Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,914
- 3,386
Ndugai angafanya nini mbele ya mtu fedhuri kama yuleHakuna mwanaccm mwenye aibu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugai angafanya nini mbele ya mtu fedhuri kama yuleHakuna mwanaccm mwenye aibu .
Namsaidia hapo "wewe mbwa......." mumeo kafurahi hapoJifunze kuandika vizuri kwanza ndio uje tujadiliane.
Mwambie mumeo akufundishe kuandika vizuri ndio tujadiliane
Halafu Mbowe anataja kua Hayati Magufuli alikua na upendeleo wa kindugu, neportism, anaweza kutupatia ushahidi kua kulikua na upendeleo huu na huu wa kindugu wakati wa Magufuli?
Tupate ushahidi wa ndugu zake na Magufuli ambao aliwapendelea na hawakua na sufa kwenye nafasi za kiutumishi.
Hii kampeni ya ukabila inapigiwa chapuo sana na makabila ya kaskazini. Wanajitahidi kutaka kufukia tabia yao ya ukabila nchi hii. Mfano, Kimei amejaza wachaga CRDB.
Huu hapa Wewe unauona ni uwezo mkubwa wa kupambanua mambo?! Unajiona Una akili kubwa sana?!Hii ni wazi kuwa huyu mtu yupo kimaslahi zaidi, na hayupo kwa ajili ya wananchi. Anatumia siasa kutakatisha mambo yake yakae sawa. Yupo kwa ajili ya kuweka biashara zake sawa.Mtaji wake mkubwa ni wafuasi wa Chadema wasio na uwezo mkubwa wa kupambanua mamboView attachment 1749432
usipaniki mkuu, ukitoa mapuvu mengi Unaweza kujiumiza kwa mambo ya kijinga! Ni kweli mwendazake alikua Mwamba, sema kwenye kifo tu ndo hakuna umwamba! Tulegeze moyo tu, tukubali Sisi ni wanaadamu, tuishi vizuri duniani!Fala utakuwa wewe pamoja na ukoo wako mzima, kama alikuwa hataki kulipa kodi kwanini asishughulikiwe, Magufuli alikuwa mwamba kwelikweli ndiyo mafisadi yote yalihama nchi.
Wewe ni fala tena fala mkubwa .
Eti wasukuma nao wako kwenye makabila yenye elimu hii si ni zarau hiii embu muache kuzalilisha elimu bwanaMlitaka mjazwe nyie vilaza msio na elimu?
Hawa ndo wa kushughulika nao ili wawe Kama ile kesi ya kina ZombeHapo ndipo tunapojidanganya. Jiwe alikuwa ni Mtanzania na waliotumika kama mkono wa jiwe kufanya hayo waliyofanya ni Watanzania wenzetu ambao tunakula na tunakunywa nao, tunashiriki nao katika kuzitazama Simba na Yanga na pia ni washiriki wenzetu Makanisani na Misikitini. Zaidi sana wamebaki kwenye system na akiibuka jiwe mwingine nao wataibuka pia.
Kwaio tax clearance za TRA za kila mwaka walizokuwa wanampa zilikua ni fekiHuyo alizoea enzi za jk halipi Kodi
Itakuwa NI Kodi ya miaka mingi
Aache ujinga was kutafuta huruma
Wanasiasa wanakwepa Kodi Sana kwa kutumia nafas zao
Magu alizuia Hilo
Vitu vingine mbona vina ushahidi,Watu wameumizwa na Mwendazake Inawezakana wewe ni kijukuu cha Lucifer Kama uamini maneno ya Mbowe ndio maana amesema ushaidi wote wanao Mwamba uwa akurupuki
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli alifariki mwezi mmoja uliopita.Kama ulikwepa kodi miaka ya nyuma utaachajwe?
We acha tuuu Ndugai alijua huyu jamaa hana roho nzuri bora kumuona mkono tuuu siku ziende uko kinaitwa kujitoa ufahamuAkisema bila aibu atake asitake tutamuongezea, akamuongezee huko kaburini ***** zake
Uliona alicho fanywa lissu? Baada ya kuongea sanaUjasiri wa kuyakalia kimya madhira yote Mbowe aliupata wapi wakati yeye ni mwanasiasa na mfanyibiashara mkubwa na ana fursa ya kupata attention ya vyombo vya habari vya dunia? Kwa ujasiri wa ukimya wa kuvumilia hayo yote, Mbowe atakuwa alikuwa na vimeo vingi, mbona Lisu hakuchoka kuupigia kelele ukandamizaji aliokuwa anafanyiwa?
Vv
Kwanini usianze wewe shetani!Kufa kila mtu anakufa wewe kahaba.
Kwa hiyo kama Wewe ni mke wa mwendazake, sasa hivi Wewe ni mjane?!Wewe ndio mke wake nini?
Sukuma gang baba enu kafa mmebaki yatima bas mnahangaika makima nyieHalafu Mbowe anataja kua Hayati Magufuli alikua na upendeleo wa kindugu, neportism, anaweza kutupatia ushahidi kua kulikua na upendeleo huu na huu wa kindugu wakati wa Magufuli?
Tupate ushahidi wa ndugu zake na Magufuli ambao aliwapendelea na hawakua na sufa kwenye nafasi za kiutumishi.
Hii kampeni ya ukabila inapigiwa chapuo sana na makabila ya kaskazini. Wanajitahidi kutaka kufukia tabia yao ya ukabila nchi hii. Mfano, Kimei amejaza wachaga CRDB.
Unamchafuaje mtu mchafu?Sasa naamini kuna kampeni chafu ya kumchafua JPM!
Kama ni toka 2018 alishindwa nini kuitumia ktk siasa za uchaguzi kama ilivyo kwa wanasiasa wetu kutafuta sympath!
Tena wanamuita shujaa wa AfricaMagufuli alikuwa mshenzi sana. Alikuwa ni zaidi ya shetani kwakweli 😢
Alafu kuna wajinga wanamuita huyu shetani shujaa
Hivi mnafikiri ukishafanyiwa vitendo Kama hivyo utaachwa kindezi ndezi upayuke mitaani? Unafikiri waliofanya hivyo walikuwa hawajui Kama Mbowe anaweza kuongea?Hii ndo point ya msingi yaani afungiwe account zake si angepata kick kabisa ya kisiasa
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app