Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
2018 Mbowe alipelekwa gerezani kwa kosa gani? na alikaa kwa muda gani?
Kama alipewa siku 30 za kufanya appal na anadai alikuwa jela kwanini asingeenda mahakamani kudai akupata fursa ya kujibu kwa sababu alikuwa jela na TRA awakusaliana na mtu msimamizi mwingine yeyote wa biashara zake.
TRA walikadiria vipi kodi bila ya kukutana na mwakilishi wa biashara zake, ata mmoja?
Hela ya kujikimu huko nje ya nchi na kutafuta fursa nyingine alizitoa wapi, kama account zake mpaka binafsi zilifungiwa.
Kama ana account nje ya nchi, biashara na assets zingine je zimeorodheshwa kwenye form ya maadili serikalini na bungeni au hizo hela za kufanyia hayo mambo kazitoa wapi?
Ni uongo mtupu, tatizo lenyewe Mhede hayupo TRA kujibu hizi tuhuma, wametengeneza mazingira ya kumchafua Magufuli kila sehemu bila ya watu sahihi kuweza kujibu.
Hata Dotto angefukuzwa kabisa serikalini sasa hivi kungekuwa na uongo wa wizara ya fedha.
The whole story is pathetic ya kudanganya watu wajinga tu.
Kama alipewa siku 30 za kufanya appal na anadai alikuwa jela kwanini asingeenda mahakamani kudai akupata fursa ya kujibu kwa sababu alikuwa jela na TRA awakusaliana na mtu msimamizi mwingine yeyote wa biashara zake.
TRA walikadiria vipi kodi bila ya kukutana na mwakilishi wa biashara zake, ata mmoja?
Hela ya kujikimu huko nje ya nchi na kutafuta fursa nyingine alizitoa wapi, kama account zake mpaka binafsi zilifungiwa.
Kama ana account nje ya nchi, biashara na assets zingine je zimeorodheshwa kwenye form ya maadili serikalini na bungeni au hizo hela za kufanyia hayo mambo kazitoa wapi?
Ni uongo mtupu, tatizo lenyewe Mhede hayupo TRA kujibu hizi tuhuma, wametengeneza mazingira ya kumchafua Magufuli kila sehemu bila ya watu sahihi kuweza kujibu.
Hata Dotto angefukuzwa kabisa serikalini sasa hivi kungekuwa na uongo wa wizara ya fedha.
The whole story is pathetic ya kudanganya watu wajinga tu.