Pre GE2025 Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kesho ni siku ya kuweka kumbukumbu nyingine ya kutetea uhai wa wananchi wa taifa hili.

Tuache kuandamana kwa mazoea tunapaswa kuandamana kwa hasira kubwa ili watawala hawa dhalimu waache mara moja tabia za kuteka,kuuwa na kunyanyasa wananchi wasio kuwa na hatia.
Tuache tabia za kuandamana mitandaoni kama ilivyo desturi yetu tilio wengi.
Tujitokeze hadharani kwenye kila kona ya jiji la dar es salaam na kwingineko.
Tuingie mtaani physical tusibaki vyumbani mwetu na kuwa keyboard demostraterz njooni hadharani.
Hatuna mtu wa kumwogopa ndani ya taifa letu, ndani ya nchi yetu.

Tukumbuke unyama aliofanyiwa mzee Ally Kibao kushushwa kwenye gari na kupelekwa kusikojulikana na ndani ya siku chache maiti yake kuokotwa ikiwa imejeruhiwa vibaya haitazamiki hata mwanae wa kumzaa ameshindwa kumtambua pale mochwari Mwana nyamala.
Ukatili dhidi ya sativa na watu wengine tuliokuwa nao na leo hawapatikani Soka na wenzake.

ACT WAZALENDO tumeona ushauri wenu lakini nataka niwaambie tumeupokea ushauri huo ila TUMEUPUUZA na kesho maandamano yataendelea kama kawaida kwa kasi na nguvu kubwa.



Aluta continue👊
 
Rais Samia zuia haya yasitokee! Usijiandikie historia mbaya ya kudumu
 
haya kesho ndio deni linatakiwa kulipwa je litalipwa kweli?

je watz kesho wapo tayari kulipa deni hilo wataandamana kama walivyosema?
 
Niwaombe wadau wote wenye uzoefu wa gharama za kutibu majeraha yatokanayo na vurugu na vipigo mbalimbali.

1-Kupasuliwa fuvu.....200,000/=
2-Kuvunjwa taya na gongo la kipolisi....100,000(kianzio)
3-Kupasuliwa bandama....200,000/=
4-Kutovugwa ini,kongosho,figo....150,000 halafu dialysis 150,000 kwa wiki
5-Kuvunjwa senta bolt ya kiuno...25000 kianzio
6-Kutobolewa jicho moja....50,000 kianzio
7-Kung'olewa jino....5000
8-Kupasuliwa yai za kende....50,000
9-Kupasuliwa chembe ya moyo...
10-Kuvunjika shingo...
11-Kuteguliwa uti wa mgongo....
12-Kupasuliwa ngoma ya sikio kwa mbata...5000 ya file
13-Kupasuliwa taya na kitako cha bunduki...20,000
14-kutapishwa kisusio...5000
15-Kutoneshwa busha/mshipa...bure
16-Kugeuzwa kisahani cha goti...150,000
17-kutoneshwa /kupasuliwa tezi dume bure
18-Kutobolewa kibofu au puru(rectum) 200,000 kianzio
19-Kuzikwa na manispaa...bure
20-Vipimo vya Xray,CT scan,Ultra sound,MRI, 250,000.

N.B BEI NILIZOWEKA SIO HALISI

hebu tuongeze nyingine na kuweka gharama zake..
 
Niwaombe wadau wote wenye uzoefu wa gharama za kutibu majeraha yatokanayo na vurugu na vipigo mbalimbali.

1-Kupasuliwa fuvu.....
2-Kuvunjwa taya na gongo la kipolisi....
3-Kupasuliwa badama....
4-Kutovugwa ini,kongosho,figo....
5-Kuvunjwa senta bolt ya kiuno...
6-Kutobolewa jicho moja....
7-Kung'olewa jino....
8-Kupasuliwa yai za kende....
9-Kupasuliwa chembe ya moyo...
10-Kuvunjika shingo...
11-Kuteguliwa uti wa mgongo....
12-Kupasuliwa ngoma ya sikio kwa mbata...
13-Kupasuliwa taya na kitako cha bunduki...
14-kutapishwa kisusio
15-Kutoneshwa busha/mshipa...
16-Kugeuzwa kisahani cha goti...

hebu tuongeze nyingine na kuweka gharama zake..
Sasa siufuate mambo yako aisee
 
Niwaombe wadau wote wenye uzoefu wa gharama za kutibu majeraha yatokanayo na vurugu na vipigo mbalimbali.

1-Kupasuliwa fuvu.....
2-Kuvunjwa taya na gongo la kipolisi....
3-Kupasuliwa bandama....
4-Kutovugwa ini,kongosho,figo....
5-Kuvunjwa senta bolt ya kiuno...
6-Kutobolewa jicho moja....
7-Kung'olewa jino....
8-Kupasuliwa yai za kende....
9-Kupasuliwa chembe ya moyo...
10-Kuvunjika shingo...
11-Kuteguliwa uti wa mgongo....
12-Kupasuliwa ngoma ya sikio kwa mbata...
13-Kupasuliwa taya na kitako cha bunduki...
14-kutapishwa kisusio
15-Kutoneshwa busha/mshipa...
16-Kugeuzwa kisahani cha goti...
17-Kuzikwa na manispaa...

hebu tuongeze nyingine na kuweka gharama zake..

Watanzania waoga kama kuku😂
 
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Ogopa sana kupingana na Mungu.

Utakufu wa Mungu utadhihirika kabla awamu haijaisha.
 
Kama tunavyojua chama Cha waoga tanzania ni chadema ambacho Kila siku wanasema wanaandamana halafu polisi wanajua kabisa chadema ni makunguru ikitokea chadema na wafuasi wake wameandamana tarehe 23 nipigwe ban sababu sijawahi kuona Cha Cha waoga kama chadema Africa hii tena wakishaona mmoja wao kashugulikiwa hua wanafyata mkia ndio maana Leo polisi wamewaambia kabisa wakigusa ardhi ya barabara tarehe 23 ni kichapo na wataona Cha mtema kuni
haya ngojea tuone
 
NUKUU

"Kuanzia Jumatatu [Septemba 23] sisi tutaingia barabarani kudai tunachoona ni uhai wa watu wetu waliopotezwa, vinginevyo serikali imechukua hatua za haraka na za makusudi kuwarejesha, watu kujiuzulu, na watu wote kuwajibika.” - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA

View attachment 3093536

Pia soma: Kuelekea 2025 - Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'

Amebadili chorus?
 
Back
Top Bottom