Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

kwaiyo nyie mbumbumbu mlitaka aseme hadharani kwamba haungi mkono aliyokua akiyafanya magufuli?
Hivi hata angenyamaza tu ingekuwaje , unamuungaje mkono mtu wa namna ile hadharani ?
 
Sasa Mkuu ikiwa Mama anasema anafuata nyayo za Magufuli aliyekimbiza wawekezaji lakini wakati huohuo anataka kurudisha imani ya wawekezaje wewe unaelewa nini ?

Elewa tofauti kati ya kutekeleza mipango na namna ya kutekeleza.
 
Mada gani hapo kaongea ? Samia si Rais wa kuchaguliwa ni Rais kwa mujibu wa katiba ibara ya 37/5 yupo pale kumalizia kipindi cha miaka 4 kilichobaki utamtenganisha vipi na JPM ? Leo hakuna mradi atakaosema ambao umeanza kuanzia tarehe 19 mwezi 3 atataja miradi ambapo alishiriki kuianzisha kama makamu wa Rais na Rais ni JPM atajitenga nae vipi mbona ni vitu ambavyo hata darasa la 2 anaweza kujua au Mbowe hajui hili???

Usisahau hili Mh Rais SSH alizunguka na alifanya kampeni sambamba na Mwendazake. Wakati huo Mbowe akiwa kajificha Machame akijaribu kutetea Ubunge ambao alishindwa kwa aibu kuu.

Ujitafakari na ujirithishe unaposema si Rais wa kuchaguliwa. Haiwezekani ikawa hivyo wamechaguliwa sambamba na mwendazake kwa mujibu wa Katiba hiyo hiyo inayomfanya kuwa leo ni Rais wa JMT.
 
Hawa wanasiasa wawili wanaokuwa na tabia ya kujinasibu kuwa wao mabingwa wa uzandiki wa siasa za hapa Tanzania mbona wako Kimya?

Au ndio wanaunga juhudi kimyakimya maana tumeshuhudia miaka mitano chini ya hayati JPM wakiburuzwa na kugarazwa kama kambale kwenye matope.
Wanao eneza maneno ya hovyo kama wewe mjiandae
 
Kwa hiyo ulitaka Samia asimame aseme yeye ni Chadema na anajitoa CCM?

..Exactly!!

..Mbowe achukue mazuri yanayohusu kuboresha mazingira ya kisiasa.

..Makandokando aachane nayo.
 
Sasa pamoja na unyama ule uliotendwa kulikuwa na haja gani ya mama kujitangaza kwamba yeye ni sehemu ya unyama ule , hawa watu walipofikia kwenye nchi hii haiwezekani tena kuwabembeleza , tuzungumze bila kumung'unya maneno

Yeye ni JPM katika kutekeleza ilani. Sasa ulitaka aje na ilani mpya!!!??
 
Hawa wanasiasa wawili wanaokuwa na tabia ya kujinasibu kuwa wao mabingwa wa uzandiki wa siasa za hapa Tanzania mbona wako Kimya?

Au ndio wanaunga juhudi kimyakimya maana tumeshuhudia miaka mitano chini ya hayati JPM wakiburuzwa na kugarazwa kama kambale kwenye matope.
Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.

Maana yake baada ya kukutana hatutarajii kuwaona akina Lisu wakiponda Atcl, Sgr, bwawa la Nyerere kuwa ni miradi ya hovyo badala yake wataanza kusema hiyo ni miradi ya watanzania.


Kwa akili za Mbowe ,Zito wanahisi mama ataenda kuwaruhusu kufanya maandamano kila siku.
 
Sijajua Mbowe na Chadema wanatumia akili gani kwani wanapenda siasa nyepesi nyepesi sana, maana baada ya kufariki Magufuli walimchukulia Mama kama Bawacha hivi hawa wazima kweli, kuanzia yule wa Ubeligiji hivyo hivyo. Haya mambo ya kusubiri embe chini ya msufi mtakaa sana, jengeni taasisi hata Lowassa kipenzi chenu aliwashauri hilo.

Nimeshangaa Mbowe anataka kumtenganisha Mama na Magufuli na Mama na CCM hivi kwa akili hizi ninyi wa mtandaoni kwanini msitoe ushauri kwa mwenyekiti kuwa Yanga ni Yanga na Simba ni Simba.

Mimi ngoja nitumbue jipu, Mzee Mbowe mapumziko yako kule Segerea hasa wakati wa sikukuu kama Iddi, Pasaka na Krisimas bado yanaendelea ndiyo kama yanaanza wale wapambe waliokuwa wanamuelekeza Magu wapo hawajafa tena wanahasira.
 
HV kila mtu akimpangia raisi cha kufanya nchi itaendesheka kweli? Mbowe angetulia tuu.Kumbekeni raisi ni kutoka CCM hivyo anatekeleza ilani ya chama chake.Kama mnakitu mkikutana nae toeni dukuduku lako.
 
Back
Top Bottom