Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Sawa!Magufuli alinajisi CCM kikawa chama cha majambazi ya kunyang'anya fedha wa watu kwa kutumia bunduki za serikali!
.
Unaonaje sasa ukajibu hilo swali hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa!Magufuli alinajisi CCM kikawa chama cha majambazi ya kunyang'anya fedha wa watu kwa kutumia bunduki za serikali!
Umesahau pia kimemfanya bilionea kwa kukikopesha kwa riba ya 200%All the best kwake, mchango wake I can't explain hapa; nia yake, dhamira, utashi, hekima, uvumilivu (kakoswa na mabomu Soweto Arusha, risasi Mkwajuni Dsm). damn the list is endless. I am really proud of this guy.
Chadema ilipata Mwenyekiti the best ever, wamepiga kelele mwizi, sijui nini... but hakuna yeyote kati yao aliyethubutu kwenda mahakamani, Mbowe aliwaburuza wakaburuzika, walitaka kumuondoa kwa namna zote wakashindwa, leo ameamua kuondoka mwenyewe.
#Mwambahalisi.
Mpumbavu sana yule!Kwa taarifa hii #kamanda asiyechoka
Atakuwa amefurahi sana
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Pole nduguFaru John ameamua kuachia ngazi au?
Kwa sheria zinazoendesha siasa ya Tanzania Mbowe alipambana sana kwa namna alvyoijenga Chadema hadi vijijini kwakweli Heko kwake Mwenyekiti naamini watatafuta kijana ambaye anamisimamo kama Kaliba ya Heche, Sugu angefaa ila basi shule inamtupa siasa ya sasa inafaa vijana ambao wameenda shule na waaminifuAll the best kwake, mchango wake I can't explain hapa; nia yake, dhamira, utashi, hekima, uvumilivu (kakoswa na mabomu Soweto Arusha, risasi Mkwajuni Dsm). damn the list is endless. I am really proud of this guy.
Chadema ilipata Mwenyekiti the best ever, wamepiga kelele mwizi, sijui nini... but hakuna yeyote kati yao aliyethubutu kwenda mahakamani, Mbowe aliwaburuza wakaburuzika, walitaka kumuondoa kwa namna zote wakashindwa, leo ameamua kuondoka mwenyewe.
#Mwambahalisi.
Jibu swali mkuu!Pole ndugu
Mkuu binafsi sijawai kua ndani ya box ,nafanya kile nakiamini, na KWA mapenzi yangu mwenyewe,binafsi hata mh Mbowe hatufamiani, ila ni mwanachama baada ya miaka kibao kaa bila Chama na sikuwai kua na chama kabla , so niliamua jiunga na Chadema 2020 kabla ya uchaguzi TOKA moyoni kwanza wakati sijapata KADI ya uhanachama,Tayari.. huwezi jua manake umeshaingia ndani ya Box.
2025 anaishiwa hata mmoja hapatiMbowe ameuwa chama kutoka wabunge 100 hadi kubaki mmoja!!
Bora aondoke kabisa
Anaiachia chadema baada ya kuizika. Baada ya kuona sio mali kitu kama kampuni. 😂😂😂Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza kuachia uongozi wa chama mwaka 2023
Pia, amewataka viongozi wa chama hicho Kanda ya Magharibi kutodumazwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi uliopita bali wajipange upya kudai na kusimamia haki
All the best kwake, mchango wake I can't explain hapa; nia yake, dhamira, utashi, hekima, uvumilivu (kakoswa na mabomu Soweto Arusha, risasi Mkwajuni Dsm). damn the list is endless. I am really proud of this guy.
Chadema ilipata Mwenyekiti the best ever, wamepiga kelele mwizi, sijui nini... but hakuna yeyote kati yao aliyethubutu kwenda mahakamani, Mbowe aliwaburuza wakaburuzika, walitaka kumuondoa kwa namna zote wakashindwa, leo ameamua kuondoka mwenyewe.
#Mwambahalisi.
Chama bado kinamuhitaji sana aongeze japo miaka mingine mitano.
muongezeeniNaona kama mapema sana