Ni kabila ambapo lipo Rwanda and Burundi kama sikosei, wewe ni wa wapi?Mhutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kabila ambapo lipo Rwanda and Burundi kama sikosei, wewe ni wa wapi?Mhutu
Wewe ni lijuha-likali, yule aliye liaga kule mjengoni?!Kumuamini Mbowe ni sambamba kumiliki cheti cha MIREMBE.
Sijahi kuona sehemu yoyote amekanusha tuhuma za kujikopesha pesa za chama.
Acha kuwehuka wewe! Angesema huenda leo hii tusingekuwa naeMbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Rwanda mkuuNi kabila ambapo lipo Rwanda and Burundi kama sikosei, wewe ni wa wapi?
Atakua alikua na account zenye ela nje ya Tanzania mkuu ambazo kwa sheria za nchi husika walishindwa kuzifungia mkuu ndo labda alitumia kufungulia biashara nyingine.Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Unamjua Heri James na Dotto James ...na yule aliyeshindankura za maoni Kinondoni 😆😆Halafu Mbowe anataja kua Hayati Magufuli alikua na upendeleo wa kindugu, neportism, anaweza kutupatia ushahidi kua kulikua na upendeleo huu na huu wa kindugu wakati wa Magufuli?
Tupate ushahidi wa ndugu zake na Magufuli ambao aliwapendelea na hawakua na sufa kwenye nafasi za kiutumishi.
Hii kampeni ya ukabila inapigiwa chapuo sana na makabila ya kaskazini. Wanajitahidi kutaka kufukia tabia yao ya ukabila nchi hii. Mfano, Kimei amejaza wachaga CRDB.
Hili zombie la Magu huna akili kabisa,lisukuma la ajabu kabisa sijui msukule wa MaguMbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Kabisa uyeyuke upoteekabisa kusiwe na trace yoyote kama huyo mtu amewahi kuishiHivi haiwezekani kufukua ule mzoga tukamwagia tindikali
Mtu si ana afadhali,yule alikua "ntu"Magu hakuwa binadamu bali mtu.
Sijui alidhani Mbowe angeunga mkono juhudi!!!
Hakuna kumsamehe SHEHANI ni wakulaaniwa na kizazi chake chote.
Msukule wa jiwe unayeishi.Jinga kabisa wwHii ni wazi kuwa huyu mtu yupo kimaslahi zaidi, na hayupo kwa ajili ya wananchi. Anatumia siasa kutakatisha mambo yake yakae sawa. Yupo kwa ajili ya kuweka biashara zake sawa.Mtaji wake mkubwa ni wafuasi wa Chadema wasio na uwezo mkubwa wa kupambanua mamboView attachment 1749432
Sema kdgo mkuuAkiongea aliyofanyiwa Lowassa kabla ya kurejea wote mtalia machozi mekundu.
Acha hasira, tulia na ujiulize kwa umakini.Msukule wa jiwe unayeishi.Jinga kabisa ww
bibie umemaliza eda?Kama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..
Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..
Waendelee tu kuongea...........
Kwanin Samia emeamuru zifunguliwe Kama alikua afuati sheriaKama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..
Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..
Waendelee tu kuongea...........
Ili iweje?akufe?Nani anapenda kukufa?ameondoka waache wateme nyongoSasa naamini kuna kampeni chafu ya kumchafua JPM!
Kama ni toka 2018 alishindwa nini kuitumia ktk siasa za uchaguzi kama ilivyo kwa wanasiasa wetu kutafuta sympath!
Magufuli alikuwa beezebul kabisaHii ni wazi kuwa huyu mtu yupo kimaslahi zaidi, na hayupo kwa ajili ya wananchi. Anatumia siasa kutakatisha mambo yake yakae sawa. Yupo kwa ajili ya kuweka biashara zake sawa.Mtaji wake mkubwa ni wafuasi wa Chadema wasio na uwezo mkubwa wa kupambanua mamboView attachment 1749432
Ushahidi autoe wapi sasa? Jamaa anabwabwaja tu pasikuwa na ushahidi.Halafu Mbowe anataja kua Hayati Magufuli alikua na upendeleo wa kindugu, neportism, anaweza kutupatia ushahidi kua kulikua na upendeleo huu na huu wa kindugu wakati wa Magufuli?
Tupate ushahidi wa ndugu zake na Magufuli ambao aliwapendelea na hawakua na sufa kwenye nafasi za kiutumishi.
Hii kampeni ya ukabila inapigiwa chapuo sana na makabila ya kaskazini. Wanajitahidi kutaka kufukia tabia yao ya ukabila nchi hii. Mfano, Kimei amejaza wachaga CRDB.
Jikite kwenye mada husika.Magufuli alikuwa beezebul kabisa