Freeman Mbowe, Mnyika na Viongozi CHADEMA wakutana na Rais Samia na Viongozi wa CCM Ikulu ya Chamwino - Dodoma leo 20/5/2022

Freeman Mbowe, Mnyika na Viongozi CHADEMA wakutana na Rais Samia na Viongozi wa CCM Ikulu ya Chamwino - Dodoma leo 20/5/2022

Mtu bado anakukanyaga makusudi halafu anakwambia usilalamike, bado tupo kwenye meza ya mazungumzo, kuwa mvumilivu!
Aiseee!
Nimecheka kwanza, halafu nikasikitika.

Mkuu denoo J, una njia zako 'effective' sana za kufikisha ujumbe mzito kwa maneno machache sana.
Binafsi nafurahia zaidi kusoma hizi 'loaded messages' fupifupi zinazofikisha ujumbe kamili, pengine zaidi ya yale maandiko unayojieleza kwa kirefu sana hadi ujumbe unakuwa mgumu kueleweka.
 
Anhaa! Labda hata kwenye ile kesi ya mchongo, kwa akili yako huru, alilipwa!
Acha uvivu wa kufikiri kwa kukubali akili yako ikubali kuchezeshwa shere na wanasiasa uchawa. We unafikiri katika mambo ya mfumo hilo swala la kesi ni kitu gani? Si inaandaliwa tu huku mlengwa akijifanya kuwa ana kesi kweli wakati ki uhalisia ni kesi butu. Kwa kukupa uelewa kidogo, hata Lipumba alichezea kichapo akavunjwa mkono na bado akafungwa na kesi juu hadi pale raisi Kikwete alipoingilia kati kama alivyoingilia raisi Samia kwa Mbowe. Usifikiri kaachiwa kwa bahati mbaya, isipokuwa wanaona lengo lao la kuuhadaa uma limeshatimia. Na mmoja wa waliofanikiwa kuwahadaa ni wewe. Ukiambiwa kama Osama bin Laden alikuwa CIA utakataa kwa jinsi USA ilivyoonesha kumtafuta ili imuangamize, lkn wenye akili wanajiuliza je ilikuaje mtu kama Sadam au Ghadafi wafariki, wazikwe na makaburi yao yaonekane, ila la Osama lifanywe siri eti amezikiwa majini. Mambo ya kitengo ww huyajui ndio maana unaleta hoja dhoofu za mtu kufungwa na kuharibiwa shamba.
 
To open up a new chapter as a nation haijawahi kuwa dhambi...

Hili kama ni kweli bac ni jambo jema kwa kila mwenye pumzi..

Narudia tena Political reconciliation ndiyo njia pekee ya kujenga taifa imara lenye umoja na nguvu kiuchumi kisiasa na kiutamaduni.

Nchi haiwezi kujengwa na mawazo ya upande mmoja.
Haya tunasubiri.
 
Wewe hata mumeo akishindwa kusimamisha ili akupande utamsingizia magufuli
Nenda kafirwe huko kama unawashwa wacha kutuandikie ujinga wenu hapa. Wasukuma muda wenu umekwisha na hamtokuja kutawala Tz tena
 
Acha uvivu wa kufikiri kwa kukubali akili yako ikubali kuchezeshwa shere na wanasiasa uchawa. We unafikiri katika mambo ya mfumo hilo swala la kesi ni kitu gani? Si inaandaliwa tu huku mlengwa akijifanya kuwa ana kesi kweli wakati ki uhalisia ni kesi butu. Kwa kukupa uelewa kidogo, hata Lipumba alichezea kichapo akavunjwa mkono na bado akafungwa na kesi juu hadi pale raisi Kikwete alipoingilia kati kama alivyoingilia raisi Samia kwa Mbowe. Usifikiri kaachiwa kwa bahati mbaya, isipokuwa wanaona lengo lao la kuuhadaa uma limeshatimia. Na mmoja wa waliofanikiwa kuwahadaa ni wewe. Ukiambiwa kama Osama bin Laden alikuwa CIA utakataa kwa jinsi USA ilivyoonesha kumtafuta ili imuangamize, lkn wenye akili wanajiuliza je ilikuaje mtu kama Sadam au Ghadafi wafariki, wazikwe na makaburi yao yaonekane, ila la Osama lifanywe siri eti amezikiwa majini. Mambo ya kitengo ww huyajui ndio maana unaleta hoja dhoofu za mtu kufungwa na kuharibiwa shamba.
Unaona ukiandika maelezo yote hayo utaaminika kwamba siyo mpumbavu na utaonekana una akili ‘kubwa’!
 
Unaona ukiandika maelezo yote hayo utaaminika kwamba siyo mpumbavu na utaonekana una akili ‘kubwa’!
Mwenye chawa na genge lake wakiona hizi post zako humu JF wanacheka tu kwa kufanikiwa kumiliki uwezo wako wote wa kufikiri. Wameshagundua kuwa akili yako ni nyembamba mno mpaka imeshindwa kugundua siasa butu na zile za kweli.
 
Kwa kuzungumza tu kuhusu katiba mpya hata kabla ya matokeo ni hatua kubwa
 
Nenda kafirwe huko kama unawashwa wacha kutuandikie ujinga wenu hapa. Wasukuma muda wenu umekwisha na hamtokuja kutawala Tz tena
Hii tabia ya kuramba matakle ya kina chongolo ili watoto wako waende chooni ni ya kishenzi sana!

Fanya kazi, utapakuliwa mpaka lini?
 
Mzee Kinana ana miaka mingapi? Kwenye picha inaonesha amezeeka sana na kukonda sana!!
 
Huyu Maza ana jambo lake kwa mustakabari wa taifa letu

Mi nilisema toka mwanzo kwamba ana nafasi kubwa saana tena ya wazi ya kuzoa marks zoote za watangulizi wake

Anaweza kutoa katiba mpya...kumbukeni JK alitishwa na wana CCM akagwaya...

Wacha tusubiri....kwani subira huvuta kheri...ila sharti ni moja kwamba kheri yenyewe iwe na dalili ya kuja.

Tunasubiri - watanzania sisi tuna sifa hii.
Tatizo ni Je Pinda na Wahafidhina wengine kama Kasimu Majaliwa watakubali ?
 
Mkuu
Wanaccm Lazima tuwe na uwezo wa kufikiri sawasawa!
JIWE alinajisi uchaguzi nini kilimpata!!?Hadi akaingiza covid-19 Bungeni na haikutosha Hadi ikaigharimu serikali take!!!?
Unafikiri Sasa HIVI Kati ya mama na Mbowe nani anamuita mwenziwe IKULU!!?kama SERIKALI haioni umuhimu wa UPINZANI!!? HIVI unajua kesi ya MBOWE ilikuwa inaenda kuigharimu serikali ndio maana watu walitumwa wammbembeleze Mbowe atoke na alipototoka akaitwa ikulu Moja kwa Moja!!?
NAJUA MADARAKA YAMEPOFUSHA WANACCM WENGI NA HAWAONI MAMBO SAWASAWA!!

NIKUJUZE TU KIFUPI NI KWAMBA KUONDOLEWA KWA WABUNGE WA COVID-19 NI MAAGIZO YA THE STATE KWA MAMA SASA MAMA ANAOGOPA WAKIONDOKA NA SERIKALI YAKE ITAKUFA!!
SASA ANATAKA CHADEMA IRIDHIE WABAKI KIBISHI KINYUME NA TARATIBU HAPO NDIO KAZI!
KAMA UNAFIKIRI RAIS ANAWEZA TAWALA BILA UPINZANI BUNGENI NENDA KAMUULIZE JPM CHATO KWANINI ALITAFUTA WABUNGE WA UPINZANI KWA MLANGO WA NYUMA!!!!
I REST MY CASE
Naongezea kuwa uwepo wa covid-19 Bungeni ni kufeli kea Tiss kwenye uchaguzi wa 2020 kwasababu Tiss walicheza tune ya CCM wakati wa uchaguzi wakasahau utaifa SASA Tiss imeikosea NCHI na the state haitokubali ujinga kama huo tena na LAZIMA katiba MPYA ipatikane Ili kuepuka ujinga kama ule mlioubariki uchaguzi 2020!!!TISS ITUBU KWA KUINGIZA TANZANIA MATATIZONI NDIO MAANA WAKABARIKI UHUNI WA COVID 19 ILI KUINUSURU SERIKALI YAKE KISHERIA ZA KIMATAIFA NA UHALALI WAKE!!!
UMENIELEWA!!
Naheshimu mawazo yako mkuu. Ila hii nchi huijui bado. Samia amekuwa muungwana sana, she is a woman she is Muslim woman she is a zanzibarian.
 
Back
Top Bottom