Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

Ushauri kwa mwenyekiti wangu Mbowe. Kwanza
[emoji117] Ajiuzulu na chama akikabidhi kwa watu wengine waendeleze pale alipoishia
[emoji117] Recruitment ya vijana ifanyike haraka, vijana wapewe nafasi kuongoza chama, waandaliwe kwa ajili ya baadaye
[emoji117] Aachane na siasa za harakati, afanye siasa za maendeleo arudi nyuma mwaka 2010. Ile ndio ilikuwa Chadema, sio utopolo wa sasa
[emoji117] Asiogope, apige chini yule muhuni wa Ubelgiji. Huwezi kuongoza chama kwa mtandao wa Twitter, how comes makamu mwenyekiti anaongoza chama kwa wasap call?
 
Usisahau hili Mh Rais SSH alizunguka na alifanya kampeni sambamba na Mwendazake. Wakati huo Mbowe akiwa kajificha Machame akijaribu kutetea Ubunge ambao alishindwa kwa aibu kuu.

Ujitafakari na ujirithishe unaposema si Rais wa kuchaguliwa. Haiwezekani ikawa hivyo wamechaguliwa sambamba na mwendazake kwa mujibu wa Katiba hiyo hiyo inayomfanya kuwa leo ni Rais wa JMT.
Mkuu hatuna Marais wawili ndani ya Tanganyika tuna Rais kwa maana ya Rais mteule hatuna marais wateule katiba yetu ibara ya 39,40 vinazungumzia Election of President kwa maana ya Rais si marais 50,48 vinazungumzia Vice-President, his duties and powers Rais ni mmoja tu kwa maana ya Rais mteule si Marais wateule
 
Naahidi nitampinga mbowe kwa nguvu zote Kama ataendelea kumshambulia mama Samia.
Mama Samia hapaswi kushambuliwa, huyo mboye wenu mwambieni akae kwa kutulia ale nyagi zake siku ziende asianze kuleta upuusi.
Kwanza mboye yeye ni nani hadi anataka kumpangia mama Samia Cha kuongea?
Kengeza zake....
 
Huyu Dj anajua kuwa na yeye ni dikteta au kwa vile Chadema hawamwambii ukweli? sifa moja ya madictator kung'ang'ania madarakani
Kwenye strugle viongozi hawabadilishwi ovyo hivyo. Ndiyo maana akina Tambo, Machel waliongoza kwa muda mrefu. Siku Mkoloni CCM akitoa mambo yatabadilika.
 
Kuna mtu mwema kweli kwa Mh Mbowe kwa namna hii? Alitaka Raisi afanaje? Ametamka bayana kwamba atakutana na viongozi wetu wa vyama vya siasa,kwa hali hii mama anapoona tweet hii anajisikiaje kuona watu anaotarajia kukutana nao wanawaza namna hii!!

Tz ni Tz.
Mboye hajielewi anataka apate nafasi za viti maalum ili ampe Joyce mukya
 
Mkuu hatuna Marais wawili ndani ya Tanganyika tuna Rais kwa maana ya Rais mteule hatuna marais wateule katiba yetu ibara ya 39,40 vinazungumzia Election of President kwa maana ya Rais si marais 50,48 vinazungumzia Vice-President, his duties and powers Rais ni mmoja tu kwa maana ya Rais mteule si Marais wateule

Kwa mantiki hii unaikana Katiba ambayo kwa bahati mbaya ndiyo unaitumia kujengea hoja zako.
 
Kwenye strugle viongozi hawabadilishwi ovyo hivyo. Ndiyo maana akina Tambo, Machel waliongoza kwa muda mrefu. Siku Mkoloni CCM akitoa mambo yatabadilika.
Ndo mnavyodanganyana eeeh Mbowe angekuwa hupo Ulaya angajiuzuru kwani kutoka wabunge 34 wa kuchaguliwa 2015 mpaka mbunge 1, 2020 huku ni kushindwa kama kiongozi alitakiwa kuacha akili na mawazo mengine yaingie yeye akae pembeni kuwa mshauri wa chama si mwenyekiti tena.
 
Ndo mnavyodanganyana eeeh Mbowe angekuwa hupo Ulaya angajiuzuru kwani kutoka wabunge 34 wa kuchaguliwa 2015 mpaka mbunge 1, 2020 huku ni kushindwa kama kiongozi alitakiwa kuacha akili na mawazo mengine yaingie yeye akae pembeni kuwa mshauri wa chama si mwenyekiti tena.
Hivi kwa akili ya kawaida mwenzetu unaona kulikuwa na uchaguzi 2020...!!?
 
..Mbowe anatakiwa kuuma na kupuliza.

..kwa maoni haya naona kama ameuma bila kupuliza.

..Kuna wana-ccm ambao wanapinga azma ya Rais Samia Suluhu kuboresha mazingira ya kisiasa nchini.

..Ni vizuri Mh.Mbowe na viongozi wa CDM wasizungumze kwa namna ambayo inamvunja moyo Rais Samia ktk kuleta maridhiano ya kisiasa nchini.

..Kwa kifupi sijayapenda maoni ya Mh.Mbowe.

Kwa hili hawajaanza leo,hata wakati wa mchakato wa Katiba mpya walitakiwa kukubali kupata walau nusu wakalazimisha yote matokeo yake wala kosa yote.
 
Ni sahihi kabisa kutobweteka na ahadi na maneno matamu ya Mama Samia, Mbowe yuko sahihi sana - hiyo ni falsafa na kanuni inayotumika kwenye maisha ya kawaida, siasa na biashara.

Hapa kuna mustakabali wa nchi ambao tumeona na kuonja jinsi awamu wa Mwendazake ilivyoharibu. Kwa hiyo tusikie, tutafakari na kuchukua hatua chanya kwa kila fursa itakayopatikana.
 
..Mbowe anatakiwa kuuma na kupuliza.

..kwa maoni haya naona kama ameuma bila kupuliza.

..Kuna wana-ccm ambao wanapinga azma ya Rais Samia Suluhu kuboresha mazingira ya kisiasa nchini.

..Ni vizuri Mh.Mbowe na viongozi wa CDM wasizungumze kwa namna ambayo inamvunja moyo Rais Samia ktk kuleta maridhiano ya kisiasa nchini.

..Kwa kifupi sijayapenda maoni ya Mh.Mbowe.
Amekosea . Mama ni mtu tofauti na mtangulizi wake. Ila hatakubali kuonyeshwa anadharaulika.
 
Back
Top Bottom