Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ambao tunatumia hii mitandao ndo tunafahamu hivyo,Hivi hata angenyamaza tu ingekuwaje , unamuungaje mkono mtu wa namna ile hadharani ?
Mkuu huyo dada pia hana tofauti na hao uliowatajaMkuu, labda tuanze kutilia mashaka uwezo wako wa kuelewa mambo!
Mkuu, kauli za aina hii waachie kina BAK, tindo, Mmawia, nk. Wewe uko level tofauti.
Hajitambui bado anajikanyaga kanyaga.
Hii siyo kauli ya kuanza upya, labda iwe siyo kauli ya Mbowe. Yeye alisema amemwandikia Samia barua wakutane, Samia kakubali sasa kabla hawajakutana anawezaje kuongea utafikiri Samia kakataa mawazo yao? No!
Kuna tatizo kwa kweli. Labda ataweza. Tuendelee kumpa muda. Ila kuna kashida sehemu.Ila Mama Samia bado anaonyesha lots of weak points
1. Kwenda Bungeni na kukiri kwamba anasoma sana propaganda na matango pori ya social media ni udhaifu...
Yani umeongea yote Mkuu [emoji120]Ila Mama Samia bado anaonyesha lots of weak points
1. Kwenda Bungeni na kukiri kwamba anasoma sana propaganda na matango pori ya social media ni udhaifu...
Sasa Mbowe analalamikia nini?Kitendo cha kuongeza mishahara ya wafanyakazi na kulipa malimbikizo yao mbona keshamsaliti tayari?
Naona umekimbia kulinda kaburi la dhalimu saa hii unatapika tu uzalendo uchwara hapa. Nilitarajia utaomba kuzikwa kaburi moja na yule ibilisi, kumbe umeacha aende mwenyewe.Mbowe analalamika kwamba Samia kwenye hotuba yake hajajitofautisha na Magufuli, mimi najiuliza Mbowe alitaka Samia afanye nini? Aseme mimi najitoa ccm nahamia chadema au?...