Freeman Mbowe, Mnyika na Viongozi CHADEMA wakutana na Rais Samia na Viongozi wa CCM Ikulu ya Chamwino - Dodoma leo 20/5/2022

Kwa hiyo Samia amempa Mbowe Pesa ili aende ikulu?
 
Retired siyo buku fc, angalia record kabla ya kumshambulia!
 
Mtanisamehe lakini naona CCM ikifaidika na hii mikutano kuliko CDM.
Kwanini uombe msamaha na wakati unatumia uhuru wako wa kutoa maoni kama wanavyotoa watanzania wengine? Huu ulioandika hapa ndio ukweli. Haya yangefanywa na ACT wazalendo, CUF au mzee wa ubwabwa lazima wangeitwa wasaliti.
 
mie kwa ujumla nakubaliana na siasa za mama Samia Suluhu Hassan,hatutaki siasa za uhadui bali umoja na mshikamano ili mambo yaende.Ongela sana mama
 
Haya maneno yapo nje ya mda, na huwaambii watu sahihi! Ungesema mapema na ungemwambia Samia na serikali kwa ujumla! Lakini kwa ulivyo jam unaonekana tu Ni mmoja wa wale wenye mawazo mgando ya Ki-sukumagang! Kuganda kwa akili zenu siyo afya, pamoja na kwamba mnajiona mna akili sana, royal tour wewe!
 
jana umelala na viatu.
Kulala na viatu kivipi.. serikali yetu, raisi wetu, chama chetu, wapinzani wametoka huko walipotoka kuja kumuona mwenyekiti ambae ni wa kiongozi wa chama chetu, so what else! Sina cha kupoteza kijana.
 
Kwa hiyo Samia amempa Mbowe Pesa ili aende ikulu?
Sikuandika hivyo, isipokuwa wewe ndo umeelewa na kufikiria hivyo. Ukitumia akili iliyohuru utatambua kuwa jamaa anafanya siasa kwa lengo na masilahi ya nani.
 
- hivi hawaogopi Ikulu? Isije ikawa Mambo ya kuwekeana Poison ...
 
Huna akili huoni Leo vimekutana vyama vikuu na serikali yake
 
Pascal Mayalla britanicca Mshana Jr
 
Kulala na viatu kivipi.. serikali yetu, raisi wetu, chama chetu, wapinzani wametoka huko walipotoka kuja kumuona mwenyekiti ambae ni wa kiongozi wa chama chetu, so what else! Sina cha kupoteza kijana.
Huna cha kupoteza ila roho mbaya tu
 
sahihi
 
An example of hopeless politician
 
Hakuna upinzani wa kweli Tanzania..


I repeat,


Hakuna upinzani wa kweli Tanzania.

Period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…