Swala ni mtu wa kuaminika kumkabidhi kiti kama bado hajapatikana basi Mbowe aendelee kama yupo anayetosha basi wanachama wamuone na waridhike naye nje ya mipaka ya mashaka.Mimi kwangu nimeridhika kabisa na maamuzi haya ya Mbowe, na cdm wanapaswa kurekebisha kipengele cha mtu kutokukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Hiki kimekuwa kilio changu cha muda mrefu sana. Mimi sio muumini wa kiongozi kukaa kwenye nafasi moja ya kuchaguliwa zaidi ya miaka 10. Namshauri Mbowe wala asikubali kushauriwa na yoyote kuendelea kukalia kiti hicho zaidi ya muda aliosema.
Mbowe amekuwa kiongozi bora sana wa upinzani hapa Tanzania.