Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Em nyoosheni maelezo...

MATAGA mnatamani apatikane Cdm mwenyekiti asiyejitambua mumnunue kama akina Li-pumb*
 
Hapo mama hawa jamaa wakija na hoja za demokrasia waambie hilo halitekelezeki ndo maana Mbowe, Mrema,Mbatia,Cheyo limewashinda.
 
Nakumbuka mlianza kampeni kipind kile eti mwambe anatosha kushika kijiti cha Mbowe 🤣🤣🤣 eventually Mwambe yuko wap? Sometimes ukiangalia ni bora abaki Mbowe coz he's strong and he hasn't price. Over
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Zombie la Magu km umechanganyikiwa vile pole
 
Madikteka wanahubiri democracy so funny this is the land of Kilimanjaro
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Mbowe hateki watu, hapotezi watu, hatukani ovyo, uchaguzi wa chama hazuii wagombea wengine na fomu hatoi moja.

CCM mmekosa hoja.
 
Hivi maana ya dikteta ni nini?? Vladmir Putin sisikii mkimuita dikteta, yule mama wa Ujeremani aliyebwaga manyanga kakaa miaka kibao madarakani sijawahi kusikia mnamwita dikteta.

Kwani sifa ya dikteta ni kukaa muda mrefu madarakani?? Nafikiri kuna mahali mnapoteza point juu ya maana ya dikteta
Wanajichanganya tu hawa MATAGA
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Hamzidi HAYATI
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
UJINGA NI MZIGO kama ZIGO LA MAVI.
hongera kwa kuchagua Ujinga 🤣🤣🤣🤣
 
"Hata akikataa tutamlazimisha,mheshimiwa Kessy utakuwepo kulianzisha."Ndungai
 
Nilihama Chadema kwa sababu hyo.Mpka sasa naangalia pakuchukua kadi.
 
Back
Top Bottom