Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Acha upuuzi,kwani Mshabikia upuuzi hachelewi kujutia upuuzi wake.Chadema imekwatwa shingo na mabega imebaki na mbowe mlamba asali ya bibi yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upuuzi,kwani Mshabikia upuuzi hachelewi kujutia upuuzi wake.Chadema imekwatwa shingo na mabega imebaki na mbowe mlamba asali ya bibi yenu
Mungu ni wa woteTazama jinsi wamasaai wakifanya maombi mara baada ya mh Lissu kukamatwa leo pale karatuView attachment 2745004
Ashughulikiwe ipasavyo aache utoto wa kukaa barabarani na kuziba barabara, hizo barabara zimejengwa kwa kodi zetu siyo zake peke yake. HafaiManeno kuntu kutoka Kwa kamanda Mbowe.
Amri nyingine kuyaitisha matawi kuanza kukusanyika kwa majadiliano na maandalizi ya kupelekea madai rasmi ya kuachiwa Mh. Lissu na wengine ingependeza zaidi.
Kutisha nini acha urongoJamani sikilizeni Mwanahabari Digital kuna habari za kutisha.
Ingia You Tube sasa hivi.
Kuna malori na Matrekta yaliokuwa na Wanavijiji waliokuwa wanakuja kwenye mkutano wa leo Karatu.
Wamasai wameamua kuja kwa miguu hadi Karatu habari zinasema Polisi wameweka vifusi kwenye Barabara za kuingia Karatu.
Umeangalia hiyo taarifa?Kutisha nini acha urongo
Kuna nini Ngorongoro mpaka pawepo katazo kwa Lissu na waandishi wa habari.Kwa hiyo Mbowe alidhania kuachiwa kufanya mikutano ya hadhara ni ndiyo ruhusa ya kuvunja sheria??
Uwache tu huo utawala wa mabavu uendelee kuliko huu ujinga anaoendekeza Lisssu. Umeambiwa na Polisi hakuna kwenda Ngorongoro, unakaidi. Unategemea Polisi wacheke na nyani?
Wale sio wenzako walishindwa kuajirika wakiwa vijana iwe leo, fikiria vizuri.Halafu ale wapi. Kwani nje ya siasa mbowe anaajirika? Kwa elimu Gani! Hali kadhalika sugu na lema. Afadhari kidogo Lissu amesoma sheria na nje ya siasa anweza qjiliwa nakampuni yoyote ya kumlipa laki tatu kwa mwezi.
HakikaMungu ni wa wote
Ashughulikiwe ipasavyo aache utoto wa kukaa barabarani na kuziba barabara, hizo barabara zimejengwa kwa kodi zetu siyo zake peke yake. Hafai
Wachana na wafuasi wa jiweWale sio wenzako walishindwa kuajirika wakiwa vijana iwe leo, fikiria vizuri.
Eti ashugulikiwe!!!!Ashughulikiwe ipasavyo aache utoto wa kukaa barabarani na kuziba barabara, hizo barabara zimejengwa kwa kodi zetu siyo zake peke yake. Hafai
Hao ndiyo uvccm ninao wafahamuAcha upuuzi,kwani Mshabikia upuuzi hachelewi kujutia upuuzi wake.
Kwa akili yako wewe unadhani Lissu anahitaji umaarufu?Haki Ina mipaka, ukifanya haki ya mwingine ni taka taka basi ujue hujui misingi ya hizo haki. Unazusha,unatukana na unavunja Sheria makusudi Ili uingie matatani upate umaarufu.
Hicho ndiyo kiapo chetu wana cdmUsituongelee susi jiongelee wewe. Anafaa sana na hakika tutampigania na tutapigana naye hadi tone letu la mwisho
Kwa pamoja tuwakatae kwa nia thabitiHii mbona ilikua wazi,wameshindwa kujibu hoja za chadema sasa wanajibu hoja kwa mabavu,ccm ni genge la wahuni.
Kwa hiyo Mbowe alidhania kuachiwa kufanya mikutano ya hadhara ni ndiyo ruhusa ya kuvunja sheria??
Uwache tu huo utawala wa mabavu uendelee kuliko huu ujinga anaoendekeza Lisssu. Umeambiwa na Polisi hakuna kwenda Ngorongoro, unakaidi. Unategemea Polisi wacheke na nyani?
Ona huyu Msukuma..... Mwendazake alivyokuwa anawaua alikuwa anajibu hoja au?Hii mbona ilikua wazi,wameshindwa kujibu hoja za chadema sasa wanajibu hoja kwa mabavu,ccm ni genge la wahuni.
Muda wa siasa bado,wassubiri 2025