Freeman Mbowe kusema aliokoa maisha ya Tundu Lissu ni kauli ya kufuru na ya ovyo

Freeman Mbowe kusema aliokoa maisha ya Tundu Lissu ni kauli ya kufuru na ya ovyo

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
 
Alafu angemuacha afe angelaumiwa mpaka kwenye risala msibani..

Hawa watu nawajua... Very familia ungrateful btrdsvh

Tushalea watu wa namna hii wengi sana... time to close our hands.
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu. Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu atibiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu. Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Mbowe amekuwa kiumbe wa hovyo kabisa
 
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu azikiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
Sasa wewe K ulitaka kiongozi mkuu wa chama afanye nini kama sio kuhakikisha mwanachama wake anakuwa salama?
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu. Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Ayatolah mbowe anatapatapa
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu. Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Mambo yote uliyoandika yanathibitisha kauli ya kwamba Mbowe aliokoa maisha ya Lisu.
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu. Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Mbowe anaenda kupoteza ata kale ka eshima kalikokua kamebaki
 
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu azikiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
Hoja za kijinga
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu. Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Pia aliempiga risasi asilaumiwe maana ilikua ishaandikwa na Mungu apigwe risasi?
 
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu azikiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
Pumbavu ,so hoja yako apa ni nini? Wewe kwa akili yako ,zama zile ungekubali apalekwe mhimbili.

Je wajua mchezo uliotaka kutokea pale Dodoma , na ulizimwa na watu ambao hata mbowe hajui , na hata waliokua wamecheza mchezo hawajui nini kilitokea mpaka lissu anafika Kenya, eshimuni watu , kila umwonae yupo na mchango kwako kama sio leo kesho.

Sasa aya yote ,Mbowe anayataja kisa tu lissu kugombea Uwenyekiti, Mabadiliko ya kweli kupitia kwa watu kama Mbowe hayawezi tokea , mchana mpo wote ,usiku anawazunguka kama sio upumbavu ni nini
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu. Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Kwahy kama alitimiza jukumu lake ndo hastahili kushukuriwa!?. Huyo TAL fadhila Hana tu , hata mkijipendekeza siku atawakataa.
 
Pumbavu ,so hoja yako apa ni nini? Wewe kwa akili yako ,zama zile ungekubali apalekwe mhimbili.

Je wajua mchezo uliotaka kutokea pale Dodoma , na ulizimwa na watu ambao hata mbowe hajui , na hata waliokua wamecheza mchezo hawajui nini kilitokea mpaka lissu anafika Kenya, eshimuni watu , kila umwonae yupo na mchango kwako kama sio leo kesho.

Sasa aya yote ,Mbowe anayataja kisa tu lissu kugombea Uwenyekiti, Mabadiliko ya kweli kupitia kwa watu kama Mbowe hayawezi tokea , mchana mpo wote ,usiku anawazunguka kama sio upumbavu ni nini
Sio kisa kugombea uenyekiti shida anagombea uenyekiti kwa kumchafua, hata mimi siwezi kukubali , kinyago nikichonge mwenyewe halafu kinitishe. Yeye TAL kama alitaka nafasi ya uenyekiti wangeongea kama wanafamilia ya chadema na hata kama mazungumzo yalishindikana haikuwa busara kwa yeye TAL kutoka hadharani na kuanza kumkashifu na kumtuhumu mwenzie.

Angegombea hiyo nafasi bila kashfa angepungukiwa nini!??. Anatafuta kuonekana shujaa kwa mgongo wa wengine, ni upuuzi.
 
  • Thanks
Reactions: RMC
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu azikiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
Walimkuta Belgium akiwa mzima wa afya, leo ni dharau kwa kwenda mbele...

Watu hawana shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom