Acha umataga weweKama ulikwepa kodi miaka ya nyuma utaachajwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha umataga weweKama ulikwepa kodi miaka ya nyuma utaachajwe?
Sijui tulimkosea nini Mungu mpaka akatuachia mtu mwenye roho ya kishetani hiviKufurahia kwa sherehe kubwa kabisaaaa
Yaan wakat wanawe wanaishi km Malaika.
Watoto wa Mbowe, wakalazimishwa kuishi kutokana na mabadiliko [emoji23]
Ni kweli mkuu ,Hakuna mtu msafi ambaye angewaza kuvumilia hayo madhira na kukaa kimya. Mbowe alikuwa na vimeo vyake
Vv
Kwa mfano wewe unafikiri angeweza kumfanya nini MagufuliMbowe mzandiki Sana, ni kwa vile hayati hawezi kujitetea. Mchaga afungiwe akaunti zake achekecheke tu, thubutu huyu mwongo kabisa.
Duuh itakua kuna kitu anafanya behind the scenes maana haiwezekani ikawa hivi hivi tu.
Unadhani hana hata ndugu wa kumpa mtaji? Au unadhani yeye ni wa kiwango chako cha unyonge?Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
MhutuWewe ni raia wa nchi gani?
Wewe itakuwa mgeni sio tu Tanzania bali Afrika..., Kesi ya Nyani unampelekea Ngedere ? Na huyu jamaa alisema anashangaa Serikali kushindwa kesi (unadhani hapo inderectly anaiambia Mahakama nini ?)Kama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..
Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..
Waendelee tu kuongea...........
Hakusema alienda Dubai kuanzisha biashara, bali alisema kuwa ilimlazimu kwenda nje ya nchi kuangalia fursa za kuwekeza.Sikiliza maelezo yake mwenyewe anasema baada ya kufungiwa ndio akaamua kwenda Dubai kuanzisha biashara, hakusema kama alikua na biashara huko.
Masikini hujui hata namaanisha nn daah 🤔 sometimes muwe mnasoma comments za majibu kulingana na Topic 👆🤣Wewe nani unayetaka envidence. Unataka kusema mwendazake hakuwa na roho mbaya?
Mkuu hata Sisi wafugaji, huwezi kuweka ng’ombe zote nyumbani, unawekeza sehemu mbali mbali!Unadhani yeye ni fala hana accounts nchi za ughaibuni, wajanja huishi kwa tahadhari kwani sometimes mijibwa ndiyo inakuwa imekabidhiwa dola na kufanya kama haya yaliyofanyika.
Wewe ni raia wa nchi gani?[emoji2772]tena lazima watanzania mngetembea na chupi mdomoni maana sio kichwani tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi haiwezekani kufukua ule mzoga tukamwagia tindikali