Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh!! ya kuhusu muhimbili logo its true wana mahanisha ya nyoka wa shaba!! ila may be kama wana maana nyingine zaidi ya hiyo
This frmason thing inawachanganya watu wajifunze alama na sheria zao badala ya za Mungu wa kweli,jifunzeni za Mungu.
Mungu wa kweli ni huyo hizi sign zote zinajaribu kuwa against nae ama huyu hizi signs zinazo onyesha kupambana nae.utakua unaelewa kama namba 666 ikiwa kama alama kuu ya hizi society na organisation za kishetanishetani ni alama ya mpinga nani,kama hujui soma kitabu cha ufunuo kwenye biblia.Mungu ambae alama zinazotumika na hawa watu kama nyoka zimesemekana kuwa alama ya uadui kwake.Mungu wa kweli yupi?
Mji wa Washington umejengwa kwa symbolism ya freemasons. Umesikia zile rumorus kwamba Freemasons wanaabudu mashetani? Well,unfortunately,those rumours are true. Freeemasons basically ni Wayahudi ambao wanataka kuitawala Dunia. Wameungana wao na another group,Illuminati. Programme yao ya kuitawala Dunia inaitwa Protocals of the elders of Zion. Freemasons believe in Lucifer. Ukitaka kujiunga na freemasons,that is all you need to remember.
Mkuu Time Bandit umesahau pia LOGO za kampuni kubwa kama: COCA COLA, AOL, FOX, LOOMIS, MICROSOFT, CITGO et el. Hizo Os zimebeba ujumbe mkubwa ktk muktadha mzima wa ILLUMINATI.
Bw Munisi,ikumbukwe kwamba hizi zinaitwa secret societies na kama jina linavyojitanabahisha,wanafanya kazi kwa usiri mkubwa sana.Lakini ukweli ulio wazi ni kwamba makampuni yote makubwa yan logo za kishirikina ambazo zilitumika na jamii za kipagani za Babeli na Misri ya kale.Bw.Time Bandit na wanajamvi wengine nilishawahi kusikia kuna technologia na desingn za vitu kama magari, simu, majumba n.k zinatolewa kuzimu moja kwa moja je kuna uhusiano wowote na hizi logo zenye alama zao na kuna ushaidi wa uwezekano huo?
Bw Munisi,ikumbukwe kwamba hizi zinaitwa secret societies na kama jina linavyojitanabahisha,wanafanya kazi kwa usiri mkubwa sana.Lakini ukweli ulio wazi ni kwamba makampuni yote makubwa yan logo za kishirikina ambazo zilitumika na jamii za kipagani za Babeli na Misri ya kale.
Mkuu ...don't ridicule mawazo ya wengine kama huna hard evidences au reasonable counter-argument!Wewe ni siri ngapi za Freemason unazijua?Na aliyesema hawa jamaa sio devil worshipers ni nani?They are devil worshipers alright na ni watu hatari kwa spiritual well-being ya watu wengine.Watu wanapenda kujua habari za hawa jamaa,so sioni tatizo hapo.Na kwa taarifa yako,may be unatumia kila kitu kutoka kwao bila kujua... from Redio unayoisikiliza,Tv na vipindi unavyoangalia,vinywaji unavyotumia,baadhi ya vitabu na magazeti unayosoma,lotion unayopaka,muziki unaousikiliza..nk....Ref...1,Manly P. Hall.."The Secret Teaching of all ages"....2,Albert Pike...."Morals and Dogmas" na The Vigilant Citizen » Discover the hidden symbolism in music videos, movies and famous landmarks around the worldNdugu yangu asikudanganye mtu kuhusu hawa freemasons!!
Hawa ni nothing but devil worshippers! Kazi yao kuubwa ni kuabudu shetani na kukusanya mapesa ya wajinga. Kwa kuwaingiza kwenye ibada zao za kishenzi! Na kuzini usiku na mchana.
Hawana siri yyt ya kutisha! Ila wanafanya watu wadhani hivyo!
Na kwa sababu ni dini ambayo inongozwa na matajiri na watu maarufu ndio maana huoni siri zao mara kwa mara!
Ukiangalia ripoti za hao waliokuwa ndani ya jumuia hii ndani ya week leaks utaona ni upuuzi mtupu!
Lkn wasiojua wanadhani ni kitu kikuuuubwa!
Lkn ni mavi matupu!
Afadhali hata uchawi wa bongo unatisha kuliko hawa freemasons!
Mkuu Time Bandit umesahau pia LOGO za kampuni kubwa kama: COCA COLA, AOL, FOX, LOOMIS, MICROSOFT, CITGO et el. Hizo Os zimebeba ujumbe mkubwa ktk muktadha mzima wa ILLUMINATI.