peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mama Abdul ni Delila!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni MalayaHata Tamari katika bibi zake Yesu kwenye bibilia alikuwa kahaba. Umesahau? Au hujasoma Sunday school wewe?
At least Leo Polisi wametoa Taarifa Rasmi kwa umma.View attachment 2744983
Tunalaani ukamataji, unyanyasaji, usumbufu unaofanywa na Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama chetu Mhe Tundu Lissu, viongozi wengine waandamizi wa ngazi mbalimbali, wanachama na wapenzi wetu huko Mkoani Arusha.
Kwa uzito huo huo, tunalaani uzuiaji wa mikutano yetu na shughuli halali za kisiasa huko Ngorongoro, Loliondo na Karatu.
Tuna hofu kubwa ya usalama wa watu wetu na ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia. Tunafuatilia kwa karibu na tunadai kuachiliwa haraka na bila masharti kwa watu wetu wote!
Freeman Mbowe
Mtandao wa X
Pia soma: Breaking News: - Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
EU watafanya nini kwa mwarabu?Kwa mbaaaali EU na Nyundo kubwa!!!!
Inaoenakana ngoro ngoro kuna utajiri Mkubwa sanaNdo kilichobaki........... na huko Ngorongoro wanaficha nini maana Wazungu walizuiwa kuongia Waandishi wa habari wakazuiwa kuingia Na Lissu anazuiwa kuingia
Tulia mkuu Mama anaupiga mwingi maana sasa hiv yupo nje ya 18 mpka afike kwe 6 hatari sana samia anapepea kama mwenge wake wachome haooooooNdo kilichobaki........... na huko Ngorongoro wanaficha nini maana Wazungu walizuiwa kuongia Waandishi wa habari wakazuiwa kuingia Na Lissu anazuiwa kuingia
Unanipa cheo cha bibi zake Yesu, unamfahamu Tamari kwenye kizazi cha Yesu? Kwenye biblia wanasema alikuwa kahaba akalala na baba mkwe wake ndipo kikazaliwa kizazi cha Yesu. Astaghafiru Llah.Wewe ni Malaya
Wewe ni malayaUnanipa cheo cha bibi zake Yesu, unamfahamu Tamari kwenye kizazi cha Yesu? Kwenye biblia wanasema alikuwa kahaba akalala na baba mkwe wake ndipo kikazaliwa kizazi cha Yesu. Astaghafiru Llah.
Nimeambiwa mila hiyo uchagani ipo mpaka leo, ya mabinti walioachwa na waume zao walioenda "porini" lazima walambwe na baba mkwe, wasilete mbegu za nje wakiwa na Kiranga.
Wachaga wakristo hapo ndipo wanapo nifurahisha, kufata mila na desturi za kwenye biblia.
Nimeambiwa hata mabinti wakikaa sana nyumbani bila kuolewa wanfata ile ya mabintiwa lutu, wanamnunulia baba yao debe la mbege, akikolea wanajishughulikia, yesha.
Wa afata bibilia to the dot. Hongera sana kwao.
StupidUnanipa cheo cha bibi zake Yesu, unamfahamu Tamari kwenye kizazi cha Yesu? Kwenye biblia wanasema alikuwa kahaba akalala na baba mkwe wake ndipo kikazaliwa kizazi cha Yesu. Astaghafiru Llah.
Nimeambiwa mila hiyo uchagani ipo mpaka leo, ya mabinti walioachwa na waume zao walioenda "porini" lazima walambwe na baba mkwe, wasilete mbegu za nje wakiwa na Kiranga.
Wachaga wakristo hapo ndipo wanapo nifurahisha, kufata mila na desturi za kwenye biblia.
Nimeambiwa hata mabinti wakikaa sana nyumbani bila kuolewa wanfata ile ya mabintiwa lutu, wanamnunulia baba yao debe la mbege, akikolea wanajishughulikia, yesha.
Wa afata bibilia to the dot. Hongera sana kwao.
Unasema Mama abduli Nondo au abdul ganiMama Abdul ni Delila!!!
Kila Ubaya UtalipwaView attachment 2744983
Tunalaani ukamataji, unyanyasaji, usumbufu unaofanywa na Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama chetu Mhe Tundu Lissu, viongozi wengine waandamizi wa ngazi mbalimbali, wanachama na wapenzi wetu huko Mkoani Arusha.
Kwa uzito huo huo, tunalaani uzuiaji wa mikutano yetu na shughuli halali za kisiasa huko Ngorongoro, Loliondo na Karatu.
Tuna hofu kubwa ya usalama wa watu wetu na ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia. Tunafuatilia kwa karibu na tunadai kuachiliwa haraka na bila masharti kwa watu wetu wote!
Freeman Mbowe
Mtandao wa X
Pia soma: Breaking News: - Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Serikali inayojialalisha kutawala kwa kutumia bunduki ukomo wake hautabiriki. Jenerali Brice Oligui Nguema alikuwa Commander wa Presidential Guard ya Rais Ali Bongo wa Gabon, sote tunajua kilichotokea. Siku hawa wenye bunduki wakimchoka watageuzia mitutu kwake. Hicho kinachofichwa Ngorongoro na Loliondo ni Bora kingeliwekwa wazi, kuliko kupoka Demokrasia na kuanza kutisha watu.View attachment 2744983
Tunalaani ukamataji, unyanyasaji, usumbufu unaofanywa na Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama chetu Mhe Tundu Lissu, viongozi wengine waandamizi wa ngazi mbalimbali, wanachama na wapenzi wetu huko Mkoani Arusha.
Kwa uzito huo huo, tunalaani uzuiaji wa mikutano yetu na shughuli halali za kisiasa huko Ngorongoro, Loliondo na Karatu.
Tuna hofu kubwa ya usalama wa watu wetu na ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia. Tunafuatilia kwa karibu na tunadai kuachiliwa haraka na bila masharti kwa watu wetu wote!
Freeman Mbowe
Mtandao wa X
Pia soma: Breaking News: - Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Hamna unachojuwa wewe kuhusu Mbowe. Unaniita UVCCM wakati nina umri kama Mbowe. Najuwa hakusoma na aliishia kuwa karani BOT. Hiyo ni fact ukiipinga leta mabandiko hapa yanayoinyesha alikuwa ofisaUliona wapi maskini anamuadhiri tajiri?
Tatizo la uvccm mnajifanyaga mnaijua sana CCM
Bure kabisa!
Mikutano ni takwa la katiba lakini katiba hiyo hiyo inasisistiza kufuata sheria mbalimbali za nchi. Umeambiwa usiende Ngorongoro ila wewe unataka sifa kuwa sijui ni mpigania haki? Haki za nani? Za waliokutuma toka Ubelgiji?Umeisoma Katiba vizuri? CCM mlivyokuwa wajinga mnadhani mikutano ya siasa ni hisani , hapana ni hitaji la katiba. Pia tambua Ngorongoro ni Tanzania sio Rwanda.
Ni mfano wa kijinga wala hauna uhusiano.We mjinga, akija police akakwambia umpishe chumbani apumzike na mkeo utatii amri?
Ndo ujue,Ni mfano wa kijinga wala hauna uhusiano.
Hakika tumewahi kupita katika vipindi vigumu kama taifa tena siku za karibuni,hivyo hili ni jambo la kutafakari kwa uhalisia wake kama taifa,sitarajii tunarejea katika historian mbaya kamwe, iwe ni kwa maslahi ya kisiasa ama yanayoitwa ya taifa,kwa taifa ambalo miiko na maadili ya kitaifa yanapuuzwa mno .Kwani tutarajie matokeo hadi zaidi ya matokeo ya maslahi ya makundi ya wachache.View attachment 2744983
Tunalaani ukamataji, unyanyasaji, usumbufu unaofanywa na Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama chetu Mhe Tundu Lissu, viongozi wengine waandamizi wa ngazi mbalimbali, wanachama na wapenzi wetu huko Mkoani Arusha.
Kwa uzito huo huo, tunalaani uzuiaji wa mikutano yetu na shughuli halali za kisiasa huko Ngorongoro, Loliondo na Karatu.
Tuna hofu kubwa ya usalama wa watu wetu na ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia. Tunafuatilia kwa karibu na tunadai kuachiliwa haraka na bila masharti kwa watu wetu wote!
Freeman Mbowe
Mtandao wa X
Pia soma: Breaking News: - Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu