Hicho kikao cha Mbowe na Samia kikitokea kitanohmga zana
Hiyo kauli inawafariji maccmSasa Mkuu ikiwa Mama anasema anafuata nyayo za Magufuli aliyekimbiza wawekezaji lakini wakati huohuo anataka kurudisha imani ya wawekezaje wewe unaelewa nini ?
Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.Rais SSH anateswa na kivuli cha JPM. JPM & CCM mlitaabisha sana Taifa. Rais anaendelea kujisifu kuwa sehemu ya utesi huu. Hajutii. Bila kukiri & kutubu ni ubatili. Bunge haramu nalo giza! Rais kachagua kutafuta suluhu ya CCM siyo Taifa. Kazi bado ipo. Tusibweteke. Muda uongee!
View attachment 1760759
jikite kwenye hojaSasa Mkuu ikiwa Mama anasema anafuata nyayo za Magufuli aliyekimbiza wawekezaji lakini wakati huohuo anataka kurudisha imani ya wawekezaje wewe unaelewa nini ?
Jikite kwenye madaHuyu Dj anajua kuwa na yeye ni dikteta au kwa vile Chadema hawamwambii sifa moja ya madikiteta ni kung'ang'ania madarakani
Umejuaje wapo kimya na unafikiri kwanini bado wako kimywa.Hawa wanasiasa wawili wanaokuwa na tabia ya kujinasibu kuwa wao mabinbwa wa uzandiki wa siasa za hapa Tanzania mbona wako Kimya?
Au ndio wanaunga juhudi kimyakimya maana tumeshuhudia miaka mitano chini ya hayati JPM wakiburuzwa na kugarazwa kama kambale kwenye matope.
Sasa Mkuu ikiwa Mama anasema anafuata nyayo za Magufuli aliyekimbiza wawekezaji lakini wakati huohuo anataka kurudisha imani ya wawekezaje wewe unaelewa nini ?
Mbowe alizan atapata teuzi 🤣🤣🤣🤣Kama ulitegemea akupe uongozi sahau.
Kiukweli nimemsikiliza mwanzo mwisho lakini sijaelewa anachosimamiaHajitambui bado anajikanyaga kanyaga.
🤝🤝Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.
Maana yake baada ya kukutana hatutarajii kuwaona akina Lisu wakiponda Atcl, Sgr, bwawa la Nyerere kuwa ni miradi ya hovyo badala yake wataanza kusema hiyo ni miradi ya watanzania.
Kwa akili za kina Mbowe wanahisi mama ataenda kuwaruhusu kufanya maandamano kila siku.
Uzuri ni kwamba hata CCM yenyewe sasa inawaacha wapumbavu kama wewe. Baada ya April 30 ndo wewe na kundi lako mtajikuta yatima kabisa.Hawa wanasiasa wawili wanaokuwa na tabia ya kujinasibu kuwa wao mabinbwa wa uzandiki wa siasa za hapa Tanzania mbona wako Kimya?
Au ndio wanaunga juhudi kimyakimya maana tumeshuhudia miaka mitano chini ya hayati JPM wakiburuzwa na kugarazwa kama kambale kwenye matope.
Hawa wanasiasa wawili wanaokuwa na tabia ya kujinasibu kuwa wao mabinbwa wa uzandiki wa siasa za hapa Tanzania mbona wako Kimya?
Au ndio wanaunga juhudi kimyakimya maana tumeshuhudia miaka mitano chini ya hayati JPM wakiburuzwa na kugarazwa kama kambale kwenye matope.
Hii hoja inawahusisha vipi Ccm?Uzuri ni kwamba hata CCM yenyewe sasa inawaacha wapumbavu kama wewe. Baada ya April 30 ndo wewe na kundi lako mtajikuta yatima kabisa.
Kiukweli nimemsikiliza mwanzo mwisho lakini sijaelewa anachosimamia
Kwa akili yako timamu amehoji nini cha maana?Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli
Kwa wasiojua kiswahili .www.jamiiforums.com