antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Em nyoosheni maelezo...CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣Hapa Mbowe tuu ndo adui..umemsahau John Cheyo wa chama cha UDP.
Kwani c walianza kampeni eti mwambe anatosha kushika kijiti cha Mbowe 🤣🤣🤣 mwambe yuko wap nowEm nyoosheni maelezo...
MATAGA mnatamani apatikane Cdm mwenyekiti asiyejitambua mumnunue kama akina Li-pumb*
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
NdugayyyyCovid19 kazini. Nimeshakufahamu ila nakulindia heshima wewe mala.ya wa *******
Covid19 kazini. Nimeshakufahamu ila nakulindia heshima wewe mala.ya wa *******
🤣🤣🤣🤣🤣Hapa Mbowe tuu ndo adui
Zombie la Magu km umechanganyikiwa vile poleCCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Mbowe hateki watu, hapotezi watu, hatukani ovyo, uchaguzi wa chama hazuii wagombea wengine na fomu hatoi moja.CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Bora umekiri kwa ushahidi kabisa.
Wanajichanganya tu hawa MATAGAHivi maana ya dikteta ni nini?? Vladmir Putin sisikii mkimuita dikteta, yule mama wa Ujeremani aliyebwaga manyanga kakaa miaka kibao madarakani sijawahi kusikia mnamwita dikteta.
Kwani sifa ya dikteta ni kukaa muda mrefu madarakani?? Nafikiri kuna mahali mnapoteza point juu ya maana ya dikteta
Hamzidi HAYATICCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
UJINGA NI MZIGO kama ZIGO LA MAVI.CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Kwa taarifa yako ni kwamba chama hicho kilianzishwa na baba mkwe wake, ebu changanya na zako sasa uone akiondoka amwachie nani!sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema