Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awali lilikuwa linafanya hivyo ila si kwa kuwaka na kuzima kwa dakika chache. Lilikuwa linatumia muda mrefu kidogo, linawaka kwa zaidi ya saa kisha linazima kwa dakika kadhaa. Lakini sasa hivi linafanya hivyo ndani ya dakika 5 tu kujiwasha na kuzima hali ambayo siyo ya kawaida kabisa.Duh sidhani kama ni tatizo hilo.fridge ni kama pasi Kuna Mahali baridi ikifika kiasi Fulani linajizima.Hapo huna haha ya kuchomoa au kuzima kwenye switch coz muda wote linajibalance
Una tabia ya kulizima wewe kama wewe?Awali lilikuwa linafanya hivyo ila si kwa kuwaka na kuzima kwa dakika chache. Lilikua linatumia muda mrefu kidogo, linawaka kwa zaidi ya saa kisha linazima kwa dakika kadhaa. Lakini sasa hivi linafanya hivyo ndani ya dakika 5 tu kujiwasha na kuzima hali ambayo siyo ya kawaida kabisa.
Lina mwezi tu, nimelifungua taa inawaka kama kawaida. Kinachonishangaza hapo awali lilikuwa likitumia muda kufanya hivyo. Lakini kwasasa linajiwasha na kujizima within 5 to 6 minutesUmelinunua lini? Seems like huna uzoefu na friji inavyofanya kazi.
Kujizima na kujiwasha ni process la friji lenyewe
We chakufanya likijizima, fungua mlango wa chini kama taa inawaka, then leta mrejesho
Ubaridi uliopo unatosha, thermostat inafanya kazi.Lina mwezi tu, nimelifungua taa inawaka kama kawaida. Kinachonishangaza hapo awali lilikua likitumia muda kufanya hivyo. Lakini kwasasa linajiwasha na kujizima within 5 to 6 minutes
Je kazi yake ya kupoza linafanya au linazima tu vitu vikiwa na hali yake ya kawaida bira ubaridi wala kupoa? .Lina mwezi tu, nimelifungua taa inawaka kama kawaida. Kinachonishangaza hapo awali lilikua likitumia muda kufanya hivyo. Lakini kwasasa linajiwasha na kujizima within 5 to 6 minutes
Lina mwezi tu, nimelifungua taa inawaka kama kawaida. Kinachonishangaza hapo awali lilikua likitumia muda kufanya hivyo. Lakini kwasasa linajiwasha na kujizima within 5 to 6 minutes
😀 😀 😀 😀shule shule shule...!! labda kama halina ubaridi wa mabarafu sehemu ya freezer. ila friji ndivyo linavyofanya kaziAwali lilikuwa linafanya hivyo ila si kwa kuwaka na kuzima kwa dakika chache. Lilikua linatumia muda mrefu kidogo, linawaka kwa zaidi ya saa kisha linazima kwa dakika kadhaa. Lakini sasa hivi linafanya hivyo ndani ya dakika 5 tu kujiwasha na kuzima hali ambayo siyo ya kawaida kabisa.
Unatumisa fridge guard? Kama ndio jaribu kuitoa huwa zinazingua nilikuwa na tatizo kama hilo nikabadilisha fridge guard kesi ikaisha.Awali lilikuwa linafanya hivyo ila si kwa kuwaka na kuzima kwa dakika chache. Lilikua linatumia muda mrefu kidogo, linawaka kwa zaidi ya saa kisha linazima kwa dakika kadhaa. Lakini sasa hivi linafanya hivyo ndani ya dakika 5 tu kujiwasha na kuzima hali ambayo siyo ya kawaida kabisa.
Hiyo sio kawaida, unaweza kuta una tatizo la compresorAwali lilikuwa linafanya hivyo ila si kwa kuwaka na kuzima kwa dakika chache. Lilikua linatumia muda mrefu kidogo, linawaka kwa zaidi ya saa kisha linazima kwa dakika kadhaa. Lakini sasa hivi linafanya hivyo ndani ya dakika 5 tu kujiwasha na kuzima hali ambayo siyo ya kawaida kabisa.