Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

Alisema ataendeleza na kuyaenzi mazuri. Ataleta na mapya. Atarekebisha pale patakapohitaji kurekebisha. Magufuli hakufanya mazuri tu,na pia hakufanya mabaya tu.

Binadamu yoyote ana mabaya na mazuri. Mama anaonesha yeye ni sehemu ya yale mazuri,na ndio maana tunaona hatua anazofanya kurekebisha yale yasiyofaa. Hivyo ndivyo nilivyomwelewa mama.
Sasa pamoja na unyama ule uliotendwa kulikuwa na haja gani ya mama kujitangaza kwamba yeye ni sehemu ya unyama ule , hawa watu walipofikia kwenye nchi hii haiwezekani tena kuwabembeleza , tuzungumze bila kumung'unya maneno
 
tukisema hawa jamaa ni hopeless mnatutukana.

huyu mzee mzima alitaka mama atumie busara gani zaidi ili ajue mama ni mtu wa amani!!!

sasa kwa taarifa yenu team ya roho mbaya tunakwenda kumlaumu mama na kumfanya ajute kuamua yale ya jana.
tulijua mapema kwamba anatafuta upatanishi na wanyama wasiojielewa lakini ilikuwa ngumu kueleweka.
 
..Mauaji yasijirudie.

..Dhuluma ikome.

..Ubaguzi uwe mwiko.

..KAZI iendelee.

mauaji ya nini labda!!

kuna vishandu wanauwawa kila siku,magaidi wataendelea kuuwawa pia.

hata wanaohatarisha usalama watauwawa pia,kazi kwenu kuchambua.
 
Chadema wanasubiria huruma za samia badala ya kufanya kazi ya kujenga chama kwa bidii.

Tangu lini simba akamhurumia swala?

Duuh ila nyumbu ni shida jamani!

Mnasubiria "kupewa" demokrasia na samia? Really?
Hapana wanasubiria kuona mauaji na mateso yatokanayo na kupigania Demokrasia kwa Ndugu zetu yanapungua. Ni hicho tu.
 
Sasa pamoja na unyama ule uliotendwa kulikuwa na haja gani ya mama kujitangaza kwamba yeye ni sehemu ya unyama ule , hawa watu walipofikia kwenye nchi hii haiwezekani tena kuwabembeleza , tuzungumze bila kumung'unya maneno
Msiwe wachonganyishi nyie ndugu...Mmpe nafasi mama asihukumiwe kwa image ya mtu. Hawezi kuukana ushirika ambao aliapa kuwa nao katika shida na raha, huo ndiyo uongozi.

Mama ameonyesha integrity ya hali ya juu. Ambayo yalifanyika kwa makosa atayarekebisha na tumhukumu kwa matendo yake siyo kwakumtumia mtu mwingine ambaye alikuwa mshrika wake mkubwa.

Ukiwa mshiriki huwi replica wa mshirika bali huwezi kukana ushirilki wako kama hukuukana kabla...It means alimkubali mwenzake pamoja na madhaifu yake kama yalikuwepo, yeye pengine ndiye alikuwa strength yake kwenye weakness ya mshirika wake. As he was a strength to her weaknesses. Huku ndiko kuwa na integrity siyo kubadilika badilika kama kinyonga au popo!
 
Huyu Dj anajua kuwa na yeye ni dikteta au kwa vile Chadema hawamwambii ukweli? sifa moja ya madictator kung'ang'ania madarakani

Sitaki kuamini kama Chadema wote hawana akili mwenye akili ni Mbowe tu lakini kumbukeni Mbowe ni Binadamu kuna siku atakuwa hayupo leo JPM hayupo lakini CCM ipo na inapata mwenyekiti mwingine kwa amani kabisa kila mtu akitabasamu kwa maana utaratibu ulishatengenezwa siku Mbowe akiondoka tutashuhudia ugomvi na kugombea madaraka ndani ya Chadema .
Unaishi kwa kujivunia ujinga. Jielimishe, angalao ujie hata ileaana tu ya neno dikteta.

Kwa uelewa wako, Angel kule Ujerumani, ni dikteta? Tony Yam, kule Singapore ni dikteta?
 
Inaonekana kweli kuna mgawanyiko ndani ya ccm ambapo rais kaona njia ya kuumaliza nikuonesha kuwa hatokuwa tofauti na JPM. Angefahamu nguvu yake kuwa yeye ni rais kamili, hakukuwa na haja ya kutamka kwa kurudia rudia kuwa yeye ni kitu kimoja na JPM. Hii inaweza pia kuzua maswali kwa wawekezaji ambao anataka warudi na kuwa mazingira ya uwekezaji hayakuwa mazuri kabla. Watamwona kuwa na yeye hatabiriki/haaminiki kuwa huenda wakaja kuwekeza then baadaye akawageuka.

Another thing ni kutokutamka mara kwa mara juu ya kuwa anajiamini, anaweza nk. Angehutubia na kumaliza then wananchi wasubiri utekelezaji wa mipango yake.
 
Unaishi kwa kujivunia ujinga. Jielimishe, angalao ujie hata ileaana tu ya neno dikteta.

Kwa uelewa wako, Angel kule Ujerumani, ni dikteta? Tony Yam, kule Singapore ni dikteta?
Umeangalia katiba yao inasemaje? Katiba ya Chadema ilikuwa inasemaje ? Usiongee kwa kutetea vitu Mbowe anawafanya wajinga kwa kuamini bila Mbowe Chadema hakuna sasa subrini siku akiondoka wakina Lissu,Msigwa,Sugu,Lema,Mnyika watakavyogombana kutaka uenyekiti na ndo itakuwa Mwisho kama ilivyo CUF ,CUF ilikufa kwa ajili ya Prof na Katibu wake kugombea madaraka tu
 
Na babu/baba yako ndiye anapaswa kutukanwa kwa sababu yeye ndiye aliyeshindwa kutafuta mali ili wewe leo usiwe maskini!
Mimi sitegemei buku 7 za lumumba mnazolipwa na polepole
 
Nyinyi ndiyo mnashindwa ku-move on baada ya kifo cha hayati. Ndiyo maana post zenu hazikamiliki bila kumtaja. Inabidi mjifunze kuishi bila JPM.
Tunakemea mabayavyake ili mama asipite njia ya mwendazake na kufa kabla ya wakati
Wengine humu ni masharifu wa albadir
 
Social media haziepukiki labda kama huishi dunia hii.

Hata kama mtu anajifanya hana account kama kina Majaliwa lazima tu utajua ni nini watu wanaongea huku.

Labda uhame duniani
Hujaelewa point. Kusoma na kupuuzia au kuact silently is one thing. Ila Rais kuja kulialia hadharani na kuwaomba wakosoaji waende kutubu kwa Mungu wao ni kitu tofauti kabisa
 
Hujaelewa point. Kusoma na kupuuzia au kuact silently is one thing. Ila Rais kuja kulialia hadharani na kuwaomba wakosoaji waende kutubu kwa Mungu wao ni kitu tofauti kabisa
Ni mtawala gani nchi hii amewahi kupuuzia yanayoendelea mitandaoni?
 
Huyu jamaa muda mwingine nuru muda mwingine giza...Hapaswi kabisa kuwa kiongozi
Tatizo si huyu MWAMBA bali MACHO yako kunawakati yanapinda yani makengeza na kuna kipindi yanarudi sawa. hivo lazima uone tofauti.
1619159960205.png
 
Back
Top Bottom