Friji yangu inawaka na kuzima, tatizo litakuwa nini?

Friji yangu inawaka na kuzima, tatizo litakuwa nini?

Weeee kitu la Hisense Inch 63 , linaanzia Mliman City mpaka Charambe 🤣🤣
View attachment 2540575

Unajaziwa frijiiii , alafu na LiTV hiloo ...

Nangoja niongezee na DSTV Mbwa Nyinyi , mtanikomaa 🤣🤣🤣
mbwa mwenyewe kwanza 🤣
Af mbona picha ni screenshot? Umeiba wapi??

Na mdundo wako wa Alitop
Mchina toleo la mwisho😂😂😂
 
mbwa mwenyewe kwanza 🤣
Af mbona picha ni screenshot? Umeiba wapi??

Na mdundo wako wa Alitop
Mchina toleo la mwisno 😂😂😂
Hahahaha Mbwaa kweli weeee , hiyo nimepigaa nikascreen ,kuiedit kidogooo ,vionekane vilivyokusudiwa.


Unadhan mie kama wee wa kuazima na kupiga picha kwenye magari ya watu alafu unatamba ,🤣🤣🤣
 
Hahahaha Mbwaa kweli weeee , hiyo nimepigaa nikascreen ,kuiedit kidogooo ,vionekane vilivyokusudiwa.


Unadhan mie kama wee wa kuazima na kupiga picha kwenye magari ya watu alafu unatamba ,🤣🤣🤣
😂😂😂 nna alej na magari
Sasa naaanzia wapi kuyapanda mpk nipige na picha.


Na kwanini uedit? Ulishindwaje kupiga moja kwa moja kilichokusudiwa?
Hiyo simu yako ina shida gani? 😂😂
 
Back
Top Bottom