Pre GE2025 Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Polisi wameingiliwa mfumo na wajibu wao na kundi jingine,mwisho polisi wenyewe wameamua kumwaga mboga, ili wananchi wayajue.
 
Aibu ya Taifa aliyoizungumzia Julius Nyerere 1964 inajirudia 2024 kupitia Jeshi la Polisi:

CCM KUTUMIA JESHI LA POLISI KUFANYA UTEKAJI WA KIMBARI IMETUPA AIBU YA TAIFA MBELE YA JUMUIYA YA KIMATAIFA NA MBELE YA WATANZANIA WAPENDA HAKI Picha : ikionesha Baadhi ya mamia ya waliotekwa Agosti 2024 "Aibu ya Taifa "ni maneno ya mwalimu Nyerere akielezea askari wa KAR Tanganyika walipo...
 
Polisi wanatafuta vita na wananchi wanaowalipa mishahara, Kuna siku watajua si lolote na hawana nguvu kama wanavyofikiria, na watatupa magwanda yao ili wasijulikane ni mapolisi, na siku wakianza kuchomwa moto na matairi shingoni kama vibaka watatia akili
 
Unaona sawa huo uuaji na utekaji unaoendelea? sijakuelewa
Baba mlimsingizia Dkt Magufuli ndiye aliyekuwa ana ratibu utekaji na mauaji na mkampachika jina ni muuaji etc, ila wajanja tukawaambia hicho kilikuwa kikundi cha wahuni wahuni waliotaka kuharibu image na taswira ya Dkt Magufuli kwa sababu ya utendaji wake. Sasa mnayaona yakitokea na ninyi mnaanza kupiga kelele na Dkt Magufuli tangu 2021 hayupo.
 
Back
Top Bottom