Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Maxence,

Lakini naomba nikufahamishe kidogo kuhusiana na alama ya nyoka anayening'inia kwenye mti. Nyoka yule anayening'inia kweny mti kwanye logo ya Muhimbili ni replication ya kwenye Biblia baada ya Musa kumwinua nyoka wa shaba na kumtundika mtini ambapo kila mtu aliyeng'atwa na nyoka za sumu zilizotumwa kuwaua Waisraeli baada ya kuabudu sanamu badala ya Mungu na kufanya uzinzi pale jangwani. Kila mtu aliyeng'atwa na akamwangalia nyoka wa shaba aliyetundikwa mtini alipona.

Nadhani hiyo ndiyo rationale ya yule nyoka kwenye logo ya Chuo cha Tiba Muhimbili.

Mwanzoni niliwahi fikiri hivyo. Lakini kwa sasa najua kua ni alama ya mnyoo aitwae kitaalam Wuchereria bancrofti anaesababisha matende (filariasis). Mnyoo huyu kabla ya kudhibitiwa, aliuutesa sana ulimwengu wa afya, kabla ya tiba yake. Na ndo sababu ya kuepo hiyo alama. Sio Muhimbili tu, ila angalia nembo zote kunako medical professional.
 
kwa msaada zaidi ingia hapa utaweza kuyajua mambo mengi yanayohusiana na jamii hii ya siri WHALE

Ila kumbuka si kila kitu kilichoandikwa kwenye mtandao kina kuwa na ukweli ndani yake, la hasha vingine ni kwa ajili ya kukushawishi wewe msomaji ushawishike kuifanya huo mtandao kuwa kama sehemu yako ya kupata habari.
 
Mji wa Washington umejengwa kwa symbolism ya freemasons. Umesikia zile rumorus kwamba Freemasons wanaabudu mashetani? Well,unfortunately,those rumours are true. Freeemasons basically ni Wayahudi ambao wanataka kuitawala Dunia. Wameungana wao na another group,Illuminati. Programme yao ya kuitawala Dunia inaitwa Protocals of the elders of Zion. Freemasons believe in Lucifer. Ukitaka kujiunga na freemasons,that is all you need to remember.
 
Mji wa Washington umejengwa kwa symbolism ya freemasons. Umesikia zile rumorus kwamba Freemasons wanaabudu mashetani? Well,unfortunately,those rumours are true. Freeemasons basically ni Wayahudi ambao wanataka kuitawala Dunia. Wameungana wao na another group,Illuminati. Programme yao ya kuitawala Dunia inaitwa Protocals of the elders of Zion. Freemasons believe in Lucifer. Ukitaka kujiunga na freemasons,that is all you need to remember.

That's a demonstration of pure ignorance on your part, but you're entitled to your opinion.
 
Ujinga wa hali ya juu sana huo! kazi kutisha watu kila kitu mnasema freemason hivi sisi tunajua shetani yupo na dawa ni kumwamini MUNGU ili atusadie tuishinde dhambi. Hivyo vitisho watu wameanzisha ili kuuza maandishi ya vitabu vyao na cd zao. wajing ndiyo waliwao.
 
Mimi naona hata hii misaada tunayopokea kutoka nchi za mangharibi inasababisha machafuko ya kila aina pamoja na umwagaji damu ktk nchi za Afrika! Hii yote ni makafara ya fremason.
 
Hawa ndo wanasabaisha mabalaa kibao na hata HIV/AIDS <ukimwi> wameuleta wao ili kupunguza idadi ya wa2 kwa lengo la kuweza kuwatawala kirahc!!! 2namuomba mungu a2linde na fitna zao - amin
 
hawa freemasons sasa wamekuwa ni gumzo katika dunia yetu ya leo, chochote ufanyacho, iwe unajua au aujui, utasikia kinauhusiana na freemasons, hv je? Nn hatma yake
 
Siku hizi hata mkulima mdogo wa kijijini akinunua baiskeli naye anaitwa freemanson
 
Mji wa Washington umejengwa kwa symbolism ya freemasons. Umesikia zile rumorus kwamba Freemasons wanaabudu mashetani? Well,unfortunately,those rumours are true. Freeemasons basically ni Wayahudi ambao wanataka kuitawala Dunia. Wameungana wao na another group,Illuminati. Programme yao ya kuitawala Dunia inaitwa Protocals of the elders of Zion. Freemasons believe in Lucifer. Ukitaka kujiunga na freemasons,that is all you need to remember.
ooohhh!
 
Mji wa Washington umejengwa kwa symbolism ya freemasons. Umesikia zile rumorus kwamba Freemasons wanaabudu mashetani? Well,unfortunately,those rumours are true. Freeemasons basically ni Wayahudi ambao wanataka kuitawala Dunia. Wameungana wao na another group,Illuminati. Programme yao ya kuitawala Dunia inaitwa Protocals of the elders of Zion. Freemasons believe in Lucifer. Ukitaka kujiunga na freemasons,that is all you need to remember.
sio busara kuaminisha watu vitu usivyokuwa na uhakika navyo. Tanzania kila mtu sasa anajifanya anajua what fremasonry is! Tunapapasapapasa tu, the truth is we know nothing about secret societies!
 
sio busara kuaminisha watu vitu usivyokuwa na uhakika navyo. Tanzania kila mtu sasa anajifanya anajua what fremasonry is! Tunapapasapapasa tu, the truth is we know nothing about secret societies!

Ukitazama posting zangu utaona nimeandika mambo mengi kuhusu Freemasons na Illuminati. Freemasons comes from antiquity,Illuminati imeanza miaka 200 iliyopita. Ni uhusiano kati ya freemasons na Illuminati ndio unaleta matatizo.
Illuminati manifesto inafanana sana na Communist Manifesto,this idea kwamba we do not need so many governements in the world,kwamba there can only be world peace if the world can unite under one goverment,not to be confused with this world cooperation under the united nations,which does not produce unity,but only concentrates power under four or five countries.
Marx was commissioned by Mayer Rothschild to write the Communist Manifesto,even as Adam Weishaupt was commissiopned by Mayer Rothschild to invent the Illuminati.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom