Freeman Mbowe: Ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia

Freeman Mbowe: Ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia

Maneno kuntu kutoka Kwa kamanda Mbowe.

Amri nyingine kuyaitisha matawi kuanza kukusanyika kwa majadiliano na maandalizi ya kupelekea madai rasmi ya kuachiwa Mh. Lissu na wengine ingependeza zaidi.
Ashughulikiwe ipasavyo aache utoto wa kukaa barabarani na kuziba barabara, hizo barabara zimejengwa kwa kodi zetu siyo zake peke yake. Hafai
 
Jamani sikilizeni Mwanahabari Digital kuna habari za kutisha.

Ingia You Tube sasa hivi.

Kuna malori na Matrekta yaliokuwa na Wanavijiji waliokuwa wanakuja kwenye mkutano wa leo Karatu.

Wamasai wameamua kuja kwa miguu hadi Karatu habari zinasema Polisi wameweka vifusi kwenye Barabara za kuingia Karatu.
Kutisha nini acha urongo
 
Kwa hiyo Mbowe alidhania kuachiwa kufanya mikutano ya hadhara ni ndiyo ruhusa ya kuvunja sheria??
Uwache tu huo utawala wa mabavu uendelee kuliko huu ujinga anaoendekeza Lisssu. Umeambiwa na Polisi hakuna kwenda Ngorongoro, unakaidi. Unategemea Polisi wacheke na nyani?
Kuna nini Ngorongoro mpaka pawepo katazo kwa Lissu na waandishi wa habari.
 
Halafu ale wapi. Kwani nje ya siasa mbowe anaajirika? Kwa elimu Gani! Hali kadhalika sugu na lema. Afadhari kidogo Lissu amesoma sheria na nje ya siasa anweza qjiliwa nakampuni yoyote ya kumlipa laki tatu kwa mwezi.
Wale sio wenzako walishindwa kuajirika wakiwa vijana iwe leo, fikiria vizuri.
 
Ashughulikiwe ipasavyo aache utoto wa kukaa barabarani na kuziba barabara, hizo barabara zimejengwa kwa kodi zetu siyo zake peke yake. Hafai

Usituongelee susi jiongelee wewe. Anafaa sana na hakika tutampigania na tutapigana naye hadi tone letu la mwisho
 
Haki Ina mipaka, ukifanya haki ya mwingine ni taka taka basi ujue hujui misingi ya hizo haki. Unazusha,unatukana na unavunja Sheria makusudi Ili uingie matatani upate umaarufu.
 
Haki Ina mipaka, ukifanya haki ya mwingine ni taka taka basi ujue hujui misingi ya hizo haki. Unazusha,unatukana na unavunja Sheria makusudi Ili uingie matatani upate umaarufu.
Kwa akili yako wewe unadhani Lissu anahitaji umaarufu?

Lissu ni maarufu mara dufu ya wana ccm wote.
 
Kwa hiyo Mbowe alidhania kuachiwa kufanya mikutano ya hadhara ni ndiyo ruhusa ya kuvunja sheria??
Uwache tu huo utawala wa mabavu uendelee kuliko huu ujinga anaoendekeza Lisssu. Umeambiwa na Polisi hakuna kwenda Ngorongoro, unakaidi. Unategemea Polisi wacheke na nyani?

Ungetiita stunted ungeeleweka zaidi.
 
Hii mbona ilikua wazi,wameshindwa kujibu hoja za chadema sasa wanajibu hoja kwa mabavu,ccm ni genge la wahuni.
Ona huyu Msukuma..... Mwendazake alivyokuwa anawaua alikuwa anajibu hoja au?
 
Back
Top Bottom