Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

Sasa Mbowe anategemea Rais Samia ataachana na CCM kama chama chake?
Mbowe anasubiri meli kwenye kituo cha mwendokasi!
 
Hicho kikao cha Mbowe na Samia kikitokea kitanoga sana, nimejiuliza inakuaje Rais anasema atalinda demokrasia kwa kutaka sheria ifuatwe, lakini bado anakuwa mgumu kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee sababu ipo kisheria mpaka wakakutane ikulu, hiyo kauli ya Mbowe hapo juu ndio inatoa majibu ya doubt yangu.
Mbowe ataufyata tu huwa na kelele akiwa twita.mbwa huwa wanabweka wakiwa getini
 
Rais SSH anateswa na kivuli cha JPM. JPM & CCM mlitaabisha sana Taifa. Rais anaendelea kujisifu kuwa sehemu ya utesi huu. Hajutii. Bila kukiri & kutubu ni ubatili. Bunge haramu nalo giza! Rais kachagua kutafuta suluhu ya CCM siyo Taifa. Kazi bado ipo. Tusibweteke. Muda uongee!

View attachment 1760759
Mbona mnaanza kuteseka tena? Mama ameshawaaita, bado tu huridhiki, wapinzani uchwara bhn. Nyie mridhani mama atatoka nje ya ilani ya chama chake? In a nutshel, mama anatekeleza serikali ya awamu ya 5, yeye ni raisi wa 6 zingine porojo tu.
Hotuba iko wazi kabisa, mama atatekeleza miradi yote ya kimkakati iliyoachwa na Magu, ile dira ya serikali ya awamu ya 5 iko palepale with minor changes atazifanya.
 
..Mbowe anatakiwa kuuma na kupuliza.

..kwa maoni haya naona kama ameuma bila kupuliza.

..Kuna wana-ccm ambao wanapinga azma ya Rais Samia Suluhu kuboresha mazingira ya kisiasa nchini.

..Ni vizuri Mh.Mbowe na viongozi wa CDM wasizungumze kwa namna ambayo inamvunja moyo Rais Samia ktk kuleta maridhiano ya kisiasa nchini.

..Kwa kifupi sijayapenda maoni ya Mh.Mbowe.
 
Mbona mnaanza kuteseka tena? Mama ameshawaaita, bado tu huridhiki, wapinzani uchwara bhn. Nyie mridhani mama atatoka nje ya ilani ya chama chake? In a nutshel, mama anatekeleza serikali ya awamu ya 5, yeye ni raisi wa 6 zingine porojo tu.
Hotuba iko wazi kabisa, mama atatekeleza miradi yote ya kimkakati iliyoachwa na Magu, ile dira ya serikali ya awamu ya 5 iko palepale with minor changes atazifanya.
Habari ndo hii asietaka ahame nchi kama Lisu na Lema.
 
..Mbowe anatakiwa kuuma na kupuliza.

..kwa maoni haya naona kama ameuma bila kupuliza.

..Kuna wana-ccm ambao wanapinga azma ya Rais Samia Suluhu kuboresha mazingira ya kisiasa nchini.

..Ni vizuri Mh.Mbowe na viongozi wa CDM wasizungumze kwa namna ambayo inamvunja moyo Rais Samia ktk kuleta maridhiano ya kisiasa nchini.

..Kwa kifupi sijayapenda maoni ya Mh.Mbowe.
Sasa pamoja na unyama ule uliotendwa kulikuwa na haja gani ya mama kujitangaza kwamba yeye ni sehemu ya unyama ule , hawa watu walipofikia kwenye nchi hii haiwezekani tena kuwabembeleza , tuzungumze bila kumung'unya maneno
 
..Mbowe anatakiwa kuuma na kupuliza.

..kwa maoni haya naona kama ameuma bila kupuliza.

..Kuna wana-ccm ambao wanapinga azma ya Rais Samia Suluhu kuboresha mazingira ya kisiasa nchini.

..Ni vizuri Mh.Mbowe na viongozi wa CDM wasizungumze kwa namna ambayo inamvunja moyo Rais Samia ktk kuleta maridhiano ya kisiasa nchini.

..Kwa kifupi sijayapenda maoni ya Mh.Mbowe.
Huhitaji kuyapenda hiyo ndiyo kazi yake.
 
Sasa Mbowe anategemea Rais Samia ataachana na CCM kama chama chake?
Mbowe anasubiri meli kwenye kituo cha mwendokasi!
Huyu jamaa wa ajabu kweli, sijui alikuwa anategemea mama atekeleze ilani ya kwake mwenyewe.
Mama alizunguka kuinadi ilani ile, unafikiri ataenda nje ya hapo? Atakuwa na viminors changes tu, ila over 90% ni itakuwa nikutembea kwenye dira ya serikali ya awamu ya 5
 
Mbowe ulishapitwa na wakati wewe kaa pembeni achia wengine waongoze cdm umekuwa mbinafsi sana tu na hujitambui.

Chama kipokipo tu hakina mbele wala nyuma usifikiri utatoka kwa kutaka kumpotosha Mh Rais SSH.

Mh Rais kaujua ukweli wa mawazo na matamanio ya Watanzania wengi anao waongoza. Hotuba yake leo Bungeni imedhihirisha hilo. Lazima auishi ukweli huo na sikufuata mambo ya genge flani ambalo kimsingi ni cartel ya kuibia nchi kwa mgongo wa uongozi wa kisiasa.

Mbowe haja kosea kazi bado iko kweli maana Watanzania wa leo sio mandondocha tena wa kupelekwa pelekwa na mijizi na mafisadi.

Mh Rais kahutubia sahihi na bila kumungunya maneno kaamua kudemka kwa kufuata mirindio ya upepo wa kisiasa unaovuma kwa nguvu hapa nchini kipindi hiki.
 
Mama ndio mjuaji sasa , anaupiga mwingi, anajuwa kushinda ndani nje,anajua ligi ma mtoano, kiwanja cha ndani na nje , mtakubali tuu
 
Jikite kwenye mada
Mada gani hapo kaongea ? Samia si Rais wa kuchaguliwa ni Rais kwa mujibu wa katiba ibara ya 37/5 yupo pale kumalizia kipindi cha miaka 4 kilichobaki utamtenganisha vipi na JPM ? Leo hakuna mradi atakaosema ambao umeanza kuanzia tarehe 19 mwezi 3 atataja miradi ambapo alishiriki kuianzisha kama makamu wa Rais na Rais ni JPM atajitenga nae vipi mbona ni vitu ambavyo hata darasa la 2 anaweza kujua au Mbowe hajui hili???
 
Sasa pamoja na unyama ule uliotendwa kulikuwa na haja gani ya mama kujitangaza kwamba yeye ni sehemu ya unyama ule , hawa watu walipofikia kwenye nchi hii haiwezekani tena kuwabembeleza , tuzungumze bila kumung'unya maneno

..I think Mbowe's response is too harsh.

..Nadhani itachukua muda kujikwamua toka ktk unyama na ubatili uliotokea ktk awamu ya 5.

..Mama ameonyesha nia ya kufungua ukurasa mpya. Ni wajibu wa Mbowe na Cdm kumuunga mkono.

..Sidhani kama ni sahihi kumzodoa na kumzomea mtu aliyeonyesha nia ya kurekebisha mambo.
 
Ila Mama Samia bado anaonyesha lots of weak points

1. Kwenda Bungeni na kukiri kwamba anasoma sana propaganda na matango pori ya social media ni udhaifu

2. Kurudiarudia kauli kwamba yeye ni mwanamke ila watu wasiwe na hofu na uwezo wake kwa kuwa amekulia kwenye mazingira bora ni uzwazwa

3. Hakukuwa na haja ya “kukiri udhaifu” kwamba vyombo vya dola haviwezi kuwapata wanaoprapagate uzushi. Kwanza kwanini ujishughulishe na watu hata usiowajua?

Body language ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama haionyeshi kabisa kama Mama anacommand genuine respect
 
Mwanzo Ni mgumu..... Akijiamini anaweza kuwa kiongozi mzuri wa kihistoria. Tatizo Ni Kama atajali kuibuka na ushindi wa kishindo kwa chama chake tutaanza kurudi hatua 50 nyuma
 
Sasa Mkuu ikiwa Mama anasema anafuata nyayo za Magufuli aliyekimbiza wawekezaji lakini wakati huohuo anataka kurudisha imani ya wawekezaje wewe unaelewa nini ?
Kimeumana mkuu? Mlikuwa mnamchukia Magu bure, mama anaujua ukweli uko wapi, pamoja na minor changes atakazofanya, still mama hataacha kufuata nyayo za Magu, hayati Magu is will be her base, mbali na hapo mama atachemka hatari.
Watu tulishudia mabadiriko makubwa sana ndani ya utawala wa Magu, mama hatakuwa na mambo mingine makubwa sana zaidi ya yaliyoachwa
 
..Mbowe anatakiwa kuuma na kupuliza.

..kwa maoni haya naona kama ameuma bila kupuliza.

..Kuna wana-ccm ambao wanapinga azma ya Rais Samia Suluhu kuboresha mazingira ya kisiasa nchini.

..Ni vizuri Mh.Mbowe na viongozi wa CDM wasizungumze kwa namna ambayo inamvunja moyo Rais Samia ktk kuleta maridhiano ya kisiasa nchini.

..Kwa kifupi sijayapenda maoni ya Mh.Mbowe.
Labda keshagonga nyagi!
 
Kimeumana mkuu? Mlikuwa mnamchukia Magu bure, mama anaujua ukweli uko wapi, pamoja na minor changes atakazofanya, still mama hataacha kufuata nyayo za Magu, hayati Magu is will be her base, mbali na hapo mama atachemka hatari.
Watu tulishudia mabadiriko makubwa sana ndani ya utawala wa Magu, mama hatakuwa na mambo mingine makubwa sana zaidi ya yaliyoachwa



..Mauaji yasijirudie.

..Dhuluma ikome.

..Ubaguzi uwe mwiko.

..KAZI iendelee.
 
Back
Top Bottom