Albert Einstein
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 394
- 582
Pengine amepenyezewa taarifa na "inner cycle ya FAM" au ni hisia zake tu... Tusubiri tarehe 21Einstein umeniacha kabisaa,au ndio mambo ya vumbuzi mupya mupya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine amepenyezewa taarifa na "inner cycle ya FAM" au ni hisia zake tu... Tusubiri tarehe 21Einstein umeniacha kabisaa,au ndio mambo ya vumbuzi mupya mupya?
Naona JAMBO TV wamesimama kidete na hii mbungi ... ikiwa taarifa za wajumbe ni genuine... Lissu atashinda Kwa kishindo mchana kweupe!Mbowe kashikwa pabaya hili liko wazi, Lissu anakubalika sana
Kuna maisha baada ya Uchaguzi,Bora mchague Mbowe unaweza kuja hata kumkopa hela mambo yakikwama.Aliyelipwa - akaajiri watu - kumlinda Mzee, hajafaulu.
Terajieni 'vijana wake' kuingia mzigoni leo/kesho.
Mzee sees damage - thinks 'vijana' hawamsaidii.
Yes, sio rahisi kumnadi Mzee.
Tumefikaje hapa? Pesa & tamaa imeua movement.
Muhimu ni kuanza upya. Tuko tayari. Aluta!
Ameandika wakili @TitoMagoti katika Ukurasa wake wa X (Formerly Twitter)
😂😂😂😂😂😂😂Kuna maisha baada ya Uchaguzi,Bora mchague Mbowe unaweza kuja hata kumkopa hela mambo yakikwama.
Waliokaa kimya sio wajinga
TAL anaenda kufutwa uananchama na atakuwa hana qualifications za kugombea tena.Wakati ni ukuta! Pengine wengine hatuelewi maana ya busara ... Turudi shule 😃
Ukikwama umewahi hata kupata kiduchu kati ya mikopo inayopigiwa debe na mboga mboga?Kuna maisha baada ya Uchaguzi,Bora mchague Mbowe unaweza kuja hata kumkopa hela mambo yakikwama.
Waliokaa kimya sio wajinga
Hii itaonyesha kwamba kuvuliwa uenyekiti wa mkoa wa shinyanga Kwa bwana Ntobi was a calculated moveTAL anaenda kufutwa uananchama na atakuwa hana qualification za kugombea tena.
Hapo itakuwa ni sawa na kutangaza vita vya wenyewe kwa wenyewe dhidi ya baba na familia yake.TAL anaenda kufutwa uananchama na atakuwa hana qualification za kugombea tena.
kibaraka wa mabenyenye ya magharibi ameloose control na uelekeo wa kisiasa kabisa 🐒Aliyelipwa - akaajiri watu - kumlinda Mzee, hajafaulu.
Terajieni 'vijana wake' kuingia mzigoni leo/kesho.
Mzee sees damage - thinks 'vijana' hawamsaidii.
Yes, sio rahisi kumnadi Mzee.
Tumefikaje hapa? Pesa & tamaa imeua movement.
Muhimu ni kuanza upya. Tuko tayari. Aluta!
Ameandika wakili @TitoMagoti katika Ukurasa wake wa X (Formerly Twitter)
Kidagaa Ntobi niamini TAL anaenda kuvuliwa uananchama. Siasa za Kiafrika ni za kiwaki sanaHii itaonyesha kwamba kuvuliwa uenyekiti wa mkoa wa shinyanga Kwa bwana Ntobi was a calculated move
Taasisi za Fedha hazitoi Msaada Bali mikopo ,ulikamilisha taratibu unapata.Ukikwama umewahi hata kupata kiduchu kati ya mikopo inayopigiwa debe na mboga mboga?
usultaniBadiliko 😤📌
Kwanini ung'ang'anie?
Chukua Chako Mapema na swahiba yao wote wametepeta TL train imeshachanganya na inatiririka kwenye sgrkibaraka wa mabenyenye ya magharibi ameloose control na uelekeo wa kisiasa kabisa 🐒
Wenje aliwaambia wawe na akiba ya maneno.😂😂😂😂😂😂😂
Mbowe hauziki, binadamu akikuchoka haitaji sababuNaona JAMBO TV wamesimama kidete na hii mbungi ... ikiwa taarifa za wajumbe ni genuine... Lissu atashinda Kwa kishindo mchana kweupe!
Kila mmoja alishajua amekuwa akituuza mno,hata covid ni zao lake na maswahiba wake,chukua chako mapemaMbowe hauziki, binadamu akikuchoka haitaji sababu
Hilo ni moja ila japo atarejesha imani kidogo kwa waliomuamini kwa muda mrefu kwa kukubali kuwa chukua chako mapema wamekuwa wakimtumia kwa manufaa yao na kwa hasara juu ya chadema.Itakuwa jambo la busara Mwenyekiti Mbowe akapumzika. Amefanya mengi kwa faida ya CHADEMA.
Mbowe akubali yaishe maana kinachokuja ni land-slides ile ya hanangAliyelipwa - akaajiri watu - kumlinda Mzee, hajafaulu.
Terajieni 'vijana wake' kuingia mzigoni leo/kesho.
Mzee sees damage - thinks 'vijana' hawamsaidii.
Yes, sio rahisi kumnadi Mzee.
Tumefikaje hapa? Pesa & tamaa imeua movement.
Muhimu ni kuanza upya. Tuko tayari. Aluta!
Ameandika wakili @TitoMagoti katika Ukurasa wake wa X (Formerly Twitter)