Freeman Mbowe: Nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi nguvu ya vyombo vyao vya dola

Inawezekana Zitto aliomba Mbowe asamehewe, hata kama ni kuomba kwa unafiki; lakini najua Lissu hawezi kuomba Mbowe asamehewe kwa kosa ambalo halikuwepo.

Viongozi wa dini hawakuomba Mbowe asamehewe. 'Spin' za namna hiyo zielekeze kwa wajinga.
Mbowe kasamehewa na Rais Samia end of story.

Hapo hata ubinuke vipi lakini hiyo inafahamika na kila mtanzania.
 
Hiyo n.k., namuweka Zitto... wa miaka hii.
 
Mbowe kasamehewa na Rais Samia end of story.

Hapo hata ubinuke vipi lakini hiyo inafahamika na kila mtanzania.
EeeenHeeeee.

Una maslahi gani na mambo haya mkuu, naona yanakunyima usingizi na kukuondolea amani kabisa akilini mwako.

Inasikitisha sana kuona mtu kama wewe unakuwa 'irrational' hivi. Ina maana umewekeza kila kitu, pamoja na utu wako kiasi hiki!
 
Mbowe kasamehewa na Rais Samia end of story.

Hapo hata ubinuke vipi lakini hiyo inafahamika na kila mtanzania.
Haya ni mawazo yako ama ya ujinga wa sheria au ni mwendelezo wa uhai wa utafiti wa TWAWEZA.

Lakini pia haya unayoyasema hapa hatushangai maana Ndiyo mliyoanza kuyatengeneza baada ya kuona hakuna ushahidi wa maana aibu ikawa inawaandama na mkaanza kutafuta "nitoke vipi" kwa kupitia Zitto, tcd, dini nk.

Hata hivyo mlikutana na uimara wa Mbowe mkaamua kuweka mpira kwapani. Subiri msamaha wa Rais utausikia desemba.
 
ikiwa huku niliko wakazi wake wote wanawaza CCM tu.

Huko uliko kuna wakazi wangapi.!??? au Tanzania yote ipo huko..

Kuna wakati tunafahamu akili hamna sawa,,, ila basi hata macho hamuoni.?
 
Kuwasamehe tu wanasiasa ni kuwakosea pia hata wale ambao sio wanasiasa na wapo magereza bila kuwa na hiyo nguvu ya umma anayosema Mbowe.
nafikiri hiyo kauli jaribu kuitafakari ukiwa umtulia
 
Wale mabalozi wa nchi mbalimbali sio umma wakimataifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…