And why then atheist cannot be Masons, mhh!?NOTE: fremason is not a religion but commited people to do those tasks mentioned above and many more charitable work
The first brainwashed person is you! Kwa nini unatumia internet? Ungeendelea kuishi bila internet, kuishi ktk nyumba za nyasi....et al.kizazi chochote kilichoikana dini yake ya asili na kuitukuza dini yoyote ambayo ni ngeni na ambayo haina connection kabisa na mila na desturi zake basi huyo amekuwa brainwashed.
hapo kwenye hahaha ndio umefanya tusikuchukulie serious kabisa. Hizi conspiracy theories nyingine zinafurahisha sana eti tsunami imetengenezwa..kwa madhumuni gani?Duh! Lakini ni nzuri kujua mkuu maana mimi ni mwandishi wa habari zisizoandikikana! hahahaha:twitch:
hakuna cha freemasons kushusha uchumi! PESA za EPA, DOWANS, RADA, N.k wamechukua Freemasons?! acha vitu vya kusadikika! acheni wizi, fanya kazi kwa bidii, kuweni wabunifu uchumi utapaa! acheni pumba! Tuna university of DSM tangu waanze kufundisha mechanical Engineering, wamewahi ata kuunda gari? au nifahamisheni kitu gani cha maana wamefanya? ni wengi wa namna hiyo! then mnasema freemasons! huo moto unaozungumza umewahi kuuona?
kujiunga huko lazima uliwe tiGO....nataka kujiunga
Ahahahaaaaah!!kujiunga huko lazima uliwe tiGO....
:twitch:mahabone!
kujiunga huko lazima uliwe tiGO....
Kwahiyo B.W.Mkapa watu wamemtifua?kujiunga huko lazima uliwe tiGO....