mkuu wa kijiji
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 966
- 1,052
Bora kabisa ili hicho chama kishikwe na wasukuma sasa.
Wachaga wamekidumaza hicho chama.
Ashike Mtanzania yeyote mwenye mawazo na fikra za kuipeleka Tanzania mbele zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kabisa ili hicho chama kishikwe na wasukuma sasa.
Wachaga wamekidumaza hicho chama.
Mbowe kiboko ya CCM!
Wanachama hatutakubari , mh bowe bado sana
Kuendekeza ukabila na ukanda mnaweza nyie,Watanzania wengine hatuna hayo mambo.Bora kabisa ili hicho chama kishikwe na wasukuma sasa.
Wachaga wamekidumaza hicho chama.
We ukweli wako ni upi, mkuu ya chadema yaache yalivyo mkuuSi kweli
Wewe ni chizi!😂 😂 😂 saaahv slaa alikua anaiua chadema
Huna hoja. Sina wakati na aina yako.Inadunda kwenye mitandao kushadadia watu wapewe kesi
Pumbavu unataka mlete mambo ya mwendazake.Bora kabisa ili hicho chama kishikwe na wasukuma sasa.
Wachaga wamekidumaza hicho chama.
Wewe ni chizi!
Hivi kama ukabila ni deal, usukuma bado una credibility yoyote ile iliyobakia?Bora kabisa ili hicho chama kishikwe na wasukuma sasa.
Wachaga wamekidumaza hicho chama.
Watu wapo sana, na kama hawapo ni kosa la Mbowe na cdm kwa ujumla kutokuwa na succesion plan ya uongozi. Ila hizo lugha za kwamba hawezi kupatikana kiongozi kama huyo, ni lugha za kutojiongeza na kukabidhi akili kwa mtu mmoja.Swala ni mtu wa kuaminika kumkabidhi kiti kama bado hajapatikana basi Mbowe aendelee kama yupo anayetosha basi wanachama wamuone na waridhike naye nje ya mipaka ya mashaka.
Mbowe amekuwa kiongozi bora sana wa upinzani hapa Tanzania.
Nchi ngumu hiiBora kabisa ili hicho chama kishikwe na wasukuma sasa.
Wachaga wamekidumaza hicho chama.
Tunaweza kuorodhesha majina hapa kwa maslahi mapana ya CHADEMA.Watu wapo sana, na kama hawapo ni kosa la Mbowe na cdm kwa ujumla kutokuwa na succesion plan ya uongozi. Ila hizo lugha za kwamba hawezi kupatikana kiongozi kama huyo, ni lugha za kutojiongeza na kukabidhi akili kwa mtu mmoja.
Bado kumbukumbu yetu ya lile bwana la kisukuma lilivyokuwa katili ipo fresh kamwe hatufanyi makosa tena kuwapa watu wa kule.Bora kabisa ili hicho chama kishikwe na wasukuma sasa.
Wachaga wamekidumaza hicho chama.
We are big in numbers.usukuma bado una credibility yoyote ile iliyobakia?
Chadema ilipata ummarufu kwa sababu ya mapingufu ya serikali ya awamu ya 4 ikiwa na ufisadi kila kona dr .slaa wakapata hoja si kweli mbowe alikijenga Kama inavyosema ila yeye alikitumia kukikopesha kwa riba na kukidai kwa mgongo wa nyumaKwa sheria zinazoendesha siasa ya Tanzania Mbowe alipambana sana kwa namna alvyoijenga Chadema hadi vijijini kwakweli Heko kwake Mwenyekiti naamini watatafuta kijana ambaye anamisimamo kama Kaliba ya Heche, Sugu angefaa ila basi shule inamtupa siasa ya sasa inafaa vijana ambao wameenda shule na waaminifu
Akijibu nitag nduguKama Mbowe alikuwa vizuri kuliko wote chadema kwanini hakuwa mgombea wa kudumu kwa uraisi kupitia Chadema. Au uraisi ni mdogo kuliko uenyekiti wa Chama?