Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mbowe kasamehewa na Rais Samia end of story.Inawezekana Zitto aliomba Mbowe asamehewe, hata kama ni kuomba kwa unafiki; lakini najua Lissu hawezi kuomba Mbowe asamehewe kwa kosa ambalo halikuwepo.
Viongozi wa dini hawakuomba Mbowe asamehewe. 'Spin' za namna hiyo zielekeze kwa wajinga.
Hapo hata ubinuke vipi lakini hiyo inafahamika na kila mtanzania.