Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekiri aliweka wagombea dhaifuKwa zile kura za kwenye mabegi meusi, tiki kwa wagombea wa CCM ziliwekwa kwenye ofisi za SM, mabegi yakafichwa kwenye vituo vya polisi.
Intact wakati ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa? Nafikiri ubongo wako haufanyikazi vizuri nenda kwa daktari ukatibiwe!Magufuli aliahidi kuiteketeza CHADEMA kufikia 2020. Na alijitahidi kweli lakini kaiacha CHADEMA intact.
Wassira alitabiri kifo cha CHADEMA, matokeo yake yeye mwenyewe, baada ya kugaragazwa na binti mmoja katika ubunge, alishafutika kisiasa.
Ametangaza kung'atuka 2023, hiyo itakuwa baada ya kutumikia uenyekiti miaka 5 toka alipochaguliwa.
Ni habari njema sana kwa CCM
MATAGA sijui watakua na ajenda gani sasa dhidi ya Mbowe baada ya hapoHii ndiyo Taarifa mpya aliyoisambaza leo katika vikao vya Operesheni Haki vinavyoendelea
Taarifa zaidi zinafuatia .
Ulichojibu hakiendani na swali.Magufuli aliahidi kuiteketeza CHADEMA kufikia 2020. Na alijitahidi kweli lakini kaiacha CHADEMA intact.
Wassira alitabiri kifo cha CHADEMA, matokeo yake yeye mwenyewe, baada ya kugaragazwa na binti mmoja katika ubunge, alishafutika kisiasa.
Ametangaza kung'atuka 2023, hiyo itakuwa baada ya kutumikia uenyekiti miaka 5 toka alipochaguliwa.
Ni habari njema sana kwa CCM
Kwahiyo mwisho wa chadema ni 2023?MATAGA sijui watakua na ajenda gani sasa dhidi ya Mbowe baada ya hapo
Mbowe amekiri yeye mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu 2020 alisimamisha wagombea dhaifuKwa zile kura za kwenye mabegi meusi, tiki kwa wagombea wa CCM ziliwekwa kwenye ofisi za SM, mabegi yakafichwa kwenye vituo vya polisi.
Hahahaha...kama nilivyosema awali...Mbowe ni master na kacheza kama Pele na wala sikubishii mkuuMbowe akigombea uenyekiti Chadema hata leo ukasimame nae huwezi kumshinda, his track record speaks for itself, hiki ulichoandika hapa hakiendani na mtu unaemzungumzia, hana sababu ya kulazimisha kupendwa yule, anaaminiwa na wote wanaoipenda Chadema.
Magufuli alinajisi CCM kikawa chama cha majambazi ya kunyang'anya fedha wa watu kwa kutumia bunduki za serikali!Kwahiyo mwisho wa chadema ni 2023?
Maana mwenyekiti wenu ndio anang'atuka na hakuna mwingine kama Mbowe maana wengine watauza chama
Tayari.. huwezi jua manake umeshaingia ndani ya Box.Haliwezi kutimia
Bora kabisa ili hicho chama kishikwe na wasukuma sasa.
Wachaga wamekidumaza hicho chama.
Hao wameolewa kama wakimbizi UlayaLissu au Lema mmoja wao ndio atashika usukani.
Mlihangaika sana ku-edit hii story.Mbowe amekiri yeye mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu 2020 alisimamisha wagombea dhaifu
Kikubwa asitengeneze nafasi ya Kiongozi mkuu wa chama ili kuendelea kuongoza wale wanachama wenye "kadi hisa za platinum ", wakati wale wa "kadi hisa mchekea" wakibaki kwa mwenyekiti wa chama.
Ni angalizo tu!
Hao wanalelewa na mabeberu lakini wanaweza kuwasaidia kuongoza saccos ya Faru JohnLissu au Lema mmoja wao ndio atashika usukani.
Kwa taarifa hii #kamanda asiyechokaMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza kuachia uongozi wa chama mwaka 2023
Pia, amewataka viongozi wa chama hicho Kanda ya Magharibi kutodumazwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi uliopita bali wajipange upya kudai na kusimamia haki