Freeman Mbowe kusema aliokoa maisha ya Tundu Lissu ni kauli ya kufuru na ya ovyo

Freeman Mbowe kusema aliokoa maisha ya Tundu Lissu ni kauli ya kufuru na ya ovyo

Sijaongelea mambo ya kupingwa au la, wapingane watakagyoweza hata wachafuane na kufanyiana figisu kama inavyoendelea mitandaoni na kwenye media uchwara. It's their own business.
Hapa topic iliyopo ni kuhusu Mbowe kuokoa maisha ya Lissu which is very true, kusema hakuna mwanadamu anayeokoa maisha ya mwanadamu bali ni Mungu ni stupidity at it's highest level. Kama ingekuwa hivyo basi huyo Mungu anapendelea first world countries sana na kizionea nchi za third world ambapo watu hufa haraka(average life expectancy ya third world iko chini), watu wanaokoana maisha, wanauana na pia wanadhuriana hivyo kuingiza upuuzi wa Imani ambazo si kila mwanadamu anaziamini it is so absurd.
Wewe tumbili kaanzishe chama chako ambacho hakiamini kuhusu Mungu kwa sababu hata CHADEMA hujinadi kuwa chama chao ni "mpango wa Mungu"...
 
Hayo yote Mbowe ni sehemu ya sera zake?? Je kwa lisu kugombea ni haki ya kidemokrasia au sio haki?? Kama ni haki why mbowe anapata mchecheto
Mbowr hajawahi kupinga Lissu kugombea uenyekiti, anachosisitiza mtu yeyite anaruhusiwa kugombea nafasi yeyote, ila mgombea yeyote akiwemo Lissu afanye kampeni ya kistaarabu asikibomoe chama ili akishinda iwe rahisi kuendeleza chama. Kama ungekuwa mfuatiliaji mzuri ungelielewa hilo.

Kinyume chake Lissu na wafuasi wake ndio hawataki Mbowe agombee.
 
Mbowr hajawahi kupinga Lissu kugombea uenyekiti, anachosisitiza mtu yeyite anaruhusiwa kugombea nafasi yeyote, ila mgombea yeyote akiwemo Lissu afanye kampeni ya kistaarabu asikibomoe chama ili akishinda iwe rahisi kuendeleza chama. Kama ungekuwa mfuatiliaji mzuri ungelielewa hilo.

Kinyume chake Lissu na wafuasi wake ndio hawataki Mbowe agombee.
Sawa. Hoja yangu masuala ya ugonjwa wa lisu ni sehemu ya sera zake za kunadi??
 
Mbowr hajawahi kupinga Lissu kugombea uenyekiti, anachosisitiza mtu yeyite anaruhusiwa kugombea nafasi yeyote, ila mgombea yeyote akiwemo Lissu afanye kampeni ya kistaarabu asikibomoe chama ili akishinda iwe rahisi kuendeleza chama. Kama ungekuwa mfuatiliaji mzuri ungelielewa hilo.

Kinyume chake Lissu na wafuasi wake ndio hawataki Mbowe agombee.
Mbowe alivyomtuma Yericko kumshambulia Lissu aliwaza kwa kutumia nini?
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Kiufupi Lissu ni mpuuzi!
 
Lisu hafai kuwa kiongozi, anaongea sana bila mipaka.
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Kama ametamka hayo na anaendelea kutamka basi tunaendelea kusikitika kuwa na
Mbowe kama mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka 20,akiwa hana uvumilivu wala ukomavu wowote.
 
Mbowr hajawahi kupinga Lissu kugombea uenyekiti, anachosisitiza mtu yeyite anaruhusiwa kugombea nafasi yeyote, ila mgombea yeyote akiwemo Lissu afanye kampeni ya kistaarabu asikibomoe chama ili akishinda iwe rahisi kuendeleza chama. Kama ungekuwa mfuatiliaji mzuri ungelielewa hilo.

Kinyume chake Lissu na wafuasi wake ndio hawataki Mbowe agombee.
Ndo mapinduzi ndani ya chama,unadhani Lissu akipita na wale pro Lissu wenye msimamo mkali watakubali Team Mbowe ibaki kwenye nyadhifa za uongozi wa kanda na taifa?
Yawezekana kabisa mgawanyiko huu utakiumiza chama siku za mbeleni.
 
Tumezoea uongo ndio tatizo linalotusumbua watanzania,Lissu hana tatizo.
Wapi nimesema kasema uongo? Nimesema anaongea sana, na hana mipaka ya nini aongee na nini kiwe cha kamti za uongozi. Akishinda inabidi waandishi wa habari wawe wanishi ofisi za chadema, maana hatutapumzika hizo press kwa miaka mitano.
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Basi nasisi tumdayi Mbowe hela zetu tulizo mchagia wakati walipo taka kufungwa miaka minne na Magufuli. Wananchi tukachaga fine zao wakaachiwa. Yaani kumbe wanje anamdai Tundu hela alizo mchangia kwenye matibabu? Kweli Mbowe na watu wake ni so selfish.
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Mbowe hana sera. Hilo lina eleweka.
 
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu atibiwe.
Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏
 
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu atibiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
Hivi hakuna mwngne aliyechkua fom ktaka uenykt CDM!? Wanaruhsiwa, hawaruhsiwi? Wangpi wamechkua? Kama wanaruhsiwa mbn hii ya TAL imekua balaa!! Na inaonekana chama tawala wamechafkwa zaidi! Kama vile wanaona Mbowe anaonewa!
Mm nlifikiri alchofanya Mkt kuokoa maisha ya makamu wake ilkua ubinadamu na wajibu - axingeeleweka angemuachia afe wkt alkua na uwezo wa kuzuia kifo na kama kiongozi aliepo ktk eneo la tukio axingeeleweka ikiwa axingechkua hatua chanya ktk eneo hilo.
Xaxa mchakato wa kidemokraxia umejitokeza unaohuxu uenyekiti na watu wanachafukwa- xi kw ajli mchakato wa kikatiba kuh. nafasi ya mkt umevrugwa bali kwmb kajtokeza mwamba mngne tishio!
Baadhi tlitegmea wapenda mageuzi/demokrasia wafrahie- kwmb Tz tumepiga hatua lkn wp!
Ktendo cha chama tawala kushabikia kinafanya wana CDM wajiulize- "...chama tawala kuonyesha kumshabikia 1 wa washindani, kunaashiria nn kumhusu mgombea huyo? ...nk" Huenda ikawa kweli kw wana CDM kua "rafiki wa adui yako ni adui yako" hivo wamuone huyo kuwa kama mxaliti ...nk
 
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu atibiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
Hivi hakuna mwngne aliyechkua fom ktaka uenykt CDM!? Wanaruhsiwa, hawaruhsiwi? Wangpi wamechkua? Kama wanaruhsiwa mbn hii ya TAL imekua balaa!! Na inaonekana chama tawala wamechafkwa zaidi! Kama vile wanaona Mbowe anaonewa!
Mm nlifikiri alchofanya Mkt kuokoa maisha ya makamu wake ilkua ubinadamu na wajibu - axingeeleweka angemuachia afe wkt alkua na uwezo wa kuzuia kifo na kama kiongozi aliepo ktk eneo la tukio axingeeleweka ikiwa axingechkua hatua chanya ktk eneo hilo.
Xaxa mchakato wa kidemokraxia umejitokeza unaohuxu uenyekiti na watu wanachafukwa- xi kw ajli mchakato wa kikatiba kuh. nafasi ya mkt umevrugwa bali kwmb kajtokeza mwamba mngne tishio!
Baadhi tlitegmea wapenda mageuzi/demokrasia wafrahie- kwmb Tz tumepiga hatua lkn wp!
Ktendo cha chama tawala kushabikia kinafanya wana CDM wajiulize- "...chama tawala kuonyesha kumshabikia 1 wa washindani, kunaashiria nn kumhusu mgombea huyo? ...nk" Huenda ikawa kweli kw wana CDM kua "rafiki wa adui yako ni adui yako" hivo wamuone huyo kuwa ...nk
Ni aibu kubwa kwa HESLB. Hawana rekodi za wadaiwa wao? Wanashindwa nini kuwasiliana na NIDA, TRA, Immigration, RITA na mamlaka zingine ili kujua wadaiwa wao walipo?
Hapo ndo "fumbo la imani" lilipo. Unaanzisha asasi kw mbwmbwe zote, ina madhumuni, malengo na majukumu yanaorodheshwa - halafu wanaomba mxaada waxaidiwe kazi na wananchi! Ukiingia maofxini mwao, kumejaa makomputa aina kw aina ...dah!
 
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu atibiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
Kama kashindwa milion 30 hizo nyingine itakuwaje.Mtu kama Mbowe busara zake zinamfanya awe na marafiki wengi wanaomsapot.Shida ya Lisu ana marafiki wa mdomo na sio wa vitendo na sio marafiki wa kweli ndio maana wanamshauri awe mjeuri zaidi
 
Back
Top Bottom