Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Nchi yetu na utumishi wa umma hakuna tena maadili. Nyaraka binafsi za watu zinauza maandazi barabarani..
 
Du! Nimechelewa kuja kumbe kunamamba ya ajabu kiasi hichi mbowe kafanya kwenye hili taifa halafu wanajifanya watakatifu kumbe uzinzi kwenye chadema ni jadi du!
 
Mbowe hana sifa za kuwa Kiongozi ndani na nje ya Bunge!! Si msafi hata kidogo.
 
Sidhani kama ni matokeo ya uchaguzi ndo yameleta jaziba,ila nina wasiwasi mleta mada ni mtoto wa kufikia, ana Joto la hasira!
 
usitake kumpaka matope rais wewe, hawa jamaa wa CHADEMA wamezidi

Nani anampaka matope nani?Kama hujui uliza uambiwe.Ukiwa kwenye nyumba ya vioo usitupe mawe,tunayajua mengikuhusu viongozi wa Chama Cha Mafisadi hivyo msiwe kimbelembele kutafuta mambo ya binafsi ya watu,mtoa mada mwenyewe siyo msafi.Ukiona unanyoosha kidole kwa mtu angalia vinakugeukia vingapi?

Na huwezi kumjuamtu ni mwizi kama wewe mwenyewe si Mwizi.Hivyo mleta mada anavitabia hivyo ndiyo maana yupo busy kutafuta maisha binfasi ya watu.
 
Weka viambatisho maneno matupu ni porojo ndugu.
 
Unafuatilia vyeti vya wtt watu (mbowe) hunashughuli za kufanya?Tuambiwe km mwenyekiti wa chadema nini kafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Huo umbea wako hatuhutaji. Au ulitaka akuzalishe mfuate ---- ww
 
mbona mkuu wa kaya anao wengi na michepuko kibao/ sembuse Mbowe asiye na Tezi Dume
 

So what? Tatizo ni nini sasa? Sasa sisi tufanyaje? Twambie kama hilo limechangia kuliiza taifa ktk hasara ya mabilion ya "escrow". Wrong page!
 
Uchaguzi wa serikali ZA Mitaa umewachizisha wengi. Mleta thread nae kwisha. Hawa Ghasia msadie na huyu apumzishwe mirembe
 
Safi sana,ni jambo la kheri kuwa na mwenyekiti rijali especially kama hajawahi kufanyiwa operesheni tezi dume,ukitaka na ushahidi wa kimaandiko pia nitakupatia!
 
Weka viambatisho mkuu porojo bila viambatisho ni bure chadema kwa maadili ya kipuuzi wamezidi tabia gani za hovyo hizi kuanzia katibu mkuu mpaka mwenyekiti hiki chama au genge la wahuni.
 
Kabisa kabisa mkuu hiyo ni ndoano tu.

Mtoto wa Ndesamburo alipolwa mke na Mbowe, ila jamaa haku mind akaoa mke mtoto mdogo dogo hivi ila kwa sasa amenenepa, sijui kwanini wanapenda kupola wake za watu wakati wasichana wapo wengi tu mitaani ataweza kusoma IFM au CBE kulivyo na watoto wazuri si atazaa nao wote? Sijui kama condom anaijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…