Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Kuhusu ajali ndio ziko nyingi sana ambazo zinahusika kabisa.mfano mwisho wa mwaka ni lazima wauwe na hakuna jinsi coz kuna magari ya hospital ambazi zinahusika moja kwa moja na hili.
Kwa kifupi asilimia 60 za ajali za vyombo vya usafiri ni wao na kuna dalili kujua kuwa ajali ni ya freemasons.
 
mimi pia nina maswali mengi......lakini jibu kwanza hayo hapo juu....ili tusikuoverask.....he he he....
 
Ndio na kuna ishara ambazo hukujulisha matukio makubwa kwa kila mwaka na bado kuna matukio yanafuata kuwa makini.
 
Hata hapa moshi wapo wengi tu na nyumba yao ya ibada iko shant town. SWALI LANGU KWAKO MLETA MADA 1. JE AMIRI JESHI WA SASA WA TZ NI MWANACHAMA?? 2. NA JE AJALI HZ ZINAZOTOKEA NA KUUA WATZ KILA KUKICHA KUNA MKONO WA FREEMASONS?? 3. Na wewe ni mwanachama??

Ni kweli kaka hapa Moshi kuna Freemasons wengi wahindi ndio wengi. Freemasons wengi hapa Moshi ni Wahindi.
 
<br />
<br />
Ni kweli kaka hapa Moshi kuna Freemasons wengi wahindi ndio wengi. Freemasons wengi hapa Moshi ni Wahindi.

Umejuaje mkubwa kwani hawa jamaa ni wasiri sana.
 
tusisahau hawa jamaa wapo dunia nzima hasa ulaya na marekani,,sasa mbona huko hamna ajali kama hizi??tusitumei nanihi kufikiri
 
Hawa jamaa madhara yao ni kupotosha imani ya mungu unaemuamini na kuwa kwenye imani yao.pia asilimia kubwa ya hawa ni viongozi wa dini na watu maarufu ulimwenguni kama papa paulo wa 2,16 na Rais Obama,bush na viogoz wa juu wa serikali ya Tanzania.
Unaweza kuwa freemason hata bila kujitambua ila haiwez kukunufaisha mpaka mpaka ujiunge Rasmi.
 
Unaweza kuwa seriouz hususani tukiwa tunaongea mambo serious uache upumbavu.
Nazungumzia kitu nakijua nimetumia muda mwing kukisoma pia najua namna ya kumtumia mtu invatation to freemasons nawe ukajiunga.ni imani kama uislam,na ukristo pia wana mwongozo wao kama biblia na qurani.
 
Hawa jamaa madhara yao ni kupotosha imani ya mungu unaemuamini na kuwa kwenye imani yao.pia asilimia kubwa ya hawa ni viongozi wa dini na watu maarufu ulimwenguni kama papa paulo wa 2,16 na Rais Obama,bush na viogoz wa juu wa serikali ya Tanzania. <br />
Unaweza kuwa freemason hata bila kujitambua ila haiwez kukunufaisha mpaka mpaka ujiunge Rasmi.
<br />
<br />
naomba kuuliza, Je baba Riz1 wa pale magogoni naye yumo kwenye hii iman ya freemason.
 
KWa Moro na Mwanza wapo mitaa ipi au jengo lipi ili wanamaombi waanze kazi ya kuwasha moto
 
<br />
<br />
naomba kuuliza, Je baba Riz1 wa pale magogoni naye yumo kwenye hii iman ya freemason.

sidhani kama yumo,nachofahamu hawa jamaa wanataka watu ambao ni very intteligent,jamaa yetu sio
 
Elewa kuwa hawa jamaa hawajaa anza miaka ya alfu mbili na hata hapa tanzania walianza zaman ila miaka hii ndo wewe unawajua.ok kuhusu ajali nje kuna ajali na matukio makubwa kama kuibwa kwa watoto india na china watu kukatwa vichwa na viwil wili huzijui coz hufuatilii hebu soma wacha kukaa tu
 
Utafiti wa kina umefanyika kugundua kama ni kweli?
 
Unaweza kuwa seriouz hususani tukiwa tunaongea mambo serious uache upumbavu.<br />
Nazungumzia kitu nakijua nimetumia muda mwing kukisoma pia najua namna ya kumtumia mtu invatation to freemasons nawe ukajiunga.ni imani kama uislam,na ukristo pia wana mwongozo wao kama biblia na qurani.
<br />
<br />
naomba kuelekezwa makao yao hapa moro na shida nao sana
 
Hawa jamaa madhara yao ni kupotosha imani ya mungu unaemuamini na kuwa kwenye imani yao.pia asilimia kubwa ya hawa ni viongozi wa dini na watu maarufu ulimwenguni kama papa paulo wa 2,16 na Rais Obama,bush na viogoz wa juu wa serikali ya Tanzania. <br />
Unaweza kuwa freemason hata bila kujitambua ila haiwez kukunufaisha mpaka mpaka ujiunge Rasmi.
<br />
<br />
mkuu nakubaliana na wewe ni kweli unaweza kua Freemason bila wewe kujitambua na hapa Africa watu wengi wameshaingia kwenye huu mtego bila kujijua. Kuna Club 3 za misaada watu wengi wamo humo bila kuzijua undani wake kua ni branch za Freemasons.
 
<br />
<br />
naomba kuelekezwa makao yao hapa moro na shida nao sana

shida gani mkuu?unajua mashart yao ni magumu?jamaa yangu aliambiwa amtoe mzazi wake kafara,utakubali?
 
Naomba kufahamu tafadhali,Ni nini tofauti yao na imani nyingine?Je,kizuri au kibaya kwao katika imani ni nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom