Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

All the best kwake, mchango wake I can't explain hapa; nia yake, dhamira, utashi, hekima, uvumilivu (kakoswa na mabomu Soweto Arusha, risasi Mkwajuni Dsm). damn the list is endless. I am really proud of this guy.

Chadema ilipata Mwenyekiti the best ever, wamepiga kelele mwizi, sijui nini... but hakuna yeyote kati yao aliyethubutu kwenda mahakamani, Mbowe aliwaburuza wakaburuzika, walitaka kumuondoa kwa namna zote wakashindwa, leo ameamua kuondoka mwenyewe.

#Mwambahalisi.
Umesahau pia kimemfanya bilionea kwa kukikopesha kwa riba ya 200%
 
All the best kwake, mchango wake I can't explain hapa; nia yake, dhamira, utashi, hekima, uvumilivu (kakoswa na mabomu Soweto Arusha, risasi Mkwajuni Dsm). damn the list is endless. I am really proud of this guy.

Chadema ilipata Mwenyekiti the best ever, wamepiga kelele mwizi, sijui nini... but hakuna yeyote kati yao aliyethubutu kwenda mahakamani, Mbowe aliwaburuza wakaburuzika, walitaka kumuondoa kwa namna zote wakashindwa, leo ameamua kuondoka mwenyewe.

#Mwambahalisi.
Kwa sheria zinazoendesha siasa ya Tanzania Mbowe alipambana sana kwa namna alvyoijenga Chadema hadi vijijini kwakweli Heko kwake Mwenyekiti naamini watatafuta kijana ambaye anamisimamo kama Kaliba ya Heche, Sugu angefaa ila basi shule inamtupa siasa ya sasa inafaa vijana ambao wameenda shule na waaminifu
 
Mimi kwangu nimeridhika kabisa na maamuzi haya ya Mbowe, na cdm wanapaswa kurekebisha kipengele cha mtu kutokukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Hiki kimekuwa kilio changu cha muda mrefu sana. Mimi sio muumini wa kiongozi kukaa kwenye nafasi moja ya kuchaguliwa zaidi ya miaka 10. Namshauri Mbowe wala asikubali kushauriwa na yoyote kuendelea kukalia kiti hicho zaidi ya muda aliosema.
 
Tayari.. huwezi jua manake umeshaingia ndani ya Box.
Mkuu binafsi sijawai kua ndani ya box ,nafanya kile nakiamini, na KWA mapenzi yangu mwenyewe,binafsi hata mh Mbowe hatufamiani, ila ni mwanachama baada ya miaka kibao kaa bila Chama na sikuwai kua na chama kabla , so niliamua jiunga na Chadema 2020 kabla ya uchaguzi TOKA moyoni kwanza wakati sijapata KADI ya uhanachama,

Sababu kuu niliona jinsi Chadema Wanavyo nyanyaswa ,kuteswa , kufungwa , swali langu ilikua why watu wachadema wanakubali mateso yote wakati wengi wao Wana maisha , na wanaweza ishi maisha watakayo, ? Na kabla nilitaka jiunga na chama ambacho bado kichanga ,roho yangu ilikua KWA CHAUMA maana nilizipitia katiba mbali mbali za vyama tofauti vichanga ila niliona CHAUMA naweza jiunga nacho kabla ya shinikizo la roho kutuliza moyo wangu CHADEMA,

So yapo mengi moyoni mwangu, na wenda ni mchanga Sana katika ichi chama, but Nina commitment ya ajabu Sana na chama hichi sio kwamba natafuta sifa ndani ya chama , na je sifa naitafutaje wakati hakuna mwanachama yeyote niliwahi au mshirikisha ID yangu hapa jf, kwamba twafamiana ,



But from my heart I love CHADEMA, yapo mengi nitayafanya KWA chama ichi binafsi Mungu nisaidie
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza kuachia uongozi wa chama mwaka 2023

Pia, amewataka viongozi wa chama hicho Kanda ya Magharibi kutodumazwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi uliopita bali wajipange upya kudai na kusimamia haki
Anaiachia chadema baada ya kuizika. Baada ya kuona sio mali kitu kama kampuni. 😂😂😂
 
Bila Mbowe miaka mitano ya Magufuli, CHADEMA ingekuwa ni historia wakati huu

Bila Mbowe wakati wa Zitto chama kingevurugika sana hata kisitambulike kinaelekea wapi.

Ukiona watu kama akina Slaa wanapoteza mwelekeo, lakini Mbowe bado kasimama, ujuwe hapo kuna mtu asiyeyumbishwa kirahisi.

Mashinji; kama CHADEMA ingekuwa na siri ambazo Magufuli angezipata kutoka kwake na ukawa ushahidi wa kukiua chama, CHADEMA ingeishia hapo. Lakini hapakuwa na siri, hata ya kutunga tu ambayo ingemwezesha kukifuta.

Lakini, katika yote ninayoweza kumsifia nayo Mbowe, ni jinsi alivyoepusha damu za waTanzania kutiririka, alipohifadhi "operation" UKUTA.

Huo ulikuwa ni mwanzo dhahiri wa Magufuli kumwaga damu, tena angeimwaga huku akichekelea. Huenda Mbowe mwenyewe wakati huu angekuwa ni historia tu ya watu kusimuliwa kwamba ndiye alikuwa mwenyekiti wa chama, ambacho nacho kingekufa pamoja naye hapo hapo na kumwacha Magufuli akitamba.
 
All the best kwake, mchango wake I can't explain hapa; nia yake, dhamira, utashi, hekima, uvumilivu (kakoswa na mabomu Soweto Arusha, risasi Mkwajuni Dsm). damn the list is endless. I am really proud of this guy.

Chadema ilipata Mwenyekiti the best ever, wamepiga kelele mwizi, sijui nini... but hakuna yeyote kati yao aliyethubutu kwenda mahakamani, Mbowe aliwaburuza wakaburuzika, walitaka kumuondoa kwa namna zote wakashindwa, leo ameamua kuondoka mwenyewe.

#Mwambahalisi.

sasa hivi anakusanya ela zenu kidigitali
 
Back
Top Bottom