mtamamtete
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 402
- 345
Uchaguzi halali upi?kuna dikteta anayechanguliwa kwa asilimia 80+ ya kura halali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi halali upi?kuna dikteta anayechanguliwa kwa asilimia 80+ ya kura halali?
Ndio maana mnakufa kibudu kama meko.Wewe ndio mke wake nini?
Alijua atakufa,kumbe amesahau ukiishi kwa haki utaishi maisha marefu,dhuluma hupunguza siku zako. Magu alikuwa jambazi kama sabaya tu,w tofauti yao sabaya aliingia mtaani na Magu alitumiaMagu hakuwa binadamu bali mtu.
Sijui alidhani Mbowe angeunga mkono juhudi!!!
toa kwanza hiyo avatar,inatutishathibitisha kauli yako.
Wewe umesikia hilo tuMbowe ameongea lakini hakuongea kama kiongozi wa siasa anayejua wanachama wake wanataka nini, kufungiwa akaunti zake ni jambo binafsi kuliko kuwazungumzia covid 19 ambalo ni jambo la kichama na kitaifa.
ni vizuri ufuatilie historia ya mtu kuliko kuleta siasa kwenye mambo muhimu ya nchi, muulize hata mzazi wako.Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Masikini ni kiumbe mwenye roho mbaya sana sanaHalafu Kuna vilaza Face Book vinapinga,vinatetea na kusikitika akikaangwa na CAG.
Vijitu vinavyoitwa vinyonge vina Chuki Sana na watu wenye maendeleo,
Kwa kuwa alitesa wafanyakazi,wafanyabiashara,matajiri na watu wenye mafanikio hivyo vijitu vinyonge vya Face book vinamuona shujaa.
Shujaa makopo.
Kumbe na sokoine alikuwa na sera hizi mkuu?Mmeaminishwa ujinga mkubwa sana,
kila aliefanikiwa katika biashara zake ni mwizi
Mara ya mwisho ya huu ujinga uliletwa na Sokoine, mpaka Nyerere mwenyewe hakupenda
Sokoine hakuchukua raundi tulimzika, na sasa huyu Kenge tumemzika
Jamani ameshakufa huyo, kwisha habari yake....
we mnyonge tuliza akili, mbowe ni mfanyabiashara wa kimataifa,Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au nasema uwongo ndugu zanguImagine mtu sababu yeye haruhusiwi kupanda ndege umbali mrefu sababu ya pacemaker akazuia watumishi wa umma safari za nje kwa kisingizio cha uzalendo na kubana matumizi...aliona wangefaidi sana
Huyu jamaa huyu