EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Langu ni Hisense
Sina guard
Huko dukani waliniambiaga hayo yana guard ndani kwa ndani.
Niko safe wakuu?
Naliwasha muda karibu wote.. nazima siku ya kulisafisha
Ulinunua pesa ngapi Mkuu..?Natumia lg iliyo na compressor mwaka wa 5 huu sasa, zipo imara sana.
Huyu jamaa ana mawengee tuuLina mwezi tu, nimelifungua taa inawaka kama kawaida. Kinachonishangaza hapo awali lilikuwa likitumia muda kufanya hivyo. Lakini kwasasa linajiwasha na kujizima within 5 to 6 minutes
Hako usikawashe zaidi ya masaa manne.Nimenunua kangu brand ya Mr UK ,kapo automatic kanazima na kuwaka ,range ya dkk Mbili kanaendelea Tena
View attachment 2577386
Tatizo ni umeme hapo current inayoflow hapo haipo stable ndio maana fridge guard inatedect na kukata.Friji langu aina ya Boss linawaka na kuzima. Ukiwasha linafanya kazi kwa dakika takribani mbili Kisha linazima kwa dakika kadhaa, halafu linajiwasha tena. Hivyo ndugu zangu waliowahi kukutana na changamoto hii naombeni msaada tafadhali?
Umecheck temperature setting ipo ngapi? Ni kawida, ubaridi ulioweka ukigikiwa inazima. zukitaka iwake almost continuously, weka the minimum temperatureFriji langu aina ya Boss linawaka na kuzima. Ukiwasha linafanya kazi kwa dakika takribani mbili Kisha linazima kwa dakika kadhaa, halafu linajiwasha tena. Hivyo ndugu zangu waliowahi kukutana na changamoto hii naombeni msaada tafadhali?
Unamponza mwenzio. Hiyo ni friji na sio gari.Itafute hio thermostat kwenye friji uitoe then problem solved
Kunakua na thermometer ikifika ubarid flani friji linajizima automatic niliwahi kutana na hio case nilichofanya niliivuta thermometer nikaiweka nje ya friji habari ikaisha
Aweke maximum temperature.Umecheck temperature setting ipo ngapi? Ni kawida, ubaridi ulioweka ukigikiwa inazima. zukitaka iwake almost continuously, weka the minimum temperature
Kaangalie sehem ya kuseti ubaridi kuna mtu amechezea. Mi kuna dogo aliweka no6 fridge ikawa inawaka non stop ikawa inachapa umeme balaa. Nuja kustuka kumbe dogo alipandisha ubaridi hadi mwisho. Nikarudisha recomended ambayo ni 4 sijaona shida, so angalia pengine kuna mtu kaseti0 ama 1Awali lilikuwa linafanya hivyo ila si kwa kuwaka na kuzima kwa dakika chache. Lilikuwa linatumia muda mrefu kidogo, linawaka kwa zaidi ya saa kisha linazima kwa dakika kadhaa. Lakini sasa hivi linafanya hivyo ndani ya dakika 5 tu kujiwasha na kuzima hali ambayo siyo ya kawaida kabisa.
Ni kweli mkuu nilitatua hii shida kwa utaratibu uliosema. Ilifika kipindi Nikaona nimepigwa dukani huko, kumbe ni setting tu za frijiKaangalie sehem ya kuseti ubaridi kuna mtu amechezea. Mi kuna dogo aliweka no6 fridge ikawa inawaka non stop ikawa inachapa umeme balaa. Nuja kustuka kumbe dogo alipandisha ubaridi hadi mwisho. Nikarudisha recomended ambayo ni 4 sijaona shida, so angalia pengine kuna mtu kaseti0 ama 1