Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Sema kweli Leo Samia kazingua mbaya,na nimemuona ni Tatizo kwanza hajiamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuu! Samia 2025 atawatangaza chadema washindiHiyo kauli inawafariji maccm
Rais samia hawezi kuwa na tabia za kibedhuli kama yule JiZi la kura
Kwani nyie nyumbu mlitegemea Samia afanyaje? Mlitaka awateue au?Hajitambui bado anajikanyaga kanyaga.
Mimi ninachojiuliza Mbowe alitaka Samia afanye nini ili arizike? Avunje bunge au?..Mbowe anatakiwa kuuma na kupuliza.
..kwa maoni haya naona kama ameuma bila kupuliza.
..Kuna wana-ccm ambao wanapinga azma ya Rais Samia Suluhu kuboresha mazingira ya kisiasa nchini.
..Ni vizuri Mh.Mbowe na viongozi wa CDM wasizungumze kwa namna ambayo inamvunja moyo Rais Samia ktk kuleta maridhiano ya kisiasa nchini.
..Kwa kifupi sijayapenda maoni ya Mh.Mbowe.
Kwahiyo wewe ulitaka Samia afanyeje?Sasa pamoja na unyama ule uliotendwa kulikuwa na haja gani ya mama kujitangaza kwamba yeye ni sehemu ya unyama ule , hawa watu walipofikia kwenye nchi hii haiwezekani tena kuwabembeleza , tuzungumze bila kumung'unya maneno
Udicteta siyo kutawala muda mrefu, Bali kutawala kwa fimbo ya chumaHuyu Dj anajua kuwa na yeye ni dikteta au kwa vile Chadema hawamwambii ukweli? sifa moja ya madictator kung'ang'ania madarakani
Ndugu toka mwaka 2000 mnadai tume huru lakini kila uchaguzi mnashiriki kama unaona hakuna uchaguzi why mlikubali kushiriki? Mwaka 2015 CUF Zanzibar waligoma kushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar wale ndo walifanya kile ambacho kila mtu aliona wana haki hata ya kutoutambua Uchaguzi wa marudio lakini nyinyi mmeshiriki kuanzia kampeni mpk uchaguzi matokeo mnakataa huoni ni sawa na mwanamke ambae anasema hataki huku anavua nguo??Hivi kwa akili ya kawaida mwenzetu unaona kulikuwa na uchaguzi 2020...!!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadema ni wajinga sana aisewKwa hiyo ulitaka Samia asimame aseme yeye ni Chadema na anajitoa CCM?
Mkuu, mimi siyo part ya hao unsowafikiria. Mi ni dependent person... Just sharing my thoughts.Ndugu toka mwaka 2000 mnadai tume huru lakini kila uchaguzi mnashiriki kama unaona hakuna uchaguzi why mlikubali kushiriki? Mwaka 2015 CUF Zanzibar waligoma kushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar wale ndo walifanya kile ambacho kila mtu aliona wana haki hata ya kutoutambua Uchaguzi wa marudio lakini nyinyi mmeshiriki kuanzia kampeni mpk uchaguzi matokeo mnakataa huoni ni sawa na mwanamke ambae anasema hataki huku anavua nguo??
Nitajie kiongozi ambae ametawala muda mrefu ambao haupo kikatiba iwe kwa kubadili katiba au kufuta ukomo ambae si dicteta nitajie mmoja tuUdicteta siyo kutawala muda mrefu, Bali kutawala kwa fimbo ya chuma
Nyumbu hapa watapita kimya kimyaHuyu Dj anajua kuwa na yeye ni dikteta au kwa vile Chadema hawamwambii ukweli? sifa moja ya madictator kung'ang'ania madarakani
Mkuu, labda tuanze kutilia mashaka uwezo wako wa kuelewa mambo!Kiukweli nimemsikiliza mwanzo mwisho lakini sijaelewa anachosimamia
Sasa Mkuu wewe za kuambiwa si unachanganya na zako? Wewe angalia anafanya nini, kama unaona kuna mwelekeo mzuri mpe credit kisha tuone tunaendaje, amerudia kuwa atachukua mazuri atayaendeleza lakini unaona kabisa muelekeo masuala ya Covid, uwekezaji, diplomasia, demokrasia n.k Mambo ya task force nk alishakataa waziwazi, na ndio maana kwa kuona hilo Mbowe akatoa malalamiko yake na kuomba kuonana naye. Nini Mkuu hujaelewa, cha msingi tumuombee kwa sababu hata huko ndani ya CCM hasa lile genge halifurashwi,Sasa Mkuu ikiwa Mama anasema anafuata nyayo za Magufuli aliyekimbiza wawekezaji lakini wakati huohuo anataka kurudisha imani ya wawekezaje wewe unaelewa nini ?
Dj kwisha habariNaona Bavicha wameshangilia sana kusikia rais Samia amepanga kukutana na viongozi wa kisiasa nchini bila kujua kuwa hata hayati rais Magufuli alikutana na viongozi wa kisiasa akina Seif, Lipumba ,Mbatia ,Nk.
Lakini hata rais Samia akikutana nao anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.
Maana yake baada ya kukutana hatutarajii kuwaona akina Lisu wakiponda Atcl, Sgr, bwawa la Nyerere kuwa ni miradi ya hovyo badala yake wataanza kusema hiyo ni miradi ya watanzania.
Lakini kwa akili zao wanahisi mama ataenda kuwaruhusu kufanya maandamano kila siku.!!!