinji walitimkia CCM wakaenda kuuza mafaili na chama hakikuyumba kwasababu ya Mbowe.Nadhani angepiga 5 za mwisho tuweze kuwachuja vizuri
 
Binafsi sijaona mtu wa kuvaa viatu vya Mbowe, ubunifu, ustahimilivu, busara, kujitolea mali zake nk. Mwingine anaweza nunuliwa chap akauza chama. Angalia makatibu wakuu karibia wote kuanzia Kaborou, Slaa, Mashinji walitimkia CCM wakaenda kuuza mafaili na chama hakikuyumba kwasababu ya Mbowe.Nadhani angepiga 5 za mwisho tuweze kuwachuja vizuri
Ubunifu wa kuuwa chama sawa
 
Aondoke haraka sana amekidumaza sana chama hicho baada ya kuendekeza ukabila na kupeleka kibra wote wanaompinga akiwemo Wangwe

Hicho chama kikichukuliwa na wasukuma kitafika mbali sana.
Duh! We kiboko. Karne hii unazungumuzia kabila? "Nyonina".
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza kuachia uongozi wa chama mwaka 2023

Pia, amewataka viongozi wa chama hicho Kanda ya Magharibi kutodumazwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi uliopita bali wajipange upya kudai na kusimamia haki
Hatua muafaka. Bravo Mbowe. Vita umeipigana. Bravo and long live Chadema.
 
Akimwachia Tundu Lissu hakutakuwa na chadema tena.
 
Mbowe, bado Chadema ni chama cha ukombozi. Kiongozi mkuu wa chama cha ukombozi hang'atuki mpaka ukombozi upatikane. Objective yako sikuzote ilikuaa ipi?
Tusubiri vikao vya Chama vitasema nini!
 
Umeandika kinyumenyume. Bila shaka ulimaanisha: CCM kiboko ya Mbowe.
Hukuna hata siku moja inaweza kupita bila viongozi wa CCM na wafuasi wao kumtaja Mbowe! Hata Magufuli alikuwa anamuota ndotoni
 
Anaweza kuachia uenyekiti halafu akabaki kuwa mlezi wa chama!!!Hapo atakuwa na makali kama mwenyekiti kabisa!!LISU ANAFAA KUWA MWENYEKITI!!
 
Bora aondoke maana miaka yake yote ya uenyekiti hakujenga hata makao makuu ya chama licha ya kuwa anapata ruzuku ya zaidi ya bilioni tatu kila mwaka.
 
Anaweza kuachia uenyekiti halafu akabaki kuwa mlezi wa chama!!!Hapo atakuwa na makali kama mwenyekiti kabisa!!LISU ANAFAA KUWA MWENYEKITI!!
Lissu hafai kuwa mwenyekiti, mtu pekee anayefaa ni Mnyika.
 
Back
Top Bottom